g

Chanzo cha picha, Getty Images

Mnamo Desemba 14, 1929, gazeti la Marekani la ‘The New York Times’ lilichapisha habari ambazo ziliishtua Marekani pamoja na watu wa Hungary, nchi iliyopo umbali wa maelfu ya kilomita.

Kulingana na habari, kesi imefunguliwa dhidi ya wanawake wapatao 50.

Wanawake hao wote wanatuhumiwa kwa kuwatia sumu na kuwaua wanaume wengi waliokuwa wakiishi katika kijiji kimoja huko Hungary, Ulaya.

Bila shaka, habari hii ilikuwa fupi, lakini ilikuwa na habari nyingi.



Source link

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *