#nmbmapinduzicup2026 NMB MAPINDUZI CUP 2026:

Michuano ya mapinduzi Cup inaendelea leo kwa michezo miwili

Big match saa 2:15 usiku, AzamFC kukipiga na Singida BS.

Hii ni mechi ya kwanza kwa AzamFC kwenye mashindano haya wakati Singida BS walianza na ushindi mechi ya kwanza.

Mapema saa 10:15 jioni, Mlandege kucheza na wakusanya mapato wa Uganda URA FC.

Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama michuano hii mbashara kupitia AzamSports3HD.

#NMBmapinduziCup #Azamtvsports

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *