Waziri wa Maji, Mhe
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amemuhakikishia Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) kuwa Wizara ya Maji haitakuwa kikwazo katika utekelezaji wa Mradi wa Maji kwa kutumia chanzo…
Shahidi mfuasi wa Lissu adai kutishiwa, Lissu amtaka awapelekee Polisi ujumbe
Shahidi wa 14 katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na...
Dk Nchimbi aenda kuhani msiba wa Kardinali Pengo
Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi ametembelea msibani kwa Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa...
Askofu wa Kanisa la Ufunuo Tanzania, Paul Bendera ametoa ufafanuzi kuhusu umuhimu wa fungu la kumi kwa waumini, akisisitiza kuwa…
Askofu wa Kanisa la Ufunuo Tanzania, Paul Bendera ametoa ufafanuzi kuhusu umuhimu wa fungu la kumi kwa waumini, akisisitiza kuwa sadaka hiyo ya kiimani haipaswi kuhusishwa na fedha za mikopo.…
#KIPIMAJOTO: MIRADI YA MAENDELEO ILIYOKWAMA KWENYE HALMASHAURI KUSUBIRI VIONGOZI WA KITAIFA KUIKWAMU, JE, VIONGOZI KWENYE NGAZI …
#KIPIMAJOTO: MIRADI YA MAENDELEO ILIYOKWAMA KWENYE HALMASHAURI KUSUBIRI VIONGOZI WA KITAIFA KUIKWAMU, JE, VIONGOZI KWENYE NGAZI HIYO WANATOSHA?
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umemtambulisha rasmi mkandarasi atakayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji 474 v…
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umemtambulisha rasmi mkandarasi atakayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji 474 vya Mkoa wa Kagera, ambapo utekelezaji wake unatarajiwa kuanza Februari 2026 hadi Februari 2029.…
Mwili wa Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Cardinal unatarajiwa kuzikwa Jumamosi ya wiki ija…
Mwili wa Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Cardinal unatarajiwa kuzikwa Jumamosi ya wiki ijayo Februari 28,2026. Askofu huyo anatarajiwa kuzikwa eneo la kanisa…
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU – 20/02/2026
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU - 20/02/2026 (Feed generated with FetchRSS)
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 20, 2026 -MWILI WA KARDINALI PENGO KUZIKWA PUGU, DAR ES ALAAM
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 20, 2026 -MWILI WA KARDINALI PENGO KUZIKWA PUGU, DAR ES ALAAM
Mjane wa mfanyabiashara wa madini aliyeuawa kikatili Arusha afunguka mazito mumewe akizikwa
Hatimaye mwili wa mfanyabiashara maarufu wa madini jijini Arusha, Abdilah Mussa maarufu kama...
Chuo cha IAA kuwafuata vijana mikoani
Chuo cha Uhasibu cha Arusha (IAA) wametangaza kuanzisha kozi mpya katika kipindi hiki ili...
‎#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesema Serikali i…
‎#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na wananchi katika utoaji wa fursa…
Tanzania sasa ina uwezo wa kuzalisha jumla ya megawati 4,400 za umeme, huku matumizi ya sasa yakiwa megawati 2,071, hali inayoto…
Tanzania sasa ina uwezo wa kuzalisha jumla ya megawati 4,400 za umeme, huku matumizi ya sasa yakiwa megawati 2,071, hali inayotoa ziada ya umeme inayoweza kuimarisha sekta ya viwanda na…
James Orengo Aonya Dhidi ya Kusambaratisha Mkutano wa Linda Mwananchi Huko Kakamega: “Ni Tsunami”
Gavana Orengo aonya dhidi ya njama za kutatiza mkutano wa Linda Mwananchi Kakamega akithibitisha kujitolea kwa urithi wa Raila na utekelezaji wa ripoti ya NADCO
Kihenzile akoshwa maendeleo miradi Kigoma
KIGOMA: NAIBU Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, amesema maendeleo ya mradi wa ukarabati wa Meli ya MV Liemba mkoani Kigoma yanaridhisha na utekelezaji wake umefikia zaidi ya asilimia 55. Kihenzile…
Watuhumiwa saba wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro wakikabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na daw…
Watuhumiwa saba wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro wakikabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na dawa za kulevya aina ya mirungi. Kwa mujibu wa taarifa za mahakama, kesi…
Jeshi la Polisi mkoani Arusha linaendelea na uchunguzi kuhusu kifo cha Abdilah Musa maarufu kwa jina la Banjo, kilichotokea Wila…
Jeshi la Polisi mkoani Arusha linaendelea na uchunguzi kuhusu kifo cha Abdilah Musa maarufu kwa jina la Banjo, kilichotokea Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma. Kamanda wa Polisi mkoani humo, SACP…
Wanandoa washerehekea baraka ya kifungua mimba wao baada ya kujaribu kwa miaka 20: “Asante milele”
Efe Efeturi alishiriki furaha yake mtandaoni alipomkaribisha mtoto wake wa kwanza na mkewe, miongo miwili baada ya kufunga ndoa, hatua iliyowafurahisha wengi.
DAS Shinyanga awaonya Ruwasa kuhusu rushwa
Watumishi wa wakala wa maji na usafi wa mazingira Vijijini (Ruwasa) mkoani Shinyanga wametakiwa...
Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Heart Team Africa Foundation iliyo chini ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Mussa Aza…
Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Heart Team Africa Foundation iliyo chini ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Mussa Azan Zungu amesema Serikali inachangia asilimia 70 ya gharama…
Tanzania notes good progress in the rehabilitation of the MV Liemba ship
KIGOMA: THE Deputy Minister for Transport, David Kihenzile, has confirmed progress on the rehabilitation of the MV Liemba ship in Kigoma Region, saying its works are 55 percent complete. Kihenzile…
Mbunge ahoji kusuasua kwa ujenzi wa barabara Njombe
Mbunge wa Viti Maalumu (Chaumma) Mkoa wa Njombe, Sigrada Mligo amehoji kusuasua kwa ujenzi wa...
Tanzania, World Bank seek to help farmers’ access to agricultural loans, training
DODOMA: THE Permanent Secretary in the Ministry of Agriculture, Gerald Mweli, has met and held talks with the World Bank Manager for Food and Agriculture, Frauke Jongbluth, at his Mtumba…
Watuhumiwa watatu wamekamatwa katika Kata ya Lengijave mkoani Arusha wakidaiwa kuhusika na jaribio la kutorosha punda 21 kwenda …
Watuhumiwa watatu wamekamatwa katika Kata ya Lengijave mkoani Arusha wakidaiwa kuhusika na jaribio la kutorosha punda 21 kwenda nchi jirani bila kibali . Tukio hilo limebainika Februari 20, 2026 kufuatia…
PM envisions completion of new education curriculum by 2028
MOSHI: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has emphasized preparations for the implementation of a new education curriculum, set to be fully rolled out starting in 2028. The new curriculum will make…
Watumishi watatu Rungwe wafukuzwa kazi kwa utoro
Watumishi watatu wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Mkoa wa Mbeya, wamefukuzwa kazi kwa tuhuma...
#HABARI: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza kuridhishwa na kuimarika kwa hali ya nishati nchini, ambapo sas…
#HABARI: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza kuridhishwa na kuimarika kwa hali ya nishati nchini, ambapo sasa uwezo wa uzalishaji umefikia megawati 4,400 dhidi ya mahitaji…
Mashariki mwa DRC: Magari yaliyobeba vifaa vya kibinadamu yashambuliwa katika eneo la Rutshuru
Nchini DRC, lori la MSF lililobeba vifaa vya matibabu limeshambuliwa mnamo Februari 18, 2026, na watu wenye silaha. Shambulio hilo lilitokea Mayi ya Moto, katika eneo la Rutshuru (mashariki mwa…
Wanawake Mbozi watishia mgomo wa kubeba mimba
Wanawake wa Kijiji cha Kilimampimbi, Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, wametangaza kususia kubeba...
#HABARI: Baraza la Ushindani Tanzania (FCT) limehimizwa kuziwezesha mamlaka zake za udhibiti kwa kuzipatia rasilimali watu na fe…
#HABARI: Baraza la Ushindani Tanzania (FCT) limehimizwa kuziwezesha mamlaka zake za udhibiti kwa kuzipatia rasilimali watu na fedha za kutosha ili kuongeza ufanisi katika kutoa elimu kwa umma. Katibu wa…
Mahakama Kuu yaamua baadhi ya ushuru uliowekwa na Donald Trump kuwa kinyume cha sheria
Mahakama ya juu zaidi nchini Marekani imeamua kwamba rais wa Marekani alizidi mamlaka yake ya kikatiba kwa kuweka ushuru kwa karibu bidhaa zote zinazoingia nchini Marekani. Imechapishwa: 20/02/2026 – 16:41…
Mechi za NBC Premier League Jumapili hii
Mechi za NBC Premier League Jumapili hii Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama michezo hii. #NBCPL #SisiNiSoka #Azamtvsports (Feed generated with FetchRSS)
Mzabuni Herbert Matiko Tugara kutoka Kampuni ya Herver General Services ameburuzwa mahakamani Kwa tuhuma za kutoa tuhuma za uong…
Mzabuni Herbert Matiko Tugara kutoka Kampuni ya Herver General Services ameburuzwa mahakamani Kwa tuhuma za kutoa tuhuma za uongo na kugushi. Tugara amefunguliwa kesi ya Jinai namba 3454/2026 katika Mahakama…
Urusi yakana kuwaajiri wanajeshi wa Kenya kupigana nchini Ukraine
Kwa mara ya kwanza baada ya wiki kadhaa, Urusi imevunja ukimya wake na kuamua kuzungumzia suala la wapiganaji wa Kiafrika katika jeshi lake nchini Ukraine. Urusi inalaani “kampeni hatari na…
Ukweli kuhusu uhaba wa mafuta Zanzibar
Wakati kukiwa na malalamiko ya upungufu wa mafuta Zanzibar, Serikali imesema hakuna changamoto...
Watoto wa darasa la tano na sita wakalia mikeka darasani
Wanafunzi wa darasa la tano na sita katika Shule ya Msingi Ziwani, iliyopo Kata ya Pongwe...
#HABARI: Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kennan Kihongosi, amewataka watumishi wa umma wilayani Kasulu kufanya…
#HABARI: Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kennan Kihongosi, amewataka watumishi wa umma wilayani Kasulu kufanya kazi kwa uaminifu, upendo, na ushirikiano huku wakiepuka unafiki na migogoro…
#HABARI: Serikali imezitaka taasisi za uhifadhi wa misitu na maliasili kuwekeza katika elimu tiba na kuanzisha kliniki maalum zi…
#HABARI: Serikali imezitaka taasisi za uhifadhi wa misitu na maliasili kuwekeza katika elimu tiba na kuanzisha kliniki maalum zitakazotumia asali, nyuki, na mazao yake kwa ajili ya matibabu ya wananchi…
Ziara ya Waziri Mkuu yajibu, 14 wasimamishwa kazi Muheza
Siku tatu baada ya Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba kuhitimisha ziara mkoani Tanga na kubaini...
‘Navutiwa na dini ya kiislam’
MSANII wa filamu nchini, Jacqueline Wolper, amezua mjadala mpana mitandaoni baada ya kuweka wazi hisia zake kuhusu dini ya Kiislamu akieleza kuvutiwa kwake na imani hiyo. Kupitia ukurasa wake wa…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA GEITA, FEBRUARI 20, 2026 – WATAKAOLIMA KWENYE VYANZO VYA MAJI KUTOZWA FAINI
🔴HAPA NA PALE KUTOKA GEITA, FEBRUARI 20, 2026 - WATAKAOLIMA KWENYE VYANZO VYA MAJI KUTOZWA FAINI
SERIE A leo Ijumaa
SERIE A leo Ijumaa Saa 4:45 usiku, Sassuolo watakuwa nyumbani wakiwakaribisha Verona. Mchezo huu utaruka mbashara kupitia AzamSports3HD Kwa kifurushi cha Shilingi 28,000 unatazama mchezo huu. @seriea (Feed generated with…
IAA yawekeza bilioni mbili kwenye teknolojia
CHUO cha Uhasibu Arusha (IAA) kimetenga Shilingi bilioni 2 kupitia Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) kwa ajili ya kuimarisha miundombinu ya kiteknolojia na kidijitali, hatua…
Mwanamke Ahangaika Baada ya Mumewe Kumwacha Hospitalini, Kufagia Nyumba na Kuoa Kwingine
Recho Nassary, aliyeachwa na mumewe baada ya kujifungua mtoto wao mwenye ulemavu, anashiriki hadithi yake ya kuhuzunisha ya usaliti na mapambano ya kupata msaada.
IAA yawainua vijana 8,600
ZAIDI ya vijana 8,600 wamefikiwa na Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) kupitia programu za ujasiriamali na ubunifu, hatua iliyowezesha vijana 1,520 kubuni mawazo ya biashara na kuanzisha zaidi ya biashara…
#HABARI: Jumla ya vitongoji 474 kati ya 1,636 ambavyo havina umeme mkoani Kagera vinatarajiwa kuanza kunufaika na nishati ya REA…
#HABARI: Jumla ya vitongoji 474 kati ya 1,636 ambavyo havina umeme mkoani Kagera vinatarajiwa kuanza kunufaika na nishati ya REA ifikapo Februari 2029, kufuatia kuwasili kwa mkandarasi wa mradi huo.…
Mtandao wa kigaidi wa JNIM waendelea kujiimarisha Sahel
Mtandao wa kigaidi wa JNIM wenye uhusiano na Al Qaeda, umeendelea kupanuka nje ya mipaka ya Sahel hadi katika pwani ya Afrika Magharibi, ingawa unasita kuanzisha makazi ya kudumu, ripoti…
JEMIMA BASHITE: Kutoka kuuza mkaa hadi mwajiri na mmiliki wa saluni
Jemima anasema 2009 akiwa mwanafunzi wa kidato cha nne, alikumbwa na pigo kubwa la kufiwa na...
RDC: FARDC yaituhumu Rwanda na M23 kwa kushambulia ngome zake
Jeshi la Congo, FARDC linawashutumu wanajeshi wa Rwanda wanaoshirikiana na waasi wa AFC/M23 kushambulia maeneo yake kwenye jimbo la Kivu Kaskazini na Kusini, likisema vitendo hivyo vinakiuka mpango wa usitishaji…
Dar yaongoza migogoro ya ardhi, mashauri 90 yasikilizwa Kliniki ya Sheria
Chini ya jua kali katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, makundi ya wananchi...