
Watu 6 wameuwa Syria kufuatia shambulio la msikitini wakati wa swala ya Ijumaa
Kwa mujibu wa shirika la habari la serikali ya Syria (SANA), mlipuko uliotokea ndani ya msikiti uliua watu sita na kujeruhi wengine 21. Iliongeza kuwa uchunguzi unaendelea kubaini chanzo cha mlipuko huo.