Somalia na Uturuki kuimarisha ushirikiano katika sekta ya uvuvi kupitia makubaliano ya kimkakati

Makubaliano hayo yatatoa fursa kwa sekta ya uvuvi ya Uturuki kufikia bahari ya Somalia na una lengo la kutengeneza za ajira mpya kwa watu wa Somalia na kufanya taifa hilo kufikia biashara ya kimataifa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *