Skip to content
  • Wed. Oct 22nd, 2025

LTV TANZANIA

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY

Latest Post

Rais wa Marekani Donald Trump asema hakutaka kufanya mkutano wa ‘kupoteza tu muda’ Tetesi za Soka Ulaya Jumatano: Liverpool wanafikiria kumsajili Semenyo Meja Jenerali Pakpour: Jahanamu itashuhdiwa iwapo Iran itashambuliwa IOM: Licha hali ya tete ya usalama, zaidi ya watu milioni moja wamerejea mji mkuu wa Sudan, Khartoum Mkutano kati ya Trump na Putin wasitishwa
BBC NEWS TANZANIA

Rais wa Marekani Donald Trump asema hakutaka kufanya mkutano wa ‘kupoteza tu muda’

October 22, 2025 mjombazecoder
BBC NEWS TANZANIA

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano: Liverpool wanafikiria kumsajili Semenyo

October 22, 2025 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Meja Jenerali Pakpour: Jahanamu itashuhdiwa iwapo Iran itashambuliwa

October 22, 2025 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

IOM: Licha hali ya tete ya usalama, zaidi ya watu milioni moja wamerejea mji mkuu wa Sudan, Khartoum

October 22, 2025 mjombazecoder
BBC LIVE SOMA

Mkutano kati ya Trump na Putin wasitishwa

October 22, 2025 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Rais wa Marekani Donald Trump asema hakutaka kufanya mkutano wa ‘kupoteza tu muda’
BBC NEWS TANZANIA
Rais wa Marekani Donald Trump asema hakutaka kufanya mkutano wa ‘kupoteza tu muda’
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano: Liverpool wanafikiria kumsajili Semenyo
BBC NEWS TANZANIA
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano: Liverpool wanafikiria kumsajili Semenyo
Meja Jenerali Pakpour: Jahanamu itashuhdiwa iwapo Iran itashambuliwa
HABARI ZA KIPEKEE
Meja Jenerali Pakpour: Jahanamu itashuhdiwa iwapo Iran itashambuliwa
IOM: Licha hali ya tete ya usalama, zaidi ya watu milioni moja wamerejea mji mkuu wa Sudan, Khartoum
HABARI ZA KIPEKEE
IOM: Licha hali ya tete ya usalama, zaidi ya watu milioni moja wamerejea mji mkuu wa Sudan, Khartoum
aarifa Kuu Za App
Uncategorized
aarifa Kuu Za App
MICHEZO
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Uncategorized
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Rais wa Marekani Donald Trump asema hakutaka kufanya mkutano wa ‘kupoteza tu muda’
BBC NEWS TANZANIA
Rais wa Marekani Donald Trump asema hakutaka kufanya mkutano wa ‘kupoteza tu muda’
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano: Liverpool wanafikiria kumsajili Semenyo
BBC NEWS TANZANIA
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano: Liverpool wanafikiria kumsajili Semenyo
Meja Jenerali Pakpour: Jahanamu itashuhdiwa iwapo Iran itashambuliwa
HABARI ZA KIPEKEE
Meja Jenerali Pakpour: Jahanamu itashuhdiwa iwapo Iran itashambuliwa
IOM: Licha hali ya tete ya usalama, zaidi ya watu milioni moja wamerejea mji mkuu wa Sudan, Khartoum
HABARI ZA KIPEKEE
IOM: Licha hali ya tete ya usalama, zaidi ya watu milioni moja wamerejea mji mkuu wa Sudan, Khartoum
Uncategorized

Kamanda Mousavi: Wananchi, wanajeshi wa Iran watasimama na Qatar

September 12, 2025 mjombazecoder

Mkuu wa Kamandi ya Majeshi ya Iran amesema kuwa serikali, taifa na vikosi vya kijeshi vya Qatar vinapaswa kujua kwamba, Jamhuri ya Kiislamu na jeshi lake litaendelea kusimama upande wao…

LTV LIVE TV

#HABARI: Burkina Faso inasema imeanzisha mfumo wa visa bila malipo kwa raia wa Afrika, kwa nia ya kuwezesha usafirishaji wa watu…

September 12, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Burkina Faso inasema imeanzisha mfumo wa visa bila malipo kwa raia wa Afrika, kwa nia ya kuwezesha usafirishaji wa watu na bidhaa ndani ya nchi. Uamuzi huo ulitolewa Alhamisi,…

BBC NEWS TANZANIA

Amka Na BBC

September 12, 2025 mjombazecoder

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link

Uncategorized

Marais wa Iran na Misri wahimiza umoja dhidi ya uvamizi wa Israel

September 12, 2025 mjombazecoder

Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mashambulizi ya anga ya Israel dhidi ya Doha yanadhihirisha kutozingatiwa kanuni na mifumo ya kimataifa. BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI…

BBC NEWS TANZANIA

Amka Na BBC

September 12, 2025 mjombazecoder

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link

BBC NEWS TANZANIA

Makamu wa rais wa Sudan Kusini ashtakiwa kwa mauaji na uhaini

September 12, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, Reuters Maelezo ya picha, Riek Machar Riek Machar amekuwa chini ya kizuizi cha nyumbani tangu Machi Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar amefunguliwa…

BBC LIVE SOMA

Waziri mkuu wa Qatar aituhumu Israel kutowajali mateka

September 12, 2025 mjombazecoder

Hata hivyo, waziri mkuu huyo ambaye pia ndiye waziri wa mambo ya kigeni wa taifa hilo la Kiarabu, alithibitisha kwamba nchi yake isingelizilekeza juhudi za kukomesha vita vinavyokaribia miaka miwili…

LTV LIVE TV

#SWALILAKIPIMAJOTO: Kampeni za wagombea nafasi mbalimbali za uongozi kwa ajili ya uchaguzi Mkuu zinazoendelea

September 12, 2025 mjombazecoder

#SWALILAKIPIMAJOTO: Kampeni za wagombea nafasi mbalimbali za uongozi kwa ajili ya uchaguzi Mkuu zinazoendelea . Je, kuwe na fursa za wagombea hao kuulizwa maswali?

BBC LIVE SOMA

Bolsonaro ahukumiwa miaka 27 kwa jaribio la mapinduzi

September 12, 2025 mjombazecoder

Majai walisema rais huyo wa zamani alikula njama za kusalia madarakani licha ya kushindwa kwenye uchaguzi wa mwaka 2022. Majaji wanne kati ya watano wa mahakama hiyo walisema kwenye hukumu…

BBC LIVE SOMA

China yatuma meli ya kijeshi Mlango wa Bahari wa Taiwan

September 12, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa jeshi la majini la China , Leng Guowei, ameiita safari hiyo kuwa ni ya kawaida na hailengi kumtishia yeyote. Hata hivyo, serikali ya Taiwan imesema kuwa itachapisha muongozo…

BBC LIVE SOMA

Balozi wa Uingereza jijini Washington afutwa kazi

September 12, 2025 mjombazecoder

Barua pepe zilizovuja zinaonesha kuwa Balozi Peter Mandelson alikuwa akiwasiliana na kumuunga mkono Epstein, akimueleza kuwa hukumu dhidi yake ilikuwa batili na kwamba lazima ipingwe. Waziri wa Mambo ya Nje…

Uncategorized

Afrika Kusini imewahukumu raia 7 wa China miaka 20 jela kila mmoja kwa magendo ya binadamu

September 12, 2025 mjombazecoder

Mahakama moja mjini Johannesburg Afrika Kusini imewahukumu raia saba wa China kifungo cha miaka 20 jela kila mmoja kia mmoja baada ya kuwapata na hatia ya magendo ya binadamu. Raia…

BBC LIVE SOMA

Iran: Bado madini ya urani yaliyorutubishwa yako vifusini

September 12, 2025 mjombazecoder

Akizungumza kwenye mahojiano na kituo kimoja cha televisheni siku ya Alhamis (Septemba 11), Araghchi alisema Shirika la Nishati ya Atomiki la nchi hiyo linaendelea kutathmini hali na upatikanaji wa shehena…

BBC LIVE SOMA

Qatar yasema Israel haiwajali mateka wake walioko Gaza

September 12, 2025 mjombazecoder

Akizungumza kupitia ujumbe uliorushwa kwa njia ya televisheni, afisa wa ngazi wa juu wa Hamas, Fawzi Bahroun, alisema siku ya Alhamis (Septemba 11) kwamba mashambulizi ya Israel yaliyokusudiwa kuwauwa viongozi…

Uncategorized

UNRWA: Zaidi ya wakimbizi laki moja wa Gaza hawajapokea msaada wowote tangu miezi 6 iliyopita

September 12, 2025 mjombazecoder

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetangaza kuwa, zaidi ya watu laki moja wanaendelea kutaabika na njaa katika maeneo ya kuwahifadhi wakimbizi ya shirika hilo…

Uncategorized

Waziri Mkuu wa Qatar: Benjamin Netanyahu anapasa 'kufikishwa mbele ya sheria'

September 12, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa Qatar Mohammed bin Abdulrahman bin Jassim Al-Thani amelaani mashambulizi ya juzi ya Israel dhidi ya Doha na kuyataja kuwa ni “ugaidi wa kiserikali,”. Amesema kuwa Waziri Mkuu…

Uncategorized

Utekaji nyara wa wafanyakazi wa misaada huko Sudan Kusini ni zaidi ya maradufu

September 12, 2025 mjombazecoder

Idadi ya wafanyakazi wa misaada waliotekwa nyara nchini Sudan Kusini imeongezeka zaidi ya mara mbili mwaka huu. Takwimu hii imetolewa na maafisa wawili waandamizi wa masuala ya kibinadamu wanaofanya kazi…

BBC LIVE SOMA

12.09.2025

September 12, 2025 mjombazecoder

SK2 / S02S12.09.202512 Septemba 2025 Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linatarajiwa kupiga kura leo kuamua iwapo litaunga mkono azimio kuhusu suluhisho la mataifa mawili ya Israel na Palestina bila…

Uncategorized

Mwandishi wa Uingereza: Vyombo vya habari vya Magharibi vinapotosha ukweli wa mambo kuhusu njaa huko Gaza

September 11, 2025 mjombazecoder

Mwandishi mmoja wa Kiingereza amekiri kwamba vyombo vya habari vya nchi za Magharibi vinaathiriwa na ushawishi wa utawala katili wa Israei katika kuripoti jinai za utawala huo dhidi ya watu…

Uncategorized

Sudan Kusini: Makamu wa Rais Riek Machar ashtakiwa kwa ‘ugaidi na uhaini’

September 11, 2025 mjombazecoder

Makamu wa Rais wa Sudan Kusini, Riek Machar, ameshtakiwa kwa “ugaidi na uhaini,” Wizara ya Sheria ya Sudan Kusini imetangaza katika taarifa yake siku ya Alhamisi, Septemba 11. Riek Machar,…

Uncategorized

Araghchi katika mazungumzo na Mufti Mkuu wa Tunisia: Kukomeshwa mauaji ya halaiki huko Gaza kunahitajia ushirikiano wa Umma wa Kiislamu

September 11, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika kikao na Mufti Mkuu wa Tunisia kwamba: “Kukomeshwa mauaji ya halaiki ya utawala wa Kizayuni huko Gaza…

Uncategorized

Uchaguzi wa urais Côte d’Ivoire: Laurent Gbagbo awapokea wapinzani wengine

September 11, 2025 mjombazecoder

Nchini Côte d’Ivoire, siku moja baada ya kukataliwa kugombea urais, rais wa zamani Laurent Gbagbo amepokea wapinzani wengine kadhaa mnamo Septemba 10, 2025. Miongoni mwao ni Pascal Affi N’Guessan wa…

Uncategorized

Brazil: Jair Bolsonaro ahukumiwa kifungo cha miaka 27 jela kwa jaribio la mapinduzi

September 11, 2025 mjombazecoder

Rais wa zamani wa mrengo wa kulia wa Brazil Jair Bolsonaro amehukumiwa siku ya Alhamisi, Septemba 11, kifungo cha miaka 27 jela kwa jaribio la mapinduzi ya kijeshi, kwa kujaribu…

Uncategorized

DRC: Hukumu dhidi ya Joseph Kabila kutolewa Ijumaa

September 11, 2025 mjombazecoder

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, hukumu hiyo inatarajiwa kutolewa siku ya Ijumaa, Septemba 12, katika kesi ambayo Joseph Kabila hajahudhuria. Akituhumiwa kushirikiana na kundi la waasi la M23 linaloungwa…

BBC LIVE SOMA

Shambulio la Israel dhidi ya Qatar linapaswa kuwa onyo kwa eneo lote

September 11, 2025 mjombazecoder

Spika wa Bunge la Uturuki, Numan Kurtulmus, amesema kuwa mashambulizi ya hivi karibuni ya Israel dhidi ya nchi za ukanda huu yanapaswa kuwa “onyo”. Kauli hiyo ya Kurtulmus ilitolewa siku…

BBC LIVE SOMA

Uturuki yakanusha madai kwamba Israel ililenga vikosi vyake nchini Syria

September 11, 2025 mjombazecoder

Wizara ya Ulinzi ya Uturuki imekana ripoti ya kwamba Israel ililenga vifaa vya Vikosi vya Kijeshi vya Uturuki nchini Syria, ikisisitiza kuwa madai hayo “hayana ukweli wowote.” Katika taarifa iliyotolewa…

BBC LIVE SOMA

Sudan Kusini yamshtaki Makamu Rais Riek Machar kwa makosa ya mauaji na uhaini

September 11, 2025 mjombazecoder

Sudan Kusini yamshtaki Makamu Rais Riek Machar kwa makosa ya mauaji na uhaini Makamu wa Rais wa Sudan Kusini, Riek Machar, ameshtakiwa kwa makosa ya mauaji, uhaini na uhalifu dhidi…

LTV LIVE TV

#MALUMBANOYAHOJA: Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025

September 11, 2025 mjombazecoder

#MALUMBANOYAHOJA: Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025. Je Wagombea na ilani za vyama vyao zinagusa changamoto za wananchi? #3:00 Kamili Usiku (saa tatu kamaili usiku) #11Septemba2025

BBC LIVE SOMA

Mahakama Kuu ya Afrika Kusini imeruhusu wanaume kuchukua majina ya ukoo ya wake zao

September 11, 2025 mjombazecoder

Mahakama ya juu kabisa nchini Afrika Kusini imeamuru kuwa wanaume wanaweza kuchukua majina ya ukoo ya wake zao, uamuzi ambao umepongezwa kama hatua inayowaleta wanaume na wanawake kwenye usawa wa…

BBC LIVE SOMA

Wapalestina waendelea kuhangaika kutafuta makaazi

September 11, 2025 mjombazecoder

Israel imewaamuru wakaazi wanaoishi huko Gaza City kuondoka wakati ikizidisha vita vyake dhidi ya kundi la Hamas lakini usalama mdogo, kukosa mahala pa kwenda na hata chakula ambavyo pengine wangepata…

BBC LIVE SOMA

Keir Starmer amfuta kazi balozi wa Uingereza Marekani

September 11, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer, amemfuta kazi balozi wa Uingereza nchini Marekani, Peter Mandelson kutokana na uhusiano wake na Jeffrey Epstein aliyepatikana na hatia ya kuwadhalilisha kingono mabinti wadogo…

BBC LIVE SOMA

Mpina aibuka kidedea kufuatia uamuzi wa mahakama

September 11, 2025 mjombazecoder

11.09.202511 Septemba 2025 Mahakama Kuu ya Tanzania, kupitia Masjala Kuu ya Dodoma, imetoa uamuzi uliomrejesha Luhaga Mpina kwenye kinyang’anyiro cha urais kupitia chama cha ACT-Wazalendo katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika…

BBC LIVE SOMA

Sudan Kusini kuwarudisha makwao wahamiaji kutoka Marekan

September 11, 2025 mjombazecoder

11.09.202511 Septemba 2025 Sudan Kusini inafanya majadiliano ili kuwarejesha wahamiaji iliowapokea kutoka Marekani chini ya mpango wa Rais Donald Trump wa kuwakamata na kuwarudisha wahamiaji katika nchi walizotokea. https://p.dw.com/p/50Lry Polisi…

BBC LIVE SOMA

Suan Kusini kuwarudisha makwao wahamiaji kutoka Marekan

September 11, 2025 mjombazecoder

11.09.202511 Septemba 2025 Sudan Kusini inafanya majadiliano ili kuwarejesha wahamiaji iliowapokea kutoka Marekani chini ya mpango wa Rais Donald Trump wa kuwakamata na kuwarudisha wahamiaji katika nchi walizotokea. https://p.dw.com/p/50Lry Polisi…

BBC LIVE SOMA

Umoja wa Mataifa watoa wito wa msaada zaidi kwa Afghanistan

September 11, 2025 mjombazecoder

Haya ni kwa mujibu wa Shirika la Uhamiaji la Umoja wa Mataifa IOM. Shirika hilo limetoa wito wa karibu dola milioni 17 ili kuwapa makaazi na huduma za afya za…

BBC LIVE SOMA

Waliofariki kutokana na mafuriko Indonesia wafikia 19

September 11, 2025 mjombazecoder

Haya yamesemwa na maafisa nchini humo Alhamis huku watu watano wengine wakiwa hawajulikani walipo. Katika taarifa, msemaji wa Shirika la Kitaifa la Kukabiliana na MajangaIndonesia Abdul Muhari, amesema zaidi ya…

BBC LIVE SOMA

Uingereza yamuachisha kazi balozi wake Marekani

September 11, 2025 mjombazecoder

Hii ni kutokana na kuhusishwa kwake na Mmarekani Jeffrey Epstein, aliyefungwa jela kutokana na madai ya kuendesha mtandao uliowadhalilisha kingono wasichana wadogo. Katika taarifa aliyoitoa bungeni waziri wa mambo ya…

BBC LIVE SOMA

Hamas yasema shambulizi la Doha halitobadili matakwa yake

September 11, 2025 mjombazecoder

Afisa wa Hamas, Fawzi Barhoum, katika hotuba aliyoitoa kwenye televisheni amesema shambulizi hilo liliulenga ujumbe wao wa majadiliano wakati ulipokuwa katika harakati ya kujadiliana kuhusiana na pendekezo la kusitisha mapigano…

BBC LIVE SOMA

Luhaga Mpina ‘asafishiwa njia’ ya kugombea Urais

September 11, 2025 mjombazecoder

Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama cha ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina, ameibuka mshindi katika kesi aliyoifungua kupinga kuenguliwa kwenye mchakato wa urejeshaji wa fomu za uteuzi wa kugombea urais. Mahakama Kuu…

Uncategorized

Ripoti: Uhuru wa vyombo vya habari duniani uko katika kiwango cha chini kabisa kwa miaka 50

September 11, 2025 mjombazecoder

Uhuru wa vyombo vya habari umezorota kwa kiasi kikubwa katika kipindi cha miaka mitano iliyopita duniani kote na umefikia kiwango cha chini kabisa kwa miaka 50, kulingana na ripoti ya…

LTV LIVE TV

#HABARI: Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT Wazalendo Luhaga Mpina, ameshinda kesi yake dhid…

September 11, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT Wazalendo Luhaga Mpina, ameshinda kesi yake dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Tume Huru ya Uchaguzi,…

BBC LIVE SOMA

Pyongyang yatangaza vifo vya wanajeshi wake Ukraine

September 11, 2025 mjombazecoder

Kadri idadi ya vifo vya wanajeshi wa Korea Kaskazini wanaopigana upande wa Urusi nchini Ukraine inavyoongezeka, utawala wa Pyongyang umeamua kuweka wazi kuhusu idadi ya vifo hivyo na hata kujaribu…

BBC LIVE SOMA

Hospitali ya Recep Tayyip Erdoğan: Daraja la afya na undugu nchini Somalia

September 11, 2025 mjombazecoder

Tangu ilipoanzishwa mwaka wa 2015 katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu, pindi ujenzi wake ulioanza mwaka 2012 ulipokamilika, Hospitali ya mafunzo na utafiti ya Recep Tayyip Erdoğan, iliyopewa jina la…

LTV LIVE TV

#MEZAHURU:”Mashindano ya Open Water” ni ya kuogelea maeneo yenye vyanzo vingine vya maji kama Mito, Maziwa na Bahari, tumezoea k…

September 11, 2025 mjombazecoder

#MEZAHURU:”Mashindano ya Open Water” ni ya kuogelea maeneo yenye vyanzo vingine vya maji kama Mito, Maziwa na Bahari, tumezoea kuogelea kwenye mabwawa tu Swimming Pool, muongozo mpya wa kuwa na…

BBC LIVE SOMA

Imani za kidini zinavyosababisha vifo pwani ya Kenya

September 11, 2025 mjombazecoder

Visa vya udanganyifu wa imani za kiroho katika eneo la Kilifi pwani ya Kenya vimeonekana kujirudia ambapo wahubiri wanadaiwa kutumia imani potofu kidini kuwadhibiti wafuasi wao kwa kuwashawishi kutokula na…

BBC LIVE SOMA

Viongozi wa Ulaya waendelea kuiunga mkono Poland

September 11, 2025 mjombazecoder

Viongozi wa Ulaya wameonyesha kila hatua za kuiunga mkono kikamilifu Poland baada ya nchi hiyo kuripoti siku ya Jumatano kwamba ilidungua zaidi ya dazeni moja ya ndege zisizo na rubani…

BBC LIVE SOMA

Polisi wamsaka aliyemuua mwanaharakti wa Kihafidhina

September 11, 2025 mjombazecoder

Kifo hicho kimezua hofu ya machafuko ya kisiasa nchini Marekani. Kirk aliyekuwa na umri wa miaka 31 alipigwa risasi ya shingo wakati alipokuwa akizungumza katika hafla ya chuo hicho. Picha…

BBC LIVE SOMA

Jaji ataka Bolsonaro aachiwe katika mashtaka ya mapinduzi

September 11, 2025 mjombazecoder

Jaji huyo Luiz Fux ametofautiana na majaji wengine wawiliwaliopiga kura ya kufunguliwa mashtaka kwa Bolsonaro na kutilia shaka uamuzi wa kesi hiyo. Katika Mahakama ya Juu ya Brazil iliyo na…

BBC LIVE SOMA

Mazungumzo ya kumtafuta kiongozi wa Nepal kuendelea

September 11, 2025 mjombazecoder

Haya ni kwa mujibu wa msemaji wa jeshi, kufuatia maandamano yaliyosababisha vifo vya watu 30 na kusababisha waziri mkuu kuachia ngazi. Jaji Mkuu wa zamani Sushila Karki ambaye ndiye aliyekuwa…

BBC LIVE SOMA

Qatar: Israel yaondoa kabisa matumaini ya kuachiliwa mateka

September 11, 2025 mjombazecoder

Matamshi yaliyotoloewa na Waziri Mkuu wa Qatar Sheikh Al Thani kabla ya kutoa hotuba kwenye Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa hii leo yanadhihirisha kuongezeka kwa ghadhabu miongoni mwa mataifa…

Posts pagination

1 … 158 159 160 … 188

Recent Posts

  • Rais wa Marekani Donald Trump asema hakutaka kufanya mkutano wa ‘kupoteza tu muda’
  • Tetesi za Soka Ulaya Jumatano: Liverpool wanafikiria kumsajili Semenyo
  • Meja Jenerali Pakpour: Jahanamu itashuhdiwa iwapo Iran itashambuliwa
  • IOM: Licha hali ya tete ya usalama, zaidi ya watu milioni moja wamerejea mji mkuu wa Sudan, Khartoum
  • Mkutano kati ya Trump na Putin wasitishwa

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on aarifa Kuu Za App

Archives

  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • July 2025
  • August 2024
  • June 2016

Categories

  • BBC LIVE SOMA
  • BBC NEWS TANZANIA
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • LTV LIVE TV
  • LTV TV
  • MAGAZETI
  • MICHEZO
  • MWANANCHI
  • ONLINETV
  • SPORTVTV
  • Uncategorized
  • VIDEOS NEWS TV

You missed

BBC NEWS TANZANIA

Rais wa Marekani Donald Trump asema hakutaka kufanya mkutano wa ‘kupoteza tu muda’

October 22, 2025 mjombazecoder
BBC NEWS TANZANIA

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano: Liverpool wanafikiria kumsajili Semenyo

October 22, 2025 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Meja Jenerali Pakpour: Jahanamu itashuhdiwa iwapo Iran itashambuliwa

October 22, 2025 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

IOM: Licha hali ya tete ya usalama, zaidi ya watu milioni moja wamerejea mji mkuu wa Sudan, Khartoum

October 22, 2025 mjombazecoder

LTV TANZANIA

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS