DRC: Mapigano makali kati ya jeshi la Kongo na AFC/M23 yashuhudiwa Kivu Kusini wikendi nzima
Mapigano hayo yameripotiwa katika eneo la Mwenga, huku mazungumzo ya amani kati ya mamlaka ya Kinshasa na kundi la M23 yakiendelea nchini Qatar hivi sasa. Imechapishwa: 25/08/2025 – 05:39 Dakika…
Amka Na BBC
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Mali: Raia watoroka kwa wingi miji ya jimbo la Ségou iliyoshambuliwa na wanajihadi
Wakati jeshi la Mali bado halijachukua tena udhibiti wa ngome zake zilizoshambuliwa na wanajihadi wa JNIM katikati mwa nchi siku ya Jumanne, Agosti 19, raia kutoka vijiji jirani, ambao pia…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 25, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 25, 2025
Simulizi ya jasusi wa Marekani ambaye ndege yake ilidunguliwa juu ya anga ya Urusi
Tarehe 19 Agosti 1960, miaka 65 iliyopita wiki hii, mahakama moja mjini Moscow ilimkabidhi rubani wa Marekani, Francis Gary Powers, kifungo cha miaka 10 baada ya kukamatwa na vikosi vya…
25.08.2025 Matangazo ya Jioni
Israel yatuhumiwa kuwalenga wanahabari huko Gaza+++Warohingya wataka wahakikishiwe usalama kurudi kwao+++Hali ya kibinadamu Sudan yazorota kufuatia mashambulizi ya RSF
Zanzibar – Kisiwa maarufu cha viungo duniani
25.08.202525 Agosti 2025 Zanzibar inasifika kwa uwepo wa mashamba ya viungo ambapo wageni hujifunza kuhusu karafuu, mdalasini, vanila na viungo vyingine vinavyokifanya kisiwa hicho kuwa kitovu cha biashara ya viungo…
Utamaduni wa jamii ya Wasuba nchini Kenya
25.08.202525 Agosti 2025 Jamii ya Wasuba nchini Kenya ni mojawapo ya makabila ya asili yaliyo na historia ya kipekee na tamaduni tajiri, ingawa kwa sasa jamii hiyo inakabiliwa na changamoto…
25.08.2025 Matangazo ya Mchana
SK2 / S02S25.08.202525 Agosti 2025 Wanahabari kadhaa wauawa Gaza kufuatia mashambulizi ya Israel+++Jeshi la Urusi ladai kuteka kijiji kingine cha Ukraine kwenye jimbo la Dnipropetrovsk+++Tanzania- Dirisha la fomu za ubunge…
25.08.2025 Matangazo ya Asubuhi
DIRA.BZ25.08.202525 Agosti 2025 Katika matangazo yetu ya asubuhi hivi leo utasikia makala zetu za Mbiu ya Mnyonge, Mbio ya Munyonge, Mtu na Mazingira, Vijana Tugutuke na Jukwaa la manufaa. Sikiliza…
25.08.2025 Taarifa ya Habari Asubuhi
DIRA.BZ25.08.202525 Agosti 2025 Mashambulizi ya Israel kwenye mji mkuu wa Yemen, Sanaa yauwa watu sita // Rais Zelensky wa Ukraine atoa wito wa mkutano na Rais Putin wa Urusi huku…
Utapiamlo watishia maisha ya watoto 132,000 Gaza-Ripoti
Ripoti ya IPC,shirika linaloungwa mkono na Umoja wa Mataifa linalohusika na ufuatiliaji wa usalama wa chakula, linakadiria kuwa “utapiamlo unatishia maisha ya watoto 132,000.
Vita vya Israel-Iran vyamfukuzisha kazi Mkuu wa Idara ya Ujasusi Marekani
Luteni Jenerali Jeffery Kruse, ametimuliwa ikiwa ni wiki chache tu baada ya Ikulu ya White House kukosoa ripoti kuhusu athari za mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iran ya Juni 22,…
Israel yaushambulia mji wa Gaza wakati ikijiandaa kuuchukua mji huo
Ndege na vifaru vimeshambulia sehemu za mji wa Gaza huku mipango ya Israel ya kuliteka eneo kubwa la mijini katika eneo hilo.
#HABARI: Vyombo vya Usalama Mkoa wa Tabora na Wilaya ya Urambo, vimeanza oparesheni ya kuwasaka popote walipo watu wasiojulikana…
#HABARI: Vyombo vya Usalama Mkoa wa Tabora na Wilaya ya Urambo, vimeanza oparesheni ya kuwasaka popote walipo watu wasiojulikana waliomuua mlinzi wa soko la Ussoke, lililopo wilayani Urambo, Bw. Nasoro…
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 24, 2025 – RAIS SAMIA ASISITIZA AMANI
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 24, 2025 – RAIS SAMIA ASISITIZA AMANI
#HABARI: Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, imemteua John Luhende, kuwa mgombea wa Ubunge jimbo la Bukene mkoan…
#HABARI: Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, imemteua John Luhende, kuwa mgombea wa Ubunge jimbo la Bukene mkoani Tabora. Luhende ametangazwa kupeperusha bendera hiyo jana Jumamosi Agosti 23,…
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiombewa dua na watoto yatima wa Kituo cha Watoto Yatima Mburahati mara baada ya kuwasili katika ukumbi…
#HABARI: Aliyekuwa Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo amemshukuru Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt
#HABARI: Aliyekuwa Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo amemshukuru Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa imani yake kubwa kwake ikiwemo kumpendekeza na kisha…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA KIGOMA : AGOSTI 24, 2025 – UJENZI WA SOKO WADHITI MAGONJWA YA MLIPUKO
🔴HAPA NA PALE KUTOKA KIGOMA : AGOSTI 24, 2025 – UJENZI WA SOKO WADHITI MAGONJWA YA MLIPUKO
Watu kadhaa wauawa Gaza kufuatia mashambulizi ya Israel
Wakati huo huo, kumeripotiwa pia mashambulizi katika maeneo ya mashariki na kaskazini mwa mji huo wa Gaza katika vitongoji vya Zeitoun, Shejaia na Sabra huku majengo kadhaa yakiripuliwa katika mji…
Urusi: Nchi za Ulaya zinalenga “kuzuia” mchakato wa amani
Lavrov amekemea hatua ya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ya kuweka masharti na kulazimisha kukutana na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin, akisisitiza kuwa majaribio hayo yanalenga kuvuruga mchakato wa amani…
Jeshi la anga la Nigeria lauua magaidi 35 wa Boko Haram
Ehimen Ejodame, msemaji wa Jeshi la Anga la Nigeria amesema mashambulizi hayo yalilenga majimbo manne ya Kumshe, Borno, Katsina na karibu na mpaka wa Cameroon ambayo yamewezesha pia kuokolewa kwa…
Khamenei: Raia wa Iran tuungane dhidi ya mipango ya Marekani
Khamenei ameyatoa matamshi hayo siku ya Jumapili katika msikiti mmoja mjini Tehran, akisisitiza kuwa baada ya mashambulizi ya Marekani na Israel, maafisa wa Marekani walikutana barani Ulaya ili kujadili serikali…
#HABARI: Madereva bodaboda jijini Mbeya, wamelalamikia baadhi ya wamiliki wa usafiri huo kuwapa mikataba kandamizi ambayo huwafa…
#HABARI: Madereva bodaboda jijini Mbeya, wamelalamikia baadhi ya wamiliki wa usafiri huo kuwapa mikataba kandamizi ambayo huwafanya kutotimiza malengo yao. Madereva bodaboda wamebainisha hayo baada ya kupata fursa ya kukopeshwa…
#HABARI: Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imetoa ufafanuzi kuhusu mwenendo wa soko la mbaazi duniani,…
#HABARI: Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imetoa ufafanuzi kuhusu mwenendo wa soko la mbaazi duniani, ikieleza mafanikio na changamoto zinazolikumba zao hilo muhimu kwa wakulima wa…
#NUKUU: “Mungu atapokea maombi yetu, swala zetu, dua zetu, ikiwa nyoyo zetu zina amani, kwasababu ukiomba huna amani hata ile du…
#NUKUU: “Mungu atapokea maombi yetu, swala zetu, dua zetu, ikiwa nyoyo zetu zina amani, kwasababu ukiomba huna amani hata ile dua utaiweka kinyumenyume………” Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
🔴TAMASHA LA MICHEZO: WENYEJI CHAN 2024 WAUMALIZA MWENDO ..AGOSTI 24, 2025
🔴TAMASHA LA MICHEZO: WENYEJI CHAN 2024 WAUMALIZA MWENDO ..AGOSTI 24, 2025
Hofu ya vita Ulaya yazua wimbi la uandikishaji jeshini
Shule ya sheria haikumfundisha Constance jinsi ya kufanya mazoezi, kutambua alama za mawasiliano ya redio, au kulala kifudifudi juu ya zege huku akielekeza bunduki yake kwa adui. Badala yake, mwanafunzi…
Ukraine yaadhimisha miaka 34 ya uhuru wake
Hayo yanajiri wakati viongozi mbalimbali wa Ulaya wametoa wito wa kusitishwa kwa vita kati ya Urusi na Ukraine ambavyo vimedumu kwa zaidi ya miaka mitatu. Viongozi kadhaa akiwemo Mfalme Charles…
Netanyahu akabiliwa na shinikizo la kumaliza vita huko Gaza
Miezi kadhaa ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Israel na Hamas hadi sasa hayajazaa matunda.Wanachama wa siasa kali za mrengo wa kulia wanaounda serikali ya mseto ya…
Sudan: Watu 158 wafariki kwa kipindupindu huko Darfur
Wizara ya afya katika jimbo hilo linalodhibitiwa na wanamgambo wa RSF imesema vifo hivyo vimeripotiwa kuanzia mwishoni mwa mwezi Mei mwaka huu. Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limesema…
Korea Kaskazini yafanya jaribio la makombora mapya
Shirika la habari la Korea Kaskazini (KCNA) limesema bila kutoa maelezo zaidi kuwa jaribio hilo la Jumamosi limethibitisha kuwa makombora hayo yanao uwezo wa kukabiliana na vitisho vyote vya angani…
Morocco na nchi zingine 3 zatinga nusu fainali CHAN
Katika mtanange wa nusu fainali za CHAN, Sudan itavaana na Madagascar jijini Dar es Salaam huku Morocco ikimenyana na mabingwa watetezi Senegal mjini Kampala. Mechi hizo zitachezwa Jumanne ya Agosti…
#VIDEO: Serikali ya Tanzania inatarajia kutumia zaidi ya shilingi bilioni 115, kununua ndege maalumu ya kufanya utafiti wa madin…
#VIDEO: Serikali ya Tanzania inatarajia kutumia zaidi ya shilingi bilioni 115, kununua ndege maalumu ya kufanya utafiti wa madini, itakayo wawezesha wachimbaji wadogo hapa nchini kubaini sehemu ambayo madini yapo,…
#MICHEZO: Baada ya Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars kuondolewa Katika hatua ya robo fainali ya michuano ya CHAN dhidi ya ti…
#MICHEZO: Baada ya Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars kuondolewa Katika hatua ya robo fainali ya michuano ya CHAN dhidi ya timu ya taifa ya Morocco, Kocha wa timu…
#VIDEO: Wadau waeleimu Tanzania waomeomba waandaji wa maonesho ya ya kitaifa na kimataifa ya shule zinazofanya vizuri nchini
#VIDEO: Wadau waeleimu Tanzania waomeomba waandaji wa maonesho ya ya kitaifa na kimataifa ya shule zinazofanya vizuri nchini. kuangalia uwezekano katika maonyesho yajayo kuongeza muda zaidi ya ushiriki ili kutoa…
🔴KUMEKUCHA: KONGAMANO LA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU…..AGOSTI 24, 2025
🔴KUMEKUCHA: KONGAMANO LA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU…..AGOSTI 24, 2025
Unyanyasaji mtandaoni: Wanawake wa Kiafrika wakabiliwa na unyanyasaji mtandaoni
Intaneti na mitandao ya kijamii imekuwa maeneo ambapo unyanyasaji wa kijinsia hutokea mara kwa mara. Watumiaji wanawake wa Kiafrika hawajaachwa nyuma. Filamu ya hali halisi iitwayo Harassment 2.0, Resilience of…
Kenya: London yakubali kufidia waathiriwa wa moto kufuatia mazoezi ya kijeshi ya Uingereza
Miaka minne baada ya moto kuzuka katika Hifadhi ya Kibinafsi ya Lolldaiga kufuatia ajali wakati wa mafunzo na Jeshi la Uingereza, ambalo lina kambi katika eneo hilo, Uingereza imekubali kulipa…
Burkina Faso: Serikali yahitimisha mradi wa kudhibiti Malaria (Target Malaria)
Mradi wa kudhibiti Malaria (Target Malaria) uliozinduliwa mwaka 2012 nchini Burkina Faso ulilenga kurekebisha vinasaba vya mbu wa kiume ili kuwafanya washindwe kuzaa katika jaribio la kupunguza idadi ya mbu…
Eneo la Uhispania la Ceuta linakabiliwa na wimbi jipya la wahamiaji kutoka Morocco
Tangu mwishoni mwa mwezi wa Julai, eneo la Uhispania limeshuhudia ongezeko kubwa la idadi ya wahamiaji haramu wanaowasili katika eneo lake. Miongoni mwao, wale wanajaribu bahati yao kwa kuogelea ni…
Burundi: Meja Jenerali Bertin Gahungu ashikiliwa na idara ya usalama
Nchini Burundi, Meja Jenerali Bertin Gahungu anashikiliwa na idara za usalama, mamlaka imetangaza. Afisa mkuu wa usalama katika utawala na mkuu wa zamani wa idara ya kijasusi nchini humo, anashtumiwa…
#MICHEZO:Bondia Kutoka Mkoa wa Tabora Abdul Zugo, ameibuka mshindi kwa TKO katika pambano la Ubingwa wa kuwania mkanda wa Dunia …
#MICHEZO:Bondia Kutoka Mkoa wa Tabora Abdul Zugo, ameibuka mshindi kwa TKO katika pambano la Ubingwa wa kuwania mkanda wa Dunia wa WPBF uzito wa kilo 63 Super right weight, dhidi…
#MAGAZETI:CCM YAANIKA SAFU YAKE / KIUNGO APEPERUKA DAR
#MAGAZETI:CCM YAANIKA SAFU YAKE / KIUNGO APEPERUKA DAR
#SWALILAKIPIMAJOTO: Hamasa ya uchangiaji wa damu nyakati za matukio mbalimbali.Je, ifanywe kuwa endelevu kufanikisha upatikanaji…
#SWALILAKIPIMAJOTO: Hamasa ya uchangiaji wa damu nyakati za matukio mbalimbali.Je, ifanywe kuwa endelevu kufanikisha upatikanaji wa damu wakati wote?
🔴KUMEKUCHA:WIKI YA TIBA ASILI KWA MWAFRIKA…..AGOSTI 24, 2025
🔴KUMEKUCHA:WIKI YA TIBA ASILI KWA MWAFRIKA…..AGOSTI 24, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 24, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 24, 2025
Mzozo wa Israel na Hamas
Israel ilitangaza vita dhidi ya Hamas baada ya kundi hilo kufanya shambulizi la kigaidi dhidi ya Israel tarehe 7 Oktoba, lililouwa watu wapatao 1200. Maelfu ya Wapalestina wameuawa katika mapigano…