Africa pushes green agenda
ADDIS ABABA: AFRICAN leaders have called for stronger continental alignment on climate action and green investment, as the global economy increasingly shifts towards climate-positive growth. Speaking during a meeting of…
IITA YAWAWEZESHA VIJANA KUONGEZA THAMANI YA MUHOGO KWA KIWANGO CHA KIMATAIFA
IITA YAWAWEZESHA VIJANA KUONGEZA THAMANI YA MUHOGO KWA KIWANGO CHA KIMATAIFA (Feed generated with FetchRSS)
#BSSNexLevelRevolution | Ujumbe maalum wa AzamTV umewasilishwa vyema na Mkuu wa Kitengo cha Promosheni, Matukio na Media @sebath…
#BSSNexLevelRevolution | Ujumbe maalum wa AzamTV umewasilishwa vyema na Mkuu wa Kitengo cha Promosheni, Matukio na Media @sebathewarrior, kupitia Sunshine Radio ya Arusha, akieleza ujio wa BSS mkoani humo, ambapo…
Mwarabu wa Mang’ula unaambiwa kawasha moto kumbe Madshavu alipita na laki mbili zake 😅
Mwarabu wa Mang'ula unaambiwa kawasha moto kumbe Madshavu alipita na laki mbili zake 😅 (Feed generated with FetchRSS)
Nawanda kafunguka kwa mama yake ukweli wote…Leo tumejua hadi jina lake kumbe ni Hashim
Nawanda kafunguka kwa mama yake ukweli wote...Leo tumejua hadi jina lake kumbe ni Hashim... (Feed generated with FetchRSS)
Bala mikononi mwa wasaliti, Ila huyu Begum anajisahau sana
Bala mikononi mwa wasaliti, Ila huyu Begum anajisahau sana #AzamTWO (Feed generated with FetchRSS)
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 13, 2026
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 13, 2026
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 13, 2026
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 13, 2026
#KIPIMAJOTO: “…… Ni Taifa la vijana kwa sababu 70% ya population yetu wako under 30, sasa kama una population ya 62 million ukas…
#KIPIMAJOTO: “…… Ni Taifa la vijana kwa sababu 70% ya population yetu wako under 30, sasa kama una population ya 62 million ukasema 70% wako chini ya miaka 30 inamaanisha…
Kulikoni kwa Zein tena #AzamTWO
Kulikoni kwa Zein tena #AzamTWO (Feed generated with FetchRSS)
Dk Kijaji awatwisha mzigo Bodi TFS
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) wametekeleza uamuzi ya kamati ya mawaziri wanane kwa...
Tshabalala ateka shoo mazoezini Zanzibar
WAKATI Yanga ikijiandaa na mechi ya mwisho ya Kundi D katika Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya JS Kabylie ya Algeria, kuna ishara kuwa mabingwa hao wa Tanzania hawataki kuacha…
Tajiri atinga mazoezi Yanga ZanzibarÂ
WAKATI kikosi cha Yanga kikiendelea na mazoezi usiku huu kwenye Uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar mdhamini wa timu hiyo Ghalib Said Mohamed (GSM), ameibuka mazoezi hapo.
🔴KIPIMA JOTO
🔴KIPIMA JOTO.. MPANGO WA USHIRIKIANO KATI YA VYUO NA VIWANDA, FEBRUARI 13, 2026
Utafiti waonya utegemezi wa Dar kwa mapato ya kodi
Wakati takwimu zikionesha asilimia 70 ya mapato ya kodi nchini kukusanywa katika Jiji la Dar es...
TRA YAANZISHA KITENGO CHA DRONE KUWABANA WANAOINGIZA MAGENDO
TRA YAANZISHA KITENGO CHA DRONE KUWABANA WANAOINGIZA MAGENDO Mamlaka ya Mapato Tanzania kupitia Idara ya Forodha na Ushuru inatarajia kuanza kutumia ndege nyuki (Drone), kudhibiti magendo. Uanzishwaji huo umetanguliwa na…
#HABARI: Jopo la Mawakili wa Makamu Mwenyekiti Mstaafu Wa Chadema- Zanzibar, Said Issa Mohamed na Wenzake ambao ni Mawakili Waan…
#HABARI: Jopo la Mawakili wa Makamu Mwenyekiti Mstaafu Wa Chadema- Zanzibar, Said Issa Mohamed na Wenzake ambao ni Mawakili Waandamizi Shabaan Marijani, Gido Semfukwe Na Alvan Fidelis Wamesema Chama cha…
#HABARI: Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imetangaza mkakati wa kuongeza fani mpya katika Chuo cha VETA mkoani…
#HABARI: Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imetangaza mkakati wa kuongeza fani mpya katika Chuo cha VETA mkoani Kagera zitakazosaidia kuongeza thamani ya mazao ya uvuvi na…
#HABARI: Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Tandaimba mkoani Mtwara limepitisha bajeti ya zaidi ya shilingi bilioni …
#HABARI: Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Tandaimba mkoani Mtwara limepitisha bajeti ya zaidi ya shilingi bilioni 46 kwa ajili ya mwaka ujao wa fedha. Katika bajeti hiyo,…
Vijana wabunifu wahimizwa kuchangamkia fursa za mitaji, mafunzo
Vijana wabunifu nchini wametakiwa kujitokeza na kuchangamkia fursa za mitaji na mafunzo...
Wakazi wa Mtaa wa Mlimani, Kata ya Mkundi katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro, wamekamilisha ujenzi wa karavati kwa kumwa…
Wakazi wa Mtaa wa Mlimani, Kata ya Mkundi katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro, wamekamilisha ujenzi wa karavati kwa kumwaga zege upande mmoja wa kolongo linalotenganisha Mtaa wa Msimamo na…
“Ndani ya wiki mbili vifaa viwe vimefungwa”-Waziri Mkuu Dkt
"Ndani ya wiki mbili vifaa viwe vimefungwa"-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba Amesema hayo leo Februari 13, 2026 alipokagua na kufungua jengo la wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospitali ya Halmashauri ya…
Serikali yatoa vitabu vya mkondo wa amali
Serikali imetoa vitabu vya 18,354 masomo ya elimu ya amali kwa shule zote za sekondari za umma...
Hatimaye kilio cha muda mrefu cha Ukosefu wa zahanati kwa wananchi wa Kimanga wilayani Ilala jijini dar es salaam kimesikika na …
Hatimaye kilio cha muda mrefu cha Ukosefu wa zahanati kwa wananchi wa Kimanga wilayani Ilala jijini dar es salaam kimesikika na Rais wa Jmahuri ya Muungano wa Tanzania ametoa fedha…
Catherine Omanyo: Kaimu katibu mkuu wa ODM awapuuza wakosoaji wanaotilia shaka sifa zake za uongozi
Mwakilishi wa wanawake wa Busia Catherine Omanyo alimshutumu katibu mkuu wa ODM Edwin Sifuna kwa kufadhili wakosoaji kumdhulumu kwenye mitandao ya kijamii.
🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU FEBRUARI 13, 2026 – SHAHIDI AELEZEA ALIVYOSHAWISHIWA KUKINUKISHA
🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU FEBRUARI 13, 2026 - SHAHIDI AELEZEA ALIVYOSHAWISHIWA KUKINUKISHA
Je, Korea Kaskazini iko tayari kuwa na kiongozi