Skip to content
  • Tue. Feb 24th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Waziri wa Ulinzi: Uhusiano na nchi za Afrika za kimapinduzi na zenye misimamo huru utastawishwa Kutokubali Iran kusalimu amri mbele ya Marekani 🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 23, 2026 🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 23, 2026 🔴AIBUYAKO: HII NI AIBU!
HABARI ZA KIPEKEE

Waziri wa Ulinzi: Uhusiano na nchi za Afrika za kimapinduzi na zenye misimamo huru utastawishwa

February 24, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Kutokubali Iran kusalimu amri mbele ya Marekani

February 24, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA ITVBONGO

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 23, 2026

February 23, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA ITVBONGO

🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 23, 2026

February 23, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA ITVBONGO

🔴AIBUYAKO: HII NI AIBU!

February 23, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Waziri wa Ulinzi: Uhusiano na nchi za Afrika za kimapinduzi na zenye misimamo huru utastawishwa
HABARI ZA KIPEKEE
Waziri wa Ulinzi: Uhusiano na nchi za Afrika za kimapinduzi na zenye misimamo huru utastawishwa
Kutokubali Iran kusalimu amri mbele ya Marekani
HABARI ZA KIPEKEE
Kutokubali Iran kusalimu amri mbele ya Marekani
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 23, 2026
ASTV TANZANIA ITVBONGO
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 23, 2026
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 23, 2026
ASTV TANZANIA ITVBONGO
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 23, 2026
Uncategorized
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Uncategorized
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Niger: Mvua na mafuriko yamesababisha vifo vya watu hamsini mwaka 2025
Uncategorized
Niger: Mvua na mafuriko yamesababisha vifo vya watu hamsini mwaka 2025
Waziri wa Ulinzi: Uhusiano na nchi za Afrika za kimapinduzi na zenye misimamo huru utastawishwa
HABARI ZA KIPEKEE
Waziri wa Ulinzi: Uhusiano na nchi za Afrika za kimapinduzi na zenye misimamo huru utastawishwa
Kutokubali Iran kusalimu amri mbele ya Marekani
HABARI ZA KIPEKEE
Kutokubali Iran kusalimu amri mbele ya Marekani
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 23, 2026
ASTV TANZANIA ITVBONGO
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 23, 2026
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 23, 2026
ASTV TANZANIA ITVBONGO
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 23, 2026

Waziri wa Maji, Mhe

February 20, 2026 mjombazecoder

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amemuhakikishia Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) kuwa Wizara ya Maji haitakuwa kikwazo katika utekelezaji wa Mradi wa Maji kwa kutumia chanzo…

MWANANCHI

Shahidi mfuasi wa Lissu adai kutishiwa, Lissu amtaka awapelekee Polisi ujumbe

February 20, 2026 mjombazecoder

Shahidi wa 14 katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na...

MWANANCHI

Dk Nchimbi aenda kuhani msiba wa Kardinali Pengo

February 20, 2026 mjombazecoder

Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi ametembelea msibani kwa Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa...

Askofu wa Kanisa la Ufunuo Tanzania, Paul Bendera ametoa ufafanuzi kuhusu umuhimu wa fungu la kumi kwa waumini, akisisitiza kuwa…

February 20, 2026 mjombazecoder

Askofu wa Kanisa la Ufunuo Tanzania, Paul Bendera ametoa ufafanuzi kuhusu umuhimu wa fungu la kumi kwa waumini, akisisitiza kuwa sadaka hiyo ya kiimani haipaswi kuhusishwa na fedha za mikopo.…

ASTV TANZANIA ITVBONGO

#KIPIMAJOTO: MIRADI YA MAENDELEO ILIYOKWAMA KWENYE HALMASHAURI KUSUBIRI VIONGOZI WA KITAIFA KUIKWAMU, JE, VIONGOZI KWENYE NGAZI …

February 20, 2026 mjombazecoder

#KIPIMAJOTO: MIRADI YA MAENDELEO ILIYOKWAMA KWENYE HALMASHAURI KUSUBIRI VIONGOZI WA KITAIFA KUIKWAMU, JE, VIONGOZI KWENYE NGAZI HIYO WANATOSHA?

