Wanawake milioni 55 hatarini kupoteza ajira kutokana na mzigo wa madeni: Ripoti ya UNDP
Nchi zinazoendelea zinakabiliwa na ongezeko la ulipaji wa madeni ya taifa, hali inayotishia kupotea kwa ajira milioni 55 kwa wanawake na kupunguza kipato chao kwa asilimia 17, imesema ripoti mpya…
Hantavirus: Hatari kwa umma bado ni ndogo hakuna haja ya taharuki – WHO
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni, WHO, limesema hatari kwa umma kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Hantavirus ulioripotiwa jana Jumapili Mei 3 kwenye meli ya kitalii katika…
Maboresho ya miundombinu na tahadhari vyahitajika kukabili majanga
Mei 4 ya kila mwaka, dunia huadhimisha Siku ya Zimamoto, maalumu kwa kuwaenzi wazimamoto...
REA yatekeleza mpango wa majiko banifu Kagera vijijini
BUKOBA: Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeanza utekelezaji wa mpango wa kusambaza majiko banifu 200,000 nchini kwa lengo la kupunguza matumizi ya kuni na mkaa, ikiwa ni sehemu ya mkakati…
Meli ya kijeshi ya Marekani yapigwa kwa makombora mawili baada ya kupuuza onyo la Iran
Shirika la Habari la Fars limetangaza kuwa, meli ya Jeshi la Wanamaji la Marekani imepigwa kwa makombora mawili baada ya kupuuza onyo la Jeshi la Majini la Iran.
Mwanamume adaiwa kumuua mtoto baada ya kubaini si mwanawe wa kumzaa
Mtoto Sahili Salmin mwenye umri wa miezi 8 anadaiwa kuuawa na babake Salmin Rajabu ambaye inasemekana alikiri kufanya uhalifu huo na kuwaacha wakazi wakishangaa.
Government enhances measures to provide correct information, maintain public trust
DODOMA: THE Tanzanian has continued to take measures to combat the spread of false information by coordinating press briefings between the Government Chief Spokesperson and media outlets, with the aim…
TSN intensifies efforts to promote Tanzania’s tourism attractions
DODOMA: THE Tanzania Standard Newspapers (TSN) Limited has intensified efforts to promote the tourism sector through specialised feature writing, aligning with President Samia Suluhu Hassan’s vision of positioning Tanzania as…
Tanzania allocates 424.6 acres in Kongwa for Africa’s liberation heritage centre
KONGWA: THE Tanzanian government has set aside 424.6 acres in Kongwa District, Dodoma Region, for the construction of a continental centre to preserve Africa’s liberation heritage. The move aims to…
ACT yadai uchunguzi huru wa kimataifa ghasia za Oktoba 29, yamtaja Lissu
Jaji Mkuu mstaafu Othman Chande, alitaja vyanzo vitano pamoja na vichocheo vinne vya matukio...
Labour Day 2026. Technology: A threat or an opportunity for TZ workers?
DAR ES SALAAM: AS the world marked International Workers’ Day on 1st May, a new debate takes centre stage should Tanzania’s workforce fear the rise of machines, or embrace it?…
George Ruto: Kikosi cha Mwanawe Rais Chasimulia Hadithi ya Kipekee ya Biashara Yake ya Matatu
Gundua kuibuka kwa himaya ya matatu ya Raptor Family ya George Ruto katika filamu ya hali ya juu, inayoonyesha utamaduni, miundo dhabiti na changamoto za tasnia.
Wizara ya Habari yaomba bajeti ya Sh525 bilioni ikibainisha vipaumbele tisa
Kati ya fedha hizo, Sh39.071 bilioni ni kwa ajili ya mishahara, Sh28.065 bilioni ni matumizi...
GGML yaahidi ajira zaidi kwa Watanzania
Geita. Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeahidi kutekeleza kwa vitendo Dira ya...
Neymar ampiga kofi mtoto wa Robinho mazoezini
Mshambuliaji wa Santos FC, Neymar Jr anaripotiwa kuzua mzozo katika uwanja wa mazoezi wa timu...
TSN commits to brighten 2027 AFCON campaign
DODDMA: PLANS are underway for the Tanzania Standard Newspapers (TSN) Limited to publish special feature stories on the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON) to boost public awareness and participation…
BASATA sees artistry registration soar to 21,875 artists, groups and institutions
DODOMA: THE Minister for Information, Culture, Arts and Sports, Paul Makonda has said that the National Arts Council of Tanzania (BASATA), has expanded artist registration, with a total of 21,875…
Wizara ya habari yaomba kuidhinishwa bil 525.3/-
DODOMA: WIZARA ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, imeliomba bunge kuidhinisha bajeti ya Sh bilioni 525.3 kwa ajili ya matumizi ya wizara ya hiyo na taasisi zake katika utekelezaji wa…
Mbunge amwombea uraia Chama, Baba Levo agomea wazee
Mbunge wa Mlalo, Rashid Shangazi, ameiomba Serikali kumpa uraia wa heshima kiungo wa Simba SC, Clatous Chama akitaja mambo matatu.
Tanzania hails its media’s role in driving the country’s economic growth
DODOMA: THE Tanzanian government has said the media sector continues to play a key role in driving economic growth in the country by identifying and developing talent, creating employment, and…
ZFDA yateketeza tani 4.8 za maziwa ya watoto yaliyochafuliwa
Wakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imeteketeza tani 4.8 za maziwa ya watoto aina ya...
Chirwa anavyokimbiza namba Championship
Mshambuliaji wa Kagera Sugar, raia wa Zambia Obrey Chirwa, anaendelea kutesa huko kwenye ligi...
Iran yawanyonga magaidi watatu wa Mossad waliopatikana na hatia ya kuwauwa askari usalama katika ghasia za Mashhad
Watu watatu waliopatikana na hatia ya kuhusika katika ghasia na machafuko makubwa, mashambulizi dhidi ya askari usalama, na kuwa na uhusiano na Shirika la Ujasusi la Israel (Mossad) wamenyongwa katika…
Wizara yaweka lengo Sh bil 1/- mapato 2026/27
DODOMA: WIZARA ya Habari Sanaa na Utamaduni inakusudia kukusanya Sh bilioni 1 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kutoka katika vyanzo mbalimbali. Vyanzo hivyo ni vitambulisho ya waandishi wa habari, machapisho…
John Mearsheimer: Vita dhidi ya Iran ni kushindwa mutlaki Marekani
Mnadharia wa mahusiano ya kimataifa wa Marekani, John Mearsheimer, amevitaja vita dhidi ya Iran kuwa ni kosa lenye janga kubwa zaidi katika historia ya sera za kigeni na kushindwa kabisa…
Hizbullah yatwanga maeneo mbalimbali ya Israel katika oparesheni 11 za droni na makombora
Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imesema kuwa imefanya operesheni 11 dhidi ya maeneo mbalimbali ya Israel, kwa kutumia ndege zisizo na rubani, makombora na mizinga katika mshambulizi yake…
Polisi Kenya yathibitisha vifo vya watu 18 katika maporomoko ya ardhi
Huduma ya Polisi ya Kenya Jumapili ilithibitisha kupoteza maisha watu 18 kufuatia maporomoko ya udongo na mafuriko huku mvua kubwa ikiendelea kunyesha katika maeneo kadhaa ya nchi hiyo, na kulazimisha…
Mkuu wa Shirikisho la Soka Iran akataa simu ya Waziri Mkuu wa Canada baada ya kutendewa vibaya
Mkuu wa Shirikisho la Soka la Iran, Mehdi Taj, amekataa ombi la maafisa wa Canada la kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Mark Carney baada ya wajumbe wa…
BBC yafichua mbinu za matapeli wa Uganda wanaotumia mbwa kujipatia fedha kutoka kwa wapenda wanyama
Mbwa mwenye manyoya ya rangi ya kutu amelala kando ya barabara. Anaonekana mtulivu, lakini video ya TikTok inapoanza kuonyesha mwili wake wote kuanzia usoni hadi sehemu nyingine, majeraha makubwa kwenye…
Mwandishi wa habari wa Marekani amwita Trump “mateka wa Netanyahu”
Mchambuzi wa Marekani, Tucker Carlson amemtaja Donald Trump kama mtu anayedhibitiwa kwa mbali na mateka wa Waziri Mkuu wa Israel katika vita vya Iran.
Tanzanian orders suspension of mining activities at a village in Chato
CHATO: THE Tanzanian government has ordered an immediate suspension of mining activities at Kanyindo area in Chato District, Geita Region, to enforce compliance with laws governing land and mineral rights.…
Government launches China High-Tech Centre to boost trade diplomacy
DAR ES SALAAM: THE official opening of the China High Tech Fair in Ubungo, Dar es Salaam, Tanzania, was graced by the Minister for Communication and Information Technology, Angellah Kairuki,…
Chumi aongoza wingi wa kura, Kange akataliwa na wabunge 70, lakini ashinda
Mbunge wa zamani na aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...
Kumbe Nandy yupo hivi!
KATIKA Bongofleva waimbaji wa kike ni wachache, na walioweza kufanya vizuri kwa muda mrefu tena...
Huyu hapa mtoto wa Mbaraka Mwinshehe anayefuata nyayo za baba yake
Ni takribani miaka 47 imepita tangu kuanguka kwa nguli wa muziki nchini, Mbaraka Mwinshehe.
Ulega pledges equality in allocating 144 low-cost housing units
DAR ES SALAAM: THE Minister for Works, Abdallah Ulega has announced that youth in formal and self-employment will be prioritised in the allocation of government-built affordable housing in Dar es…
Je, kuna hatari ya Israel kuishambulia Uturuki?
Mvutano wa kisiasa kati ya Uturuki na Israel umeongezeka baada ya shambulio la Hamas la Oktoba 7 mwaka wa 2023, na oparesheni ya kijeshi ya Israel eneo la Gaza.
Mapato Wizara ya Habari yafikia Sh mil 699 Aprili 2026
DODOMA: SERIKALI imesema hadi kufikia mwezi Aprili 2026 Sh milioni 699 sawa na asilimia 67.5 zilikusanywa kutoka katika vyanzo mbalimbali vya mapato, hata hivyo kiwango hicho hakijafikia lengo la mwaka…
Tanzania orders hospitals to provide healthcare service without barriers
MWANZA: HEALTH sector leaders and workers across the country have been directed to fully prepare for the implementation of Universal Health Insurance to ensure Tanzanians access healthcare services without barriers.…
Davido alivyotulia ndani ya moyo wa Chioma
Mkali wa Afrobeats kutoka Nigeria, David Adedeji Adeleke maarufu Davido amejizolea umaarufu...
Israel yaifanya Gaza kuwa mahali hatari zaidi duniani kwa wanahabari
Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu imetangaza Jumapili kuwa Gaza imegeuka kuwa sehemu hatari kuliko zote duniani kwa wanahabari, huku…
Tanga Port instructs users to fully utilize its free cargo storage facility and clear their goods on time
TANGA: STAKEHOLDERS and users of Tanga Port have been urged to make full use of the designated free cargo storage period to clear their goods on time and avoid unnecessary…
Jeshi la Iran laapa kulenga vikosi vya kigeni vitakavyokaribia Mlango wa Bahari wa Hormuz
Kamanda wa kitengo cha juu zaidi cha uendeshaji wa operesheni za kijeshi cha Iran ameonya kuwa majeshi ya Iran yatalenga vikosi vyovyote vya kigeni, hasa vile vya Jeshi la Marekani,…
Askari wa Marekani watoweka wakati wa mazoezi ya kijeshi Morocco
Askari wawili wa Jeshi la Marekani waliokuwa wakishiriki katika mazoezi ya kijeshi karibu na mji mmoja kusini-magharibi mwa Morocco wameripotiwa kutoweka, na hadi sasa hawajulikani waliko.
Makonda sings praises of Kiswahili as the only African language with a global observance day
DODOMA: KISWAHILI Language continues to strengthen its global standing, remaining the only African language with a dedicated international observance day, marked annually on July 7. The update was presented in…
Moses Kuria aorodhesha kaunti ambazo huenda zikaamua uchaguzi wa urais wa 2027
Waziri wa zamani Moses Kuria alitaja kaunti muhimu ambazo huenda zikaamua urais wa 2027, akifichua maarifa kuhusu usajili wa wapiga kura na mikakati ya wagombeaji.
Dr Samia blesses Form V1 students, teachers engaged in their final exams
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has wished success to Form Six students and teacher training college students sitting for their final examinations, urging them to remain calm, honest,…
Makala 172 TSN zapaisha utalii
DAR ES SALAAM: Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) imeendelea kutekeleza maono ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan, kwa kuimarisha jitihada za kuitangaza sekta ya utalii kupitia uandishi na uchapishaji…
TSN kuongeza uelewa wa Umma AFCON 2027
DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya Magazeti ya Serikali (TSN) imepanga kuandaa na kuchapisha makala maalumu zitakazolenga kuhabarisha umma kuhusu michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, hatua inayolenga…
Tanzania’s Auditors body warns public institutions against inadequate risk management
DAR ES SALAAM: THE Internal Auditors Association of Tanzania has identified risk exposure as one of the key challenges affecting institutions during audit processes, warning that inadequate risk management can…