.

Chanzo cha picha, Getty Images

Meli ya Titanic labda ndiyo meli maarufu zaidi katika historia, ambayo bado ina msukumo zaidi ya karne moja baada ya kuzama.

Meli ya Titanic ndiyo ilikuwa meli kubwa zaidi ya abiria duniani wakati huo na ilipata umaarufu mkubwa kwa kuzama wakati wa safari yake ya kwanza kutoka Southampton, Uingereza, hadi New York, Marekani, usiku wa Aprili 14 na saa za mapema za Aprili 15, 1912.

Watu 1,500 walipoteza maisha katika janga hili la kusikitisha.

Kuzama kwake kuliendeleza hadithi yake.



Source link

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *