Iran imesema kuna uwezekano wa vita kati yake na Marekani na Israel kuanza tena, huku ikisisitiza kuwa iko tayari kikamilifu kwa…
Iran imesema kuna uwezekano wa vita kati yake na Marekani na Israel kuanza tena, huku ikisisitiza kuwa iko tayari kikamilifu kwa mapambano na kuchukua hatua mpya. Wakati Iran ikitoa kauli…
Tani 4.8 za bidhaa za maziwa ya watoto aina ya SMA namba 1 zimeteketezwa Zanzibar baada ya kubainika kuwa si salama kwa matumizi…
Tani 4.8 za bidhaa za maziwa ya watoto aina ya SMA namba 1 zimeteketezwa Zanzibar baada ya kubainika kuwa si salama kwa matumizi ya binadamu kutokana na kuathiriwa na bakteria.…
Wizara ya Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika mashariki Kupitia Ubalozi wa Tanzania nchini Ujerumani Imedhamiria kuwatumia wat…
Wizara ya Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika mashariki Kupitia Ubalozi wa Tanzania nchini Ujerumani Imedhamiria kuwatumia watanzania wanao ishi ughaibuni hususani nchini Ujerumani kama kete Muhimu ya kujenga…
Kampuni ya Azam Ice Cream imefungua duka jipya katika eneo la Tabata Kimanga, Dar es Salaam ikiwa ni muendelezo wa kusogeza hudu…
Kampuni ya Azam Ice Cream imefungua duka jipya katika eneo la Tabata Kimanga, Dar es Salaam ikiwa ni muendelezo wa kusogeza huduma zake karibu na wateja wake. Duka hilo lenye…
Shambulio la Utawala wa Kizayuni Dhidi ya Msafara wa Meli wa Sumud; Mijibizo, Jumbe na Matokeo Yake
Wanajeshi wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wameushambulia msafara wa Sumud wa meli za kimataifa na kuzuia kupelekwa misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Ghaza uliowekewa mzingiro na utawala wa…
Kajuna mabingwa RCL ikiichapa Kahama Madini
Mabao ya Kajuna katika mchezo wa leo yamefungwa na Yusuph Kakoko katika dakika ya 60 na Abas...
OKELLO: Silaha hatari ndani ya kikosi cha Yanga
NI wazi kiwango alichokionyesha kiungo mshambuliaji wa Yanga, Allan Okello kwenye mechi za hivi karibuni kinaenda kuwapa chalenji mabeki wa Simba. Ni mchezaji ambaye japo hana takwimu nzuri za kufunga…
#HABARI:Mwalimu Geofrey Pascal Paul wa Shule ya Sekondari Hai mkoani Kilimanjaro ameibuka mshindi wa gari aina ya Mazda CX5 kupi…
#HABARI:Mwalimu Geofrey Pascal Paul wa Shule ya Sekondari Hai mkoani Kilimanjaro ameibuka mshindi wa gari aina ya Mazda CX5 kupitia kampeni ya “Mwaka Umenyooka” inayoratibiwa na My Airtel App, na…
🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU MEI 02 , 2026 -MVUA YAVUNJA MADARAJA ARUSHA
🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU MEI 02 , 2026 -MVUA YAVUNJA MADARAJA ARUSHA (Feed generated with FetchRSS)
Ramani duni Dar yazorotesha uokoaji wa Zimamoto
Dar es Salaam. Changamoto ya ramani duni na ukosefu wa njia rafiki za dharura kwa magari ya...
#HABARI: Mwenyekiti wa Mama Asemewe, Geofrey Kiliba, amewataka vijana nchini kuwa mstari wa mbele katika kujenga na kulinda agen…
#HABARI: Mwenyekiti wa Mama Asemewe, Geofrey Kiliba, amewataka vijana nchini kuwa mstari wa mbele katika kujenga na kulinda agenda ya amani, umoja na mshikamano wa taifa. Kiliba amesema hayo leo…
Shilingi ilivyosimama Kariakoo Derby
MACHO ya mashabiki wa soka kwa sasa nchini, yanaelekezwa Mei 3, 2026, kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni, jijini Dar es Salaam, wakati watani wa jadi Simba na Yanga…
RC Mara atoa maelekezo haya kwa Jeshi la Polisi
Kanali Mtambi amesema kumekuwepo na tabia ya polisi kuchukua hatua baada ya uhalifu kutokea...
Evaline wa NCCR-Mageuzi baada ya ubunge, sasa ateuliwa Naibu Waziri
Dk Munisi ni Katibu Mkuu wa chama cha NCCR-Mageuzi ambaye hivi karibuni Rais Samia alimteua...
Waziri Mkuu aagiza ujenzi wa barabara mbili Mufindi
Amesema barabara hiyo ni muhimu kwa uchumi wa eneo hilo na taifa kwa ujumla kutokana na uwepo...
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Tabora limefanya zoezi la usafi pamoja na kutoa msaada wa mahitaji mbalimbali kwa wagonjwa k…
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Tabora limefanya zoezi la usafi pamoja na kutoa msaada wa mahitaji mbalimbali kwa wagonjwa katika Hospitali ya Wilaya ya Tabora na maeneo mbalimbali mkoani…
Grassroots loans quietly reshape Tanzania’s economic future
ACROSS Tanzania, a quiet yet significant transformation is unfolding within communities, steadily reshaping livelihoods for youth, women and people with disabilities. What began as a policy mechanism within local government…
Ndayiragije azibipu Yanga, Simba, akisaka rekodi nyingine Ligi Kuu
Matokeo mazuri katika michezo mitano mfululizo yameonekana kumpa jeuri Kocha Mkuu wa TRA United, Ettiene Ndayiragije, akitamba kuwa hesabu si za nafasi nne tu bali hata ubingwa, ili kuitambulisha rasmi…
Chadema yaja na Katiba mpya, free Tundu Lissu
Mnyika amesema operesheni itakayofanyika itakuwa na awamu mbili, ambapo ya kwanza itaanza wiki...
Iran yasema huenda vita vyake na Marekani vikarejea
Jeshi la Iran, linasema kuna uwezekano vita kati yake na Marekani huenda vikarejea, na Tehran ipo tayari iwapo Washington itaanza mashambulizi mapya. Imechapishwa: 02/05/2026 – 17:58Imehaririwa: 02/05/2026 – 18:00 Dakika…
Uganda: Walinda usalama waliwauwa raia wakati wa uchaguzi mkuu: Amnesty
Shirika la Kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International, limewashtumu maafisa wa usalama nchini Uganda kwa kuwauwa watu 16 kwa kuwapiga risasi huku mamia ya wafuasi wa upinzani…
Ambassador Warns: Misinformation endangers national cohesion
DAR ES SALAAM: AS Tanzania navigates a rapidly shifting global landscape marked by evolving security dynamics, political realignments and the growing influence of digital communication, a quiet but consequential threat…
Kamati Kuu ACT Wazalendo kujifungia kujadili hali ya kisiasa
Kamati Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo, kesho Jumapili Mei 3,2026 itakutana kwa dharura kujadili...
Women’s voices drive climate action through innovative film
DAR ES SALAAM: RECENTLY in Dar es Salaam, a discussion emerged in a meeting between MyLegacy and civil society organisations centered on how best to elevate women’s voices in climate…
RC Geita awaonya wanaokwamisha watumishi kubadili kada
GEITA: MKUU wa mkoa wa Geita, Martine Shigela amekemea tabia ya waajiri hususani maofisa utumishi wa ofisi za umma kukwamisha watumishi kubadilisha kada na kupandishwa madaraja. Shigela ametoa kauli hiyo…
Kagame, Ruto kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi
Ziara hizo zinakuja wakati mataifa ya Afrika Mashariki yakiongeza juhudi za kuimarisha uhusiano...
Utalii wa michezo waibu fursa za kiuchumi nchini
NJOMBE: BODI ya Utalii Tanzania (TTB), imesema utalii wa michezo umeendelea kuwa nguzo muhimu ya kuongeza mapato kwa jamii zinazozunguka Hifadhi za Taifa, huku wananchi wa maeneo hayo wakinufaika kupitia…
Aliyepinga kufukuzwa kazi HESLB akwama mahakamani
Katika hoja zake, alidai kunyimwa haki ya msingi ya kusikilizwa kwa kuwa hakupatiwa ripoti ya...
Youth empowerment and the role of young people in society
DAR ES SALAAM: YOUTH are the backbone of any nation’s development and future progress. They represent energy, creativity, innovation, and the drive to change society for the better. In every…
Kanisa Katoliki Kahama laja na mpango wa kukuza wajasiriamali
Kahama. Askofu wa jimbo Katoliki la Kahama Christopher Ndizeye amesema kanisa hilo limedhamiria...
Wadau wataka Serikali ichukue hatua waliotajwa na CAG
Wadau wa maendeleo nchini wameitaka Serikali kuwachukulia hatua watu wote waliotajwa katika...
Black Sailors yapanda ZPL kibabe
TIMU ya Black Sailors, imefanikiwa kupanda daraja kushiriki Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) baada ya kufikisha pointi 65 katika Ligi Daraja la Kwanza Kanda ya Unguja.
Malale Hamsini aachana na KVZ
KOCHA Malale Hamsini, ameweka wazi kuachana na Klabu ya KVZ inayoshiriki Ligi Kuu Zanzibar baada ya kufikia makubaliano ya pande mbili kuhusu masuala ya kusitisha kimkataba.
Simba yatia mkono Azam ikimtaka beki
MABOSI wa Simba wanaendelea na mchakato wa kuangalia maeneo ya kuboresha kwa ajili ya msimu ujao, ambapo mojawapo linaloangaliwa zaidi ni la beki wa kulia, analocheza nyota wa timu hiyo,…
Mbaroni tuhuma za kuporomosha matusi 300 Tume ya Jaji Chande
Jeshi la Polisi imesema msako unaendelea kuwabaini na kuwakamata watu wengine wanaodaiwa...
Mwigulu: Nachukia unyang’anyi wa haki za watu
Amesema taarifa alizonazo zinaonesha kuwa vijana wengi wanaofanya kazi katika viwanda na...
This is the story of the beautiful forest partridges of Udzungwa National Park
DAR ES SALAAM: ZOOLOGISTS say that Udzungwa Mountains National Park is home to the elusive Udzungwa forest partridge. Scientists describe partridges as medium-sized galliform birds belonging to several genera, with…
Plastic Waste Challenge Sparks Push for Sustainable Alternatives
DAR ES SALAAM: AGENDA for Environment and Responsible Development (AGENDA) is a Tanzanian civil society organisation established in 1997 following the completion of a project funded by the Danish International…
Kukata tamaa na kusaka matumaini katikati ya vifusi Gaza
Kuelekea siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari duniani Mei 3 mwaka huu tunarejelea chapisho la mwezi Agosti mwaka jana la simulizi ya mwandishi wa habari wa Umoja wa Mataifa…
The China High Tech Fair in Ubungo will promote Tz’s international presence through trade diplomacy
DAR ES SALAAM: THE opening of the China High Tech Fair in Ubungo, Dar es Salaam, Tanzania, is more than just another trade exhibition. From a trade and economic diplomacy…
CCM Tabora yapitisha wagombea udiwani uchaguzi wa marudio
Wagombea hao wamechaguliwa kwa kuzingatia sifa mbalimbali zikiwemo ukaribu wao na chama pamoja...
Manowari kubwa na ya kisasa zaidi ya Marekani yaondoka kwa fedheha katika vita dhidi ya Iran
USS Gerald R. Ford, meli kubwa zaidi ya kivita na ya gharama ya juu kuwahi kuundwa na Marekani, imelazimika kujiondoa kutoka ukanda wa Asia Magharibi baada ya siku 309 za…
Viongozi wa Kikristo wamlaani Muisraeli aliyemshambulia mtawa wa kike katika mji wa al-Quds
Malalamiko yameendelea kumiminika baada ya Muisraeli mwenye misimamo mikali kumshambulia mtawa wa kike raia wa Kifaransa, huku Waisraeli Wazayuni wakishadidisha mashambulizi dhidi ya Waislamu na Wakristo pamoja na maeneo matakatifu…
Walimu wanaostaafu Moshi watahadharishwa kuepuka matapeli
Meneja wa MRT Sacoss, Bosco Simba amesema walimu hao wakipewa mafunzo ya mara kwa mara...
Waarabu wapewa dabi ya Simba, Yanga kesho
Amesema uteuzi wa waamuzi wa nje haukutokana na maombi ya klabu yoyote, bali ni sehemu ya...
Araghchi: Iran iko tayari kukabiliana na tishio au uovu wowote
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa jeshi la Iran liko katika hali ya utayari kamili kulinda mamlaka na heshima ya taifa dhidi ya…
Pedro: Tulieni, hii ni dabi nyingine
KOCHA wa Yanga, Pedro Goncalves, amesema matokeo ya Zanzibar hayahusiani na mechi ya kesho dhidi ya Simba kwani ni mashindano ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara.
Barker afichua ugumu wa kuikabili Yanga
KOCHA Mkuu wa Simba, Steve Barker, amesema ukitoa ubora wa wapinzani wao Yanga kwenye eneo la ulinzi, lakini wachezaji kama Pacome Zouzoua na Allan Okello ni hatari katika kushambulia.
Bodi ya Ligi yafafanua ishu ya waamuzi Kariakoo Dabi
OFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda, amesema kuwachagua waamuzi kutoka Morocco kuchezesha Dabi ya Kariakoo kati ya Simba dhidi ya Yanga, si pendekezo la klabu,…