25.08.2025 Matangazo ya Jioni
Israel yatuhumiwa kuwalenga wanahabari huko Gaza+++Warohingya wataka wahakikishiwe usalama kurudi kwao+++Hali ya kibinadamu Sudan yazorota kufuatia mashambulizi ya RSF
Israel yatuhumiwa kuwalenga wanahabari huko Gaza+++Warohingya wataka wahakikishiwe usalama kurudi kwao+++Hali ya kibinadamu Sudan yazorota kufuatia mashambulizi ya RSF
Ripoti ya IPC,shirika linaloungwa mkono na Umoja wa Mataifa linalohusika na ufuatiliaji wa usalama wa chakula, linakadiria kuwa “utapiamlo unatishia maisha ya watoto 132,000.
Luteni Jenerali Jeffery Kruse, ametimuliwa ikiwa ni wiki chache tu baada ya Ikulu ya White House kukosoa ripoti kuhusu athari za mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iran ya Juni 22,…
Ndege na vifaru vimeshambulia sehemu za mji wa Gaza huku mipango ya Israel ya kuliteka eneo kubwa la mijini katika eneo hilo.
#HABARI: Vyombo vya Usalama Mkoa wa Tabora na Wilaya ya Urambo, vimeanza oparesheni ya kuwasaka popote walipo watu wasiojulikana waliomuua mlinzi wa soko la Ussoke, lililopo wilayani Urambo, Bw. Nasoro…
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 24, 2025 – RAIS SAMIA ASISITIZA AMANI
#HABARI: Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, imemteua John Luhende, kuwa mgombea wa Ubunge jimbo la Bukene mkoani Tabora. Luhende ametangazwa kupeperusha bendera hiyo jana Jumamosi Agosti 23,…
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiombewa dua na watoto yatima wa Kituo cha Watoto Yatima Mburahati mara baada ya kuwasili katika ukumbi…
#HABARI: Aliyekuwa Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo amemshukuru Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa imani yake kubwa kwake ikiwemo kumpendekeza na kisha…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA KIGOMA : AGOSTI 24, 2025 – UJENZI WA SOKO WADHITI MAGONJWA YA MLIPUKO
Wakati huo huo, kumeripotiwa pia mashambulizi katika maeneo ya mashariki na kaskazini mwa mji huo wa Gaza katika vitongoji vya Zeitoun, Shejaia na Sabra huku majengo kadhaa yakiripuliwa katika mji…
Lavrov amekemea hatua ya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ya kuweka masharti na kulazimisha kukutana na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin, akisisitiza kuwa majaribio hayo yanalenga kuvuruga mchakato wa amani…
Ehimen Ejodame, msemaji wa Jeshi la Anga la Nigeria amesema mashambulizi hayo yalilenga majimbo manne ya Kumshe, Borno, Katsina na karibu na mpaka wa Cameroon ambayo yamewezesha pia kuokolewa kwa…
Khamenei ameyatoa matamshi hayo siku ya Jumapili katika msikiti mmoja mjini Tehran, akisisitiza kuwa baada ya mashambulizi ya Marekani na Israel, maafisa wa Marekani walikutana barani Ulaya ili kujadili serikali…
#HABARI: Madereva bodaboda jijini Mbeya, wamelalamikia baadhi ya wamiliki wa usafiri huo kuwapa mikataba kandamizi ambayo huwafanya kutotimiza malengo yao. Madereva bodaboda wamebainisha hayo baada ya kupata fursa ya kukopeshwa…
#HABARI: Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imetoa ufafanuzi kuhusu mwenendo wa soko la mbaazi duniani, ikieleza mafanikio na changamoto zinazolikumba zao hilo muhimu kwa wakulima wa…
#NUKUU: “Mungu atapokea maombi yetu, swala zetu, dua zetu, ikiwa nyoyo zetu zina amani, kwasababu ukiomba huna amani hata ile dua utaiweka kinyumenyume………” Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
🔴TAMASHA LA MICHEZO: WENYEJI CHAN 2024 WAUMALIZA MWENDO ..AGOSTI 24, 2025
Shule ya sheria haikumfundisha Constance jinsi ya kufanya mazoezi, kutambua alama za mawasiliano ya redio, au kulala kifudifudi juu ya zege huku akielekeza bunduki yake kwa adui. Badala yake, mwanafunzi…
Hayo yanajiri wakati viongozi mbalimbali wa Ulaya wametoa wito wa kusitishwa kwa vita kati ya Urusi na Ukraine ambavyo vimedumu kwa zaidi ya miaka mitatu. Viongozi kadhaa akiwemo Mfalme Charles…
Miezi kadhaa ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Israel na Hamas hadi sasa hayajazaa matunda.Wanachama wa siasa kali za mrengo wa kulia wanaounda serikali ya mseto ya…
Wizara ya afya katika jimbo hilo linalodhibitiwa na wanamgambo wa RSF imesema vifo hivyo vimeripotiwa kuanzia mwishoni mwa mwezi Mei mwaka huu. Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limesema…
Shirika la habari la Korea Kaskazini (KCNA) limesema bila kutoa maelezo zaidi kuwa jaribio hilo la Jumamosi limethibitisha kuwa makombora hayo yanao uwezo wa kukabiliana na vitisho vyote vya angani…
Katika mtanange wa nusu fainali za CHAN, Sudan itavaana na Madagascar jijini Dar es Salaam huku Morocco ikimenyana na mabingwa watetezi Senegal mjini Kampala. Mechi hizo zitachezwa Jumanne ya Agosti…
#VIDEO: Serikali ya Tanzania inatarajia kutumia zaidi ya shilingi bilioni 115, kununua ndege maalumu ya kufanya utafiti wa madini, itakayo wawezesha wachimbaji wadogo hapa nchini kubaini sehemu ambayo madini yapo,…
#MICHEZO: Baada ya Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars kuondolewa Katika hatua ya robo fainali ya michuano ya CHAN dhidi ya timu ya taifa ya Morocco, Kocha wa timu…
#VIDEO: Wadau waeleimu Tanzania waomeomba waandaji wa maonesho ya ya kitaifa na kimataifa ya shule zinazofanya vizuri nchini. kuangalia uwezekano katika maonyesho yajayo kuongeza muda zaidi ya ushiriki ili kutoa…
🔴KUMEKUCHA: KONGAMANO LA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU…..AGOSTI 24, 2025
Intaneti na mitandao ya kijamii imekuwa maeneo ambapo unyanyasaji wa kijinsia hutokea mara kwa mara. Watumiaji wanawake wa Kiafrika hawajaachwa nyuma. Filamu ya hali halisi iitwayo Harassment 2.0, Resilience of…
Miaka minne baada ya moto kuzuka katika Hifadhi ya Kibinafsi ya Lolldaiga kufuatia ajali wakati wa mafunzo na Jeshi la Uingereza, ambalo lina kambi katika eneo hilo, Uingereza imekubali kulipa…
Mradi wa kudhibiti Malaria (Target Malaria) uliozinduliwa mwaka 2012 nchini Burkina Faso ulilenga kurekebisha vinasaba vya mbu wa kiume ili kuwafanya washindwe kuzaa katika jaribio la kupunguza idadi ya mbu…
Tangu mwishoni mwa mwezi wa Julai, eneo la Uhispania limeshuhudia ongezeko kubwa la idadi ya wahamiaji haramu wanaowasili katika eneo lake. Miongoni mwao, wale wanajaribu bahati yao kwa kuogelea ni…
Nchini Burundi, Meja Jenerali Bertin Gahungu anashikiliwa na idara za usalama, mamlaka imetangaza. Afisa mkuu wa usalama katika utawala na mkuu wa zamani wa idara ya kijasusi nchini humo, anashtumiwa…
#MICHEZO:Bondia Kutoka Mkoa wa Tabora Abdul Zugo, ameibuka mshindi kwa TKO katika pambano la Ubingwa wa kuwania mkanda wa Dunia wa WPBF uzito wa kilo 63 Super right weight, dhidi…
#MAGAZETI:CCM YAANIKA SAFU YAKE / KIUNGO APEPERUKA DAR
#SWALILAKIPIMAJOTO: Hamasa ya uchangiaji wa damu nyakati za matukio mbalimbali.Je, ifanywe kuwa endelevu kufanikisha upatikanaji wa damu wakati wote?
🔴KUMEKUCHA:WIKI YA TIBA ASILI KWA MWAFRIKA…..AGOSTI 24, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 24, 2025
DW Kiswahili24.08.202524 Agosti 2025 Ukraine yaadhimisha miaka 34 ya uhuru wake++++Netanyahu akabiliwa na shinikizo la kumaliza vita huko Gaza+++Sudan: Watu 158 wafariki kwa kipindupindu huko Darfur++++Korea Kaskazini yafanya jaribio la…
DIRA.BZ24.08.202524 Agosti 2025 Watu kadhaa wauawa Gaza kufuatia mashambulizi ya Israel++++Urusi: Nchi za Ulaya zinalenga “kuzuia” mchakato wa amani++++Jeshi la anga la Nigeria lauua magaidi 35 wa Boko Haram++++Khamenei: Raia…
Israel ilitangaza vita dhidi ya Hamas baada ya kundi hilo kufanya shambulizi la kigaidi dhidi ya Israel tarehe 7 Oktoba, lililouwa watu wapatao 1200. Maelfu ya Wapalestina wameuawa katika mapigano…
#HABARI: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Daniel Chongolo kugombea Ubunge katika jimbo la Makambako mkoani Njombe. Hayo yameelezwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla,…
#HABARI: Ester Matiko kugombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Tarime Mjini. Hayo yameelezwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla, wakati akitangaza majina ya…
#HABARI: Ester Bulaya ameteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Bunda Mjini. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla ameeleza haya Jijini Dodoma. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania #Follow…
#HABAI: Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi wakati wa Serikali ya Awamu ya Tano, Kangi Lugola ameteuliwa na Chama Cha Mapinduzi kugombea Ubunge Jimbo la Mwibara. #ITVDigital…
#HABARI: Miili 4 zaidi inayoaminika kuwa ya wafuasi wa Kanisa la Mhubiri aliyegerezani Paul Mackenzie, imefukuliwa kutoka eneo la Kwabinzaro, Kaunti ya Kilifi, na kufikisha jumla ya miili iliyopatikana tangu…
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 23, 2025 – CCM KWENYE MCHUJO WA MAJINA YA WALIOOMBA KUTEULIWA DODOMA
#HABARI: Bodi ya Korosho Tanzania(CBT) imetoa tuzo ya Muandishi Bora wa Taarifa za Korosho kundi la Runinga, kwa mwandishi wa habari wa ITV/Radio One mkoa wa indi, Bi. Fatuma Maumba.…
Kwa haya na Mengine mengi usikose kuungana nasi ifikapo Saa mbili kamili usiku. . Unaweza pia kutazama Taarifa yetu ya Habari kupitia Youtube na Facebook #ITVTanzania . Usisahau Ku-Subscribe ili…