#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewapongeza wanachama wote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) walioteuliwa kugombea nafasi za Ubunge, Uwakilishi na Udiwani. Kupitia Ukurasa…
Kwa nini Pakistan imeunda kamandi mpya ya kijeshi?
Kwa mujibu wa Waziri Mkuu, kamandi hii kitakuwa na zana za kisasa na kueleza kuwa ni ‘hatua muhimu’ ambayo itaimarisha zaidi uwezo wa ulinzi wa Pakistan.
🔴HABARI ZA SAA: SAA NNE NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA NNE NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu: Liverpool kurudi na dau jipya kwa Isak wiki hii
Newcastle kupokea ofa mpya kutoka Liverpool kwa mshambuliaji wao wa Sweden, Alexander Isak, huku Spurs ikiendelea na jitihada za kumsaka Savinho wa Man City Liverpool kutoa dau jipya kwa Alexander…
CHAN 2024: Wenyeji wana chakujivunia baada ya kutolewa?
Mashindano ya CHAN ni kipimo kizuri kwa nchi hizi kuangalia fursa na changamoto kuelekea AFCON. Kwa kuzingatia ukweli kwamba nusu na robo ya viwanja ambavyo vitatumika bado havijakamiliki.
🔴HABARI ZA SAA: SAA TATU NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA TATU NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
Uchaguzi Tanzania 2025: Familia tano za vigogo CCM zilizopenya mbio za Ubunge
Katika orodha ya wagombea wa CCM, wapo ambao wametoka katika familia za vigogo wa chama cha Mapinduzi kutoka upande wa Tanzania bara na Zanzibar, kuanzia rais wa sasa na marais…
#HABARI: Wiki moja baada ya Rais William Ruto kuibua madai ya ufisadi kukithiri katika kamati za bunge nchini Kenya, viongozi na…
#HABARI: Wiki moja baada ya Rais William Ruto kuibua madai ya ufisadi kukithiri katika kamati za bunge nchini Kenya, viongozi na wananchi nchini humo sasa wanamtaka Rais Ruto kuongoza katika…
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: UFUNDI KWENYE UMEME, AGOSTI 25, 2025
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: UFUNDI KWENYE UMEME, AGOSTI 25, 2025
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: UFUNDI UMEME, AGOSTI 25, 2025
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: UFUNDI UMEME, AGOSTI 25, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA MBILI NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA MBILI NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
Amka Na BBC
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Gaza: ‘Sheria ya kimataifa ya kibinadamu inakataza matumizi ya njaa kama njia ya vita’
Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa, ambao umetangaza hali ya njaa katika mji wa Gaza na maeneo jirani, Wapalestina 500,000 wako katika hali mbaya ya kiafya kutokana na Israel kuzuia…
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: TANZANIA KUTOLEWA CHAN…AGOSTI 25, 2025
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: TANZANIA KUTOLEWA CHAN…AGOSTI 25, 2025
Urusi yaituhumu Ukraine kwa kukishambulia kinu cha nyuklia
Maafisa wa Urusi walisema vituo kadhaa vya umeme na nishati vililengwa katika mashambulizi ya usiku kucha Jumamosi. Moto kwenye kinu cha nyuklia ulizimwa haraka bila majeruhi wowote kuripotiwa. Licha ya…
Iran: Ayatollah Ali Khamenei atoa wito kwa Wairan kuungana dhidi ya Marekani
Kiongozi Muadhamu wa Iran anaishutumu Marekani—mshirika wa Israel—kwa kutaka “kuitiisha” nchi yake na kuupindua utawala wake. Imechapishwa: 25/08/2025 – 07:04 Dakika 2 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara Soma yanayofuata…
Mashambulizi ya Ukraine huko Urusi yapandisha bei ya mafuta duniani
Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani yamesababisha moto mkubwa katika vituo muhimu vya mafuta, ikiwemo Ust-Luga na kiwanda cha Novoshakhtinsk, ambacho kinasafisha mafuta kwa ajili ya kuuza nje
Paris yamtaka balozi wa Marekani nchini Ufaransa kutengua kauli yake kuhusu chuki kwa Wayahudi
Charles Kushner ameitakiwa kufika Wizara ya Mambo ya Nje ya Ufaransa leo Jumatatu, Agosti 25, baada ya kueleza “wasiwasi wake mkubwa kuhusu kuongezeka kwa chuki dhidi ya Wayahudi nchini Ufaransa…
Mashambulizi ya Israel nchini Yemen yauwa watu sita
Msemaji wa Wizara ya Afya inayoendeshwa na Wahouthi amesema shambulizi la Israel liliwaua watu sita na kuwajeruhi 86. Mashambulizi hayo ndio ya karibuni kabisa katika zaidi ya mwaka mmoja wa…
Zelensky atoa wito wa mkutano na Putin kutafuta amani
Ukraine iliadhimisha Siku ya UhuruJumapili katika tukio lililohudhuriwa na maafisa wa Magharibi akiwemo balozi wa Marekani Keith Kellogg. Zelensky anasema lazima shinikizo liendelee kutolewa kwa Urusi ili kumaliza vita, kwa…
Kimbunga Kajiki chapiga kusini mwa China kikielekea Vietnam
Kiasi ya watu 20,000 walihamishwa kutoka maeneo yanayoweza kuwa hatari kabla ya dhoruba hiyo. Boti za wavuvi zilirejea bandarini na zaidi ya wafanyakazi 21,000 wakahamia maeneo salama. Kimbunga Kajiki kilitarajiwa…
Afrika Kusini inakusudia kuimarisha nguvu zake za kidiplomasia katika suala la Ukraine
Afrika Kusini inazidi kuimarisha jukumu lake kama mpatanishi katika suala la vita nchini Ukraine. Kama mwenyekiti wa G20 mwaka huu, nchi hii inatumia jukwaa hili ili sauti yake iweze kusikika.…
Mahakama DRC yaombwa Kabila anyongwe kwa tuhuma uhaini
Waendesha mashtaka wa kijeshi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamemuombea hukumu ya rais wa zamani wa nchi hiyo Joseph Kabila kwa tuhuma za uhaini na kushirikiana na kundi la…
#KIPIMAJOTO: Vyama vya Siasa 18 Kisiwani Zanzibar kutia saini kutekeleza kanuni za maadili za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu Kisiwan…
#KIPIMAJOTO: Vyama vya Siasa 18 Kisiwani Zanzibar kutia saini kutekeleza kanuni za maadili za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu Kisiwani humo. Je, vitekeleze kivitendo yaliyopo katika kanuni hizo?
Bundesliga: Hamburg yatoa sare tasa, Cologne yapata ushindi
Klabu hiyo iliyopandishwa daraja msimu huu ilitumia muda mwingi kujilinda zaidi katika mchezo wa jana. Hamburg ilikuwa klabu ya mwisho muasisi wa Bundesliga iliyocheza kila msimu tangu ligi kuu ilipoanzishwa…
🔴KUMEKUCHA: CHANGAMOTO ZA MAKANDARASI WAZAWA….AGOSTI 25, 2025
🔴KUMEKUCHA: CHANGAMOTO ZA MAKANDARASI WAZAWA….AGOSTI 25, 2025
Gabon: Brice Oligui Nguema apinga baadhi ya wagombea ubunge kukataliwa kushiriki uchaguzi
Malalamiko na hasira za wagombea waliokataliwa katika uchaguzi wa wabunge na serikali za mitaa nchini Gabon wa Septemba 27, 2025, bado hayajasikilizwa. Imechapishwa: 25/08/2025 – 05:59 Dakika 1 Wakati wa…
Mateka 76 wakombolewa na mmoja auawa katika operesheni ya Jeshi kaskazini mwa Nigeria
Jeshi la Wanahewa la Nigeria limefanya operesheni ya uokoaji katika Jimbo la Katsina, ambalo linapakana na Niger, kati ya usiku wa Ijumaa, Agosti 22, na asubuhi ya Jumamosi, Agosti 23.…
🔴MAGAZETI: KILIO, KICHEKO CCM / PACOME, BOYELI WAACHIWA MSALA….AGOSTI 25, 2025
🔴MAGAZETI: KILIO, KICHEKO CCM / PACOME, BOYELI WAACHIWA MSALA….AGOSTI 25, 2025
DRC: Mapigano makali kati ya jeshi la Kongo na AFC/M23 yashuhudiwa Kivu Kusini wikendi nzima
Mapigano hayo yameripotiwa katika eneo la Mwenga, huku mazungumzo ya amani kati ya mamlaka ya Kinshasa na kundi la M23 yakiendelea nchini Qatar hivi sasa. Imechapishwa: 25/08/2025 – 05:39 Dakika…
Amka Na BBC
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Mali: Raia watoroka kwa wingi miji ya jimbo la Ségou iliyoshambuliwa na wanajihadi
Wakati jeshi la Mali bado halijachukua tena udhibiti wa ngome zake zilizoshambuliwa na wanajihadi wa JNIM katikati mwa nchi siku ya Jumanne, Agosti 19, raia kutoka vijiji jirani, ambao pia…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 25, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 25, 2025
Simulizi ya jasusi wa Marekani ambaye ndege yake ilidunguliwa juu ya anga ya Urusi
Tarehe 19 Agosti 1960, miaka 65 iliyopita wiki hii, mahakama moja mjini Moscow ilimkabidhi rubani wa Marekani, Francis Gary Powers, kifungo cha miaka 10 baada ya kukamatwa na vikosi vya…
25.08.2025 Matangazo ya Jioni
Israel yatuhumiwa kuwalenga wanahabari huko Gaza+++Warohingya wataka wahakikishiwe usalama kurudi kwao+++Hali ya kibinadamu Sudan yazorota kufuatia mashambulizi ya RSF
Zanzibar – Kisiwa maarufu cha viungo duniani
25.08.202525 Agosti 2025 Zanzibar inasifika kwa uwepo wa mashamba ya viungo ambapo wageni hujifunza kuhusu karafuu, mdalasini, vanila na viungo vyingine vinavyokifanya kisiwa hicho kuwa kitovu cha biashara ya viungo…
Utamaduni wa jamii ya Wasuba nchini Kenya
25.08.202525 Agosti 2025 Jamii ya Wasuba nchini Kenya ni mojawapo ya makabila ya asili yaliyo na historia ya kipekee na tamaduni tajiri, ingawa kwa sasa jamii hiyo inakabiliwa na changamoto…
25.08.2025 Matangazo ya Mchana
SK2 / S02S25.08.202525 Agosti 2025 Wanahabari kadhaa wauawa Gaza kufuatia mashambulizi ya Israel+++Jeshi la Urusi ladai kuteka kijiji kingine cha Ukraine kwenye jimbo la Dnipropetrovsk+++Tanzania- Dirisha la fomu za ubunge…
25.08.2025 Matangazo ya Asubuhi
DIRA.BZ25.08.202525 Agosti 2025 Katika matangazo yetu ya asubuhi hivi leo utasikia makala zetu za Mbiu ya Mnyonge, Mbio ya Munyonge, Mtu na Mazingira, Vijana Tugutuke na Jukwaa la manufaa. Sikiliza…
25.08.2025 Taarifa ya Habari Asubuhi
DIRA.BZ25.08.202525 Agosti 2025 Mashambulizi ya Israel kwenye mji mkuu wa Yemen, Sanaa yauwa watu sita // Rais Zelensky wa Ukraine atoa wito wa mkutano na Rais Putin wa Urusi huku…
Utapiamlo watishia maisha ya watoto 132,000 Gaza-Ripoti
Ripoti ya IPC,shirika linaloungwa mkono na Umoja wa Mataifa linalohusika na ufuatiliaji wa usalama wa chakula, linakadiria kuwa “utapiamlo unatishia maisha ya watoto 132,000.
Vita vya Israel-Iran vyamfukuzisha kazi Mkuu wa Idara ya Ujasusi Marekani
Luteni Jenerali Jeffery Kruse, ametimuliwa ikiwa ni wiki chache tu baada ya Ikulu ya White House kukosoa ripoti kuhusu athari za mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iran ya Juni 22,…
Israel yaushambulia mji wa Gaza wakati ikijiandaa kuuchukua mji huo
Ndege na vifaru vimeshambulia sehemu za mji wa Gaza huku mipango ya Israel ya kuliteka eneo kubwa la mijini katika eneo hilo.
#HABARI: Vyombo vya Usalama Mkoa wa Tabora na Wilaya ya Urambo, vimeanza oparesheni ya kuwasaka popote walipo watu wasiojulikana…
#HABARI: Vyombo vya Usalama Mkoa wa Tabora na Wilaya ya Urambo, vimeanza oparesheni ya kuwasaka popote walipo watu wasiojulikana waliomuua mlinzi wa soko la Ussoke, lililopo wilayani Urambo, Bw. Nasoro…
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 24, 2025 – RAIS SAMIA ASISITIZA AMANI
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 24, 2025 – RAIS SAMIA ASISITIZA AMANI
#HABARI: Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, imemteua John Luhende, kuwa mgombea wa Ubunge jimbo la Bukene mkoan…
#HABARI: Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, imemteua John Luhende, kuwa mgombea wa Ubunge jimbo la Bukene mkoani Tabora. Luhende ametangazwa kupeperusha bendera hiyo jana Jumamosi Agosti 23,…
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiombewa dua na watoto yatima wa Kituo cha Watoto Yatima Mburahati mara baada ya kuwasili katika ukumbi…
#HABARI: Aliyekuwa Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo amemshukuru Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt
#HABARI: Aliyekuwa Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo amemshukuru Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa imani yake kubwa kwake ikiwemo kumpendekeza na kisha…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA KIGOMA : AGOSTI 24, 2025 – UJENZI WA SOKO WADHITI MAGONJWA YA MLIPUKO
🔴HAPA NA PALE KUTOKA KIGOMA : AGOSTI 24, 2025 – UJENZI WA SOKO WADHITI MAGONJWA YA MLIPUKO
Watu kadhaa wauawa Gaza kufuatia mashambulizi ya Israel
Wakati huo huo, kumeripotiwa pia mashambulizi katika maeneo ya mashariki na kaskazini mwa mji huo wa Gaza katika vitongoji vya Zeitoun, Shejaia na Sabra huku majengo kadhaa yakiripuliwa katika mji…