ZUWENA: Soka la wanawake limenipeleka Sierra Leone
UPAMBANAJI wa kiungo Mtanzania, Zuwena Aziz 'Zizou' anayechezea timu ya Mogbwemo Queens inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake Sierra Leone, haukuwa rahisi kuna kipindi alitamani kuachana kabisa na mchezo huo wa…
Kuzimwa mtandao Gabon, wanazuoni waonya wataka mbinu mbadala Afrika
Wanazuoni wameyataka mataifa ya Afrika kubuni njia mbadala wa mitandao ya kijamii itakayoweza...
Tanzania yaanika ilichokipata mkutano COP30, Brazil
Tanzania imefanikiwa kuzibebesha nchi za Afrika ajenda ya nishati safi ya kupikia iliyoasisiwa...
Mkutano wa Bodi ya Amani utachochea utekelezaji wa makubaliano ya Gaza- Di Carlo
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo limekuwa na kikao cha ngazi ya mawaziri wakijadili hali ya Mashariki ya Kati hususan suala la Palestina ambapo wamejulishwa kuwa hali katika…
Tanzania yajipanga kutokomeza kichocho kwa watoto wadogo
Serikali ya Tanzania na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo UNDP kupitia Ushirikiano wa Upatikanaji na Ufikishaji wa Huduma (ADP), inaendesha mpango wa majaribio wa kihistoria katika…
Watengeneza maudhui kupoteza mapato kutokana na kasi ya maendeleo ya AI
Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO, limesema wabunifu wa maudhui duniani kwa lugha ya kiingereza content creators wanakabiliwa na hatari ya kupoteza hadi asilimia 24…
Hatimaye misaada yafika Kordofan Kusini baada ya kukosekana miezi 3
Msafara wa pamoja wa mashirika ya Umoja wa Mataifa umefikisha misaada muhimu ya kibinadamu katika miji ya Dilling na Kadugli, Jimbo la Kordofan Kusini nchini Sudan, ikiwa ni misaada ya…
Wakazi wa Gaza huko Palestina wahaha kumudu mlo wakati wa mfungo wa Ramadhani
Waumini wa dini ya kiislamu duniani kote wameanza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, kipindi kinachoambatana na sio tu ibada bali pia mlo kama vile futari na daku. Hata hivyo…
#HABARI: Wakati akikusanya vitu vyake ili kuondoka Mahakamani Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alimuona dada yake Mchungaji Ros…
#HABARI: Wakati akikusanya vitu vyake ili kuondoka Mahakamani Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alimuona dada yake Mchungaji Rose Masesa akamsisitiza kusali kwa bidii akimuombea. “Pray hard,” alisema Lissu. Huku dada…
Mbamba Bay port upgrade to boost southern Tanzania trade, SADC
RUVUMA: On the calm shores of Lake Nyasa in Ruvuma Region, an ambitious inland port upgrading project is steadily taking shape. Designed to improve the smooth flow of goods, people…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55….FEBRUARI 18, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55....FEBRUARI 18, 2026
Russian Spring festival under the skies of Tanzania
DAR ES SALAAM: On February 16, the Russian Centre for Science and Culture in Dar es Salaam transformed a corner of the city into a lively outpost of Slavic tradition,…
Haya ndiyo matumizi sahihi ya ‘Earbuds’, kuepuka madhara
Ikiwa unatumia vifaa vya kusikilizia sauti masikioni kama Earbuds unapaswa kujua mwongozo...
Mwigulu aonya watendaji wanaokwamisha miradi ya maendeleo
WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amesema haikubaliki kwa watendaji wa Serikali kupokea fedha za utekelezaji wa miradi kisha kushindwa kuzitumia kwa wakati, hali inayosababisha wananchi kukosa huduma na maendeleo yaliyokusudiwa.…
Tanzania renews efforts to increase honey export from 24 to 50 percent by 2027
DODOMA: TANZANIA’S Forestry and Beekeeping Department has been directed to develop deliberate strategies to increase honey production and exports in order to boost economic benefits and contribute more to the…
Soko la samaki mtandaoni lazinduliwa Ziwa Tanganyika
Hatua mpya ya mapinduzi ya kidijitali katika sekta ya uvuvi imepigwa kufuatia kuzinduliwa kwa...
Je, inawezekana kuunda “NATO ya Waarabu – Waislamu?
Majadiliano kuhusu kuunda "NATO ya Kiislamu" imekuwa moja ya hoja kuu za mazungumzo katika vyombo vya habari vya Kiarabu.
Diamond anakaba kotekote
Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, ameendelea kuandika historia katika mtandao wa YouTube.
Waziri Mkuu aagiza Takukuru Kilimanjaro kuchunguza miradi isiyokamilika
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amemwagiza Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...
#MEZAHURU “…..sisi tunawatia moyo tunawafundisha namna gani wanaweza wakajikwamua kimaisha kwa kufanya kazi za nyumbani kwa ua…
#MEZAHURU ".....sisi tunawatia moyo tunawafundisha namna gani wanaweza wakajikwamua kimaisha kwa kufanya kazi za nyumbani kwa uaminifu kwa bidii.....kabla hatujawaunganisha na sehemu husika kwa ajili ya kazi za nyumbani huwa…
#HABARI: Waziri Wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof
#HABARI: Waziri Wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda, amesema Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu, imeendelea kuwa kichocheo muhimu cha kukuza ubunifu, miongoni mwa waandishi…
Zimamoto Maswa yakabidhiwa gari lenye uwezo wa kuzima moto ghorofa ya 10
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, limepewa mtambo wa kuzima moto...
Israel, tishio kwa amani na usalama wa eneo la Asia Magharibi
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa: Utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya jinai kubwa zaidi kwa kupewa kinga kamili katika kipindi cha miongo minane iliyopita.
Edwin Sifuna akosoa ushirikiano kati ya kaunti ya Nairobi na serikali ya Ruto, asema hakushirikishwa
Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna amejibu kuhusu ushirikiano kati ya serikali ya Kaunti ya Nairobi na Ikulu, akisema haukuwa na baraka za wakazi wa Nairobi.
Rais Pezeshkian: Iran haifanyi mazungumzo iwe imezungumza tu, inataka tija inayoonekana
Rais Masoud Pezeshkian amesisitiza kwamba, mazungumzo ya nyuklia yasiyo ya moja kwa moja inayofanya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani yako chini uangalizi kamili wa Kiongozi wa Mapinduzi ya…
India yatoa Dola bilioni 1.1 miradi ya maendeleo Tanzania
ARUSHA: KATIKA mwaka wa fedha 2026/27 Serikali ya India imepitisha bajeti ya Dola bilioni 1.1 sawa na fedha za Kitanzania Sh trilioni 2.7 kwa ajili ya miradi ya maendeleo nchini.…
Yaytseslav: Mwanamke Mkenya Aliyekataa Mwaliko wa Mwanaume wa Urusi Amwaga Mtama
Raia wa Urusi Yaytseslav anakabiliwa na mzozo baada ya kurekodi wanawake kisiri katika maeneo ya umma Kenya. Kalekye amefichua jinsi walivyokutana na kuibua gumzo
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55….FEBRUARI 18, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55....FEBRUARI 18, 2026
#HABARI: Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema imeimarisha Dawati la Huduma kwa Wateja na mifumo ya ufuatiliaji wa wat…
#HABARI: Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema imeimarisha Dawati la Huduma kwa Wateja na mifumo ya ufuatiliaji wa watoa huduma, hatua inayolenga kuongeza uwazi, ufanisi na ushirikishwaji katika maamuzi ya…
Maji yafika jamhuri, wanafunzi wanusurika kutembea km 3
IRINGA: Wanafunzi wa Shule ya Msingi Jamhuri, iliyopo Kijiji cha Ilongo, Kata ya Ilongo wilayani Mbarali mkoani Mbeya, wameanza kunufaika na huduma ya maji safi na salama shuleni baada ya…
Simulizi ya utekaji wa mtoto Junior, madai ya milioni 10 hadi mauaji yake
Hebu fikiria utapata maumivu kiasi gani pale ulipoagana vizuri na mtoto wako mdogo akaenda...
Kwa kuwadia Ramadhani, mlowezi wa kizayuni auchoma moto Msahafu Baitul-Muqaddas
Mlowezi mmoja Muisraeli wa kizayuni mwenye misimamo ya chuki ameichoma moto nakala ya Kitabu kitakatifu cha Waislamu, Qur'ani, akiwa katika eneo ambalo halijafahamika katika mji wa Baitul-Muqaddas, siku chache kabla…
Vatican, Mexico nazo pia zaukataa uanachama katika ‘Bodi ya Amani’ ya Trump
Vatican haitashiriki katika mpango wa Rais wa Marekani Donald Trump wa iitwayo "Bodi ya Amani". Hayo yameelezwa na afisa mkuu wa kidiplomasia wa Vatican Kardinali Pietro Parolin, huku akisisitiza kwamba…
Vyakula vya kuepuka wakati wa kufungua
Kufungua swaumu ni hatua muhimu baada ya saa nyingi za kujinyima chakula na kinywaji.
Gabon yapiga marufuku matumizi ya mitandao ya kijamii, yasema inachochea migawanyiko
Serikali ya Gabon imepiga marufuku kwa muda matumizi ya mitandao ya kijamii, ikisema kuwa inahusika na kuchochea migogoro na migawanyiko ndani ya jamii.
Waziri Mkuu wa Slovakia: EU iko katika hali mbaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika historia yake
Waziri Mkuu wa Slovakia Robert Fico ameonya kwamba Umoja wa Ulaya (EU) sasa hivi unakabiliwa na hali mbaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika historia yake, huku matatizo ya kiuchumi yakizidishwa na…
Z-SUMMIT 2026: Exim reinforces long-term commitment to tourism growth
Zanzibar: Exim Bank Tanzania has reaffirmed its long-term commitment to the growth and sustainability of the tourism industry by participating as Platinum Sponsor of the Z-Summit 2026, taking place from…
“Miradi ya barabara izingatie vipaumbele Dira 20250”
KIGOMA: MKUU wa Mkoa Kigoma, Balozi Simon Sirro amezitaka Wakala wa Barabara (TANROADS) na Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) kuekeleza majukumu yao ya utekelezaji wa miradi ya…
Serikali yaidhinisha marekebisho ya katiba Simba
SERIKALI kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT), imeidhinisha marekebisho ya katiba ya Klabu ya Simba baada ya kukamilika kwa mchakato wa kisheria uliokuwa chini ya Ofisi ya Msajili wa…
Msaidizi wa muda mrefu wa Raila afichua uhusiano wa Oketch Salah na Baba, atofautiana na Winnie
Kutokana na akaunti zinazokinzana kuhusu Oketch Salah ni nani, msaidizi wa Raila amejitokeza kueleza anachojua kuhusu uhusiano wa Salah na bosi wake.
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI – 18/02/2026
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI - 18/02/2026 (Feed generated with FetchRSS)
Filamu Bongo zinakwama hapa
Mwigizaji na mtayarishaji wa filamu nchini, anayefahamika zaidi kupitia filamu ya Going Bongo...
#HABARI: Watu wawili wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa wilayani Mpanda Mkoa wa Katavi baada ya kuangukiwa na ukuta w…
#HABARI: Watu wawili wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa wilayani Mpanda Mkoa wa Katavi baada ya kuangukiwa na ukuta wa jengo la Kanisa, kufuatia mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55….FEBRUARI 18, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55....FEBRUARI 18, 2026
Ramadhani 2026: Nchi zilizoanza kufunga leo na zinazoanza kesho
Baadhi ya nchi zimetangaza kuuona mwezi na kuanza kufunga leo, huku nyingine zikisubiri kukamilika kwa siku 30 za Shaaban au uthibitisho wa muandamo wa mwezi katika anga zao kabla ya…
ZILIZOBAMBA: Ramadhan Star League msimu wa pili kuanza rasmi siku ya Alhamisi 20/02/2026 katika viwanja vya Donbosco Ostabey
ZILIZOBAMBA: Ramadhan Star League msimu wa pili kuanza rasmi siku ya Alhamisi 20/02/2026 katika viwanja vya Donbosco Ostabey. Mtangazaji @ikthehost anafafanua zaidi kuhusu uhondo huo wa mpira wa kikapu. #Viwanjani…
HABARI: Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imeanza kuchukua hatua ya kuwaondoa wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao katika …
HABARI: Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imeanza kuchukua hatua ya kuwaondoa wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao katika maeneo yasiyo rasmi. Hatua hiyo ni utekelezaji wa maagizo ya Mkuu wa…
IOM lauds Tanzania’s firm steps in managing, safeguarding migrants’ rights
DAR ES SALAAM: THE Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation, Mahmoud Thabit Kombo, has officially received credentials from the Resident Representative of the International Organization for Migration(IOM), Ashraf…
Serikali yapitisha mabadiliko ya Katiba Simba, uwekezaji njia nyeupe
Serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT) imeidhinisha rasmi marekebisho ya Katiba ya...