g

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Nicolas Jackson

Chelsea wamekubali mkataba wa kumtoa kwa mkopo mshambuliaji wa Senegal Nicolas Jackson, 24, kwenda Bayern Munich . (Bild – in Germany)

Kiungo wa kati wa Uingereza Kobbie Mainoo, 20, atafikiria kuondoka Manchester United katika wiki ya mwisho ya dirisha la uhamisho ikiwa klabu hiyo itapokea ofa inayofaa. (,Sport)

Unaweza pia kusoma:
g

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Rasmus Hojlund

Mshambulizi wa Manchester United na Denmark Rasmus Hojlund, 22, atapata nyongeza ya mshahara iwapo atakubali kujiunga na Napoli kabla ya tarehe ya mwisho ya kuhama. (Gazzetta dello Sport – in Italian)

Crystal Palace watoa ofa ya pauni milioni 15 kwa mlinzi wa Uswisi wa Manchester City Manuel Akanji, 30. (Sun )



Source link

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *