Ban Ki-moon asema mabadiliko ya Baraza la Usalama la UN yanahitajika kukabiliana na kura ya turufu
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon siku ya Jumatatu alitoa wito wa kufanyika mabadiliko ya Baraza la Usalaml, akionya kuwa shirika hilo liko hatarini "kupoteza umuhimu wake"…