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umemtambulisha rasmi mkandarasi atakayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji 474 v…

February 20, 2026 mjombazecoder

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umemtambulisha rasmi mkandarasi atakayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji 474 vya Mkoa wa Kagera, ambapo utekelezaji wake unatarajiwa kuanza Februari 2026 hadi Februari 2029.…

ASTV TANZANIA

Mwili wa Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Cardinal unatarajiwa kuzikwa Jumamosi ya wiki ija…

February 20, 2026 mjombazecoder

Mwili wa Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Cardinal unatarajiwa kuzikwa Jumamosi ya wiki ijayo Februari 28,2026. Askofu huyo anatarajiwa kuzikwa eneo la kanisa…

ASTV TANZANIA

#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU – 20/02/2026

February 20, 2026 mjombazecoder

#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU - 20/02/2026 (Feed generated with FetchRSS)

ASTV TANZANIA ITVBONGO

🔴TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 20, 2026 -MWILI WA KARDINALI PENGO KUZIKWA PUGU, DAR ES ALAAM

February 20, 2026 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 20, 2026 -MWILI WA KARDINALI PENGO KUZIKWA PUGU, DAR ES ALAAM

MWANANCHI

Mjane wa mfanyabiashara wa madini aliyeuawa kikatili Arusha afunguka mazito mumewe akizikwa

February 20, 2026 mjombazecoder

Hatimaye mwili wa mfanyabiashara maarufu wa madini jijini Arusha, Abdilah Mussa maarufu kama...

MWANANCHI

Chuo cha IAA kuwafuata vijana mikoani

February 20, 2026 mjombazecoder

Chuo cha Uhasibu cha Arusha (IAA) wametangaza kuanzisha kozi mpya katika kipindi hiki ili...

ASTV TANZANIA ITVBONGO

‎#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesema Serikali i…

February 20, 2026 mjombazecoder

‎#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na wananchi katika utoaji wa fursa…

ASTV TANZANIA

Tanzania sasa ina uwezo wa kuzalisha jumla ya megawati 4,400 za umeme, huku matumizi ya sasa yakiwa megawati 2,071, hali inayoto…

February 20, 2026 mjombazecoder

Tanzania sasa ina uwezo wa kuzalisha jumla ya megawati 4,400 za umeme, huku matumizi ya sasa yakiwa megawati 2,071, hali inayotoa ziada ya umeme inayoweza kuimarisha sekta ya viwanda na…

TUKO SWAHILI NEWS

James Orengo Aonya Dhidi ya Kusambaratisha Mkutano wa Linda Mwananchi Huko Kakamega: “Ni Tsunami”

February 20, 2026 mjombazecoder

Gavana Orengo aonya dhidi ya njama za kutatiza mkutano wa Linda Mwananchi Kakamega akithibitisha kujitolea kwa urithi wa Raila na utekelezaji wa ripoti ya NADCO

HABARILEO

Kihenzile akoshwa maendeleo miradi Kigoma

February 20, 2026 mjombazecoder

KIGOMA: NAIBU Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, amesema maendeleo ya mradi wa ukarabati wa Meli ya MV Liemba mkoani Kigoma yanaridhisha na utekelezaji wake umefikia zaidi ya asilimia 55. Kihenzile…

ASTV TANZANIA

Watuhumiwa saba wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro wakikabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na daw…

February 20, 2026 mjombazecoder

Watuhumiwa saba wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro wakikabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na dawa za kulevya aina ya mirungi. Kwa mujibu wa taarifa za mahakama, kesi…

ASTV TANZANIA

Jeshi la Polisi mkoani Arusha linaendelea na uchunguzi kuhusu kifo cha Abdilah Musa maarufu kwa jina la Banjo, kilichotokea Wila…

February 20, 2026 mjombazecoder

Jeshi la Polisi mkoani Arusha linaendelea na uchunguzi kuhusu kifo cha Abdilah Musa maarufu kwa jina la Banjo, kilichotokea Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma. Kamanda wa Polisi mkoani humo, SACP…

TUKO SWAHILI NEWS

Wanandoa washerehekea baraka ya kifungua mimba wao baada ya kujaribu kwa miaka 20: “Asante milele”

February 20, 2026 mjombazecoder

Efe Efeturi alishiriki furaha yake mtandaoni alipomkaribisha mtoto wake wa kwanza na mkewe, miongo miwili baada ya kufunga ndoa, hatua iliyowafurahisha wengi.

MWANANCHI

DAS Shinyanga awaonya Ruwasa kuhusu rushwa

February 20, 2026 mjombazecoder

Watumishi wa wakala wa maji na usafi wa mazingira Vijijini (Ruwasa) mkoani Shinyanga wametakiwa...

ASTV TANZANIA

Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Heart Team Africa Foundation iliyo chini ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Mussa Aza…

February 20, 2026 mjombazecoder

Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Heart Team Africa Foundation iliyo chini ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Mussa Azan Zungu amesema Serikali inachangia asilimia 70 ya gharama…

LTV ENGLISH NEWS

Tanzania notes good progress in the rehabilitation of the MV Liemba ship

February 20, 2026 mjombazecoder

KIGOMA: THE Deputy Minister for Transport, David Kihenzile, has confirmed progress on the rehabilitation of the MV Liemba ship in Kigoma Region, saying its works are 55 percent complete. Kihenzile…

MWANANCHI

Mbunge ahoji kusuasua kwa ujenzi wa barabara Njombe

February 20, 2026 mjombazecoder

Mbunge wa Viti Maalumu (Chaumma) Mkoa wa Njombe, Sigrada Mligo amehoji kusuasua kwa ujenzi wa...

LTV ENGLISH NEWS

Tanzania, World Bank seek to help farmers’ access to agricultural loans, training

February 20, 2026 mjombazecoder

DODOMA: THE Permanent Secretary in the Ministry of Agriculture, Gerald Mweli, has met and held talks with the World Bank Manager for Food and Agriculture, Frauke Jongbluth, at his Mtumba…

ASTV TANZANIA

Watuhumiwa watatu wamekamatwa katika Kata ya Lengijave mkoani Arusha wakidaiwa kuhusika na jaribio la kutorosha punda 21 kwenda …

February 20, 2026 mjombazecoder

Watuhumiwa watatu wamekamatwa katika Kata ya Lengijave mkoani Arusha wakidaiwa kuhusika na jaribio la kutorosha punda 21 kwenda nchi jirani bila kibali . Tukio hilo limebainika Februari 20, 2026 kufuatia…

LTV ENGLISH NEWS

PM envisions completion of new education curriculum by 2028

February 20, 2026 mjombazecoder

MOSHI: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has emphasized preparations for the implementation of a new education curriculum, set to be fully rolled out starting in 2028. The new curriculum will make…

MWANANCHI

Watumishi watatu Rungwe wafukuzwa kazi kwa utoro

February 20, 2026 mjombazecoder

Watumishi watatu wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Mkoa wa Mbeya, wamefukuzwa kazi kwa tuhuma...

ASTV TANZANIA ITVBONGO

#HABARI: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza kuridhishwa na kuimarika kwa hali ya nishati nchini, ambapo sas…

February 20, 2026 mjombazecoder

#HABARI: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza kuridhishwa na kuimarika kwa hali ya nishati nchini, ambapo sasa uwezo wa uzalishaji umefikia megawati 4,400 dhidi ya mahitaji…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Mashariki mwa DRC: Magari yaliyobeba vifaa vya kibinadamu yashambuliwa katika eneo la Rutshuru

February 20, 2026 mjombazecoder

Nchini DRC, lori la MSF lililobeba vifaa vya matibabu limeshambuliwa mnamo Februari 18, 2026, na watu wenye silaha. Shambulio hilo lilitokea Mayi ya Moto, katika eneo la Rutshuru (mashariki mwa…

MWANANCHI

Wanawake Mbozi watishia mgomo wa kubeba mimba

February 20, 2026 mjombazecoder

Wanawake wa Kijiji cha Kilimampimbi, Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, wametangaza kususia kubeba...

ASTV TANZANIA ITVBONGO

#HABARI: Baraza la Ushindani Tanzania (FCT) limehimizwa kuziwezesha mamlaka zake za udhibiti kwa kuzipatia rasilimali watu na fe…

February 20, 2026 mjombazecoder

#HABARI: Baraza la Ushindani Tanzania (FCT) limehimizwa kuziwezesha mamlaka zake za udhibiti kwa kuzipatia rasilimali watu na fedha za kutosha ili kuongeza ufanisi katika kutoa elimu kwa umma. Katibu wa…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Mahakama Kuu yaamua baadhi ya ushuru uliowekwa na Donald Trump kuwa kinyume cha sheria

February 20, 2026 mjombazecoder

Mahakama ya juu zaidi nchini Marekani imeamua kwamba rais wa Marekani alizidi mamlaka yake ya kikatiba kwa kuweka ushuru kwa karibu bidhaa zote zinazoingia nchini Marekani. Imechapishwa: 20/02/2026 – 16:41…

TZSPORTS

Mechi za NBC Premier League Jumapili hii

February 20, 2026 mjombazecoder

Mechi za NBC Premier League Jumapili hii Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama michezo hii. #NBCPL #SisiNiSoka #Azamtvsports (Feed generated with FetchRSS)

ASTV TANZANIA

Mzabuni Herbert Matiko Tugara kutoka Kampuni ya Herver General Services ameburuzwa mahakamani Kwa tuhuma za kutoa tuhuma za uong…

February 20, 2026 mjombazecoder

Mzabuni Herbert Matiko Tugara kutoka Kampuni ya Herver General Services ameburuzwa mahakamani Kwa tuhuma za kutoa tuhuma za uongo na kugushi. Tugara amefunguliwa kesi ya Jinai namba 3454/2026 katika Mahakama…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Urusi yakana kuwaajiri wanajeshi wa Kenya kupigana nchini Ukraine

February 20, 2026 mjombazecoder

Kwa mara ya kwanza baada ya wiki kadhaa, Urusi imevunja ukimya wake na kuamua kuzungumzia suala la wapiganaji wa Kiafrika katika jeshi lake nchini Ukraine. Urusi inalaani “kampeni hatari na…

MWANANCHI

Ukweli kuhusu uhaba wa mafuta Zanzibar

February 20, 2026 mjombazecoder

Wakati kukiwa na malalamiko ya upungufu wa mafuta Zanzibar, Serikali imesema hakuna changamoto...

MWANANCHI

Watoto wa darasa la tano na sita wakalia mikeka darasani

February 20, 2026 mjombazecoder

Wanafunzi wa darasa la tano na sita katika Shule ya Msingi Ziwani, iliyopo Kata ya Pongwe...

ASTV TANZANIA ITVBONGO

#HABARI: Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kennan Kihongosi, amewataka watumishi wa umma wilayani Kasulu kufanya…

February 20, 2026 mjombazecoder

#HABARI: Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kennan Kihongosi, amewataka watumishi wa umma wilayani Kasulu kufanya kazi kwa uaminifu, upendo, na ushirikiano huku wakiepuka unafiki na migogoro…

ASTV TANZANIA ITVBONGO

#HABARI: Serikali imezitaka taasisi za uhifadhi wa misitu na maliasili kuwekeza katika elimu tiba na kuanzisha kliniki maalum zi…

February 20, 2026 mjombazecoder

#HABARI: Serikali imezitaka taasisi za uhifadhi wa misitu na maliasili kuwekeza katika elimu tiba na kuanzisha kliniki maalum zitakazotumia asali, nyuki, na mazao yake kwa ajili ya matibabu ya wananchi…

MWANANCHI

Ziara ya Waziri Mkuu yajibu, 14 wasimamishwa kazi Muheza

February 20, 2026 mjombazecoder

Siku tatu baada ya Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba kuhitimisha ziara mkoani Tanga na kubaini...

HABARILEO

‘Navutiwa na dini ya kiislam’

February 20, 2026 mjombazecoder

MSANII wa filamu nchini, Jacqueline Wolper, amezua mjadala mpana mitandaoni baada ya kuweka wazi hisia zake kuhusu dini ya Kiislamu akieleza kuvutiwa kwake na imani hiyo. Kupitia ukurasa wake wa…

ASTV TANZANIA ITVBONGO

🔴HAPA NA PALE KUTOKA GEITA, FEBRUARI 20, 2026 – WATAKAOLIMA KWENYE VYANZO VYA MAJI KUTOZWA FAINI

February 20, 2026 mjombazecoder

🔴HAPA NA PALE KUTOKA GEITA, FEBRUARI 20, 2026 - WATAKAOLIMA KWENYE VYANZO VYA MAJI KUTOZWA FAINI

TZSPORTS

SERIE A leo Ijumaa

February 20, 2026 mjombazecoder

SERIE A leo Ijumaa Saa 4:45 usiku, Sassuolo watakuwa nyumbani wakiwakaribisha Verona. Mchezo huu utaruka mbashara kupitia AzamSports3HD Kwa kifurushi cha Shilingi 28,000 unatazama mchezo huu. @seriea (Feed generated with…

HABARILEO

IAA yawekeza bilioni mbili kwenye teknolojia

February 20, 2026 mjombazecoder

CHUO cha Uhasibu Arusha (IAA) kimetenga Shilingi bilioni 2 kupitia Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) kwa ajili ya kuimarisha miundombinu ya kiteknolojia na kidijitali, hatua…

TUKO SWAHILI NEWS

Mwanamke Ahangaika Baada ya Mumewe Kumwacha Hospitalini, Kufagia Nyumba na Kuoa Kwingine

February 20, 2026 mjombazecoder

Recho Nassary, aliyeachwa na mumewe baada ya kujifungua mtoto wao mwenye ulemavu, anashiriki hadithi yake ya kuhuzunisha ya usaliti na mapambano ya kupata msaada.

HABARILEO

IAA yawainua vijana 8,600

February 20, 2026 mjombazecoder

ZAIDI ya vijana 8,600 wamefikiwa na Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) kupitia programu za ujasiriamali na ubunifu, hatua iliyowezesha vijana 1,520 kubuni mawazo ya biashara na kuanzisha zaidi ya biashara…

ASTV TANZANIA ITVBONGO

#HABARI: Jumla ya vitongoji 474 kati ya 1,636 ambavyo havina umeme mkoani Kagera vinatarajiwa kuanza kunufaika na nishati ya REA…

February 20, 2026 mjombazecoder

#HABARI: Jumla ya vitongoji 474 kati ya 1,636 ambavyo havina umeme mkoani Kagera vinatarajiwa kuanza kunufaika na nishati ya REA ifikapo Februari 2029, kufuatia kuwasili kwa mkandarasi wa mradi huo.…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Mtandao wa kigaidi wa JNIM waendelea kujiimarisha Sahel

February 20, 2026 mjombazecoder

Mtandao wa kigaidi wa JNIM wenye uhusiano na Al Qaeda, umeendelea kupanuka nje ya mipaka ya Sahel hadi katika pwani ya Afrika Magharibi, ingawa unasita kuanzisha makazi ya kudumu, ripoti…

MWANANCHI

JEMIMA BASHITE: Kutoka kuuza mkaa hadi mwajiri na mmiliki wa saluni

February 20, 2026 mjombazecoder

Jemima anasema 2009 akiwa mwanafunzi wa kidato cha nne, alikumbwa na pigo kubwa la kufiwa na...

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

RDC: FARDC yaituhumu Rwanda na M23 kwa kushambulia ngome zake

February 20, 2026 mjombazecoder

Jeshi la Congo, FARDC linawashutumu wanajeshi wa Rwanda wanaoshirikiana na waasi wa AFC/M23 kushambulia maeneo yake kwenye jimbo la Kivu Kaskazini na Kusini, likisema vitendo hivyo vinakiuka mpango wa usitishaji…

MWANANCHI

Dar yaongoza migogoro ya ardhi, mashauri 90 yasikilizwa Kliniki ya Sheria

February 20, 2026 mjombazecoder

Chini ya jua kali katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, makundi ya wananchi...

Posts pagination

1 … 9 10 11 … 622

Recent Posts

  • Waziri wa Ulinzi: Uhusiano na nchi za Afrika za kimapinduzi na zenye misimamo huru utastawishwa
  • Kutokubali Iran kusalimu amri mbele ya Marekani
  • 🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 23, 2026
  • 🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 23, 2026
  • 🔴AIBUYAKO: HII NI AIBU!

Recent Comments

No comments to show.

Archives

  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

HABARI ZA KIPEKEE

Waziri wa Ulinzi: Uhusiano na nchi za Afrika za kimapinduzi na zenye misimamo huru utastawishwa

February 24, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Kutokubali Iran kusalimu amri mbele ya Marekani

February 24, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA ITVBONGO

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 23, 2026

February 23, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA ITVBONGO

🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 23, 2026

February 23, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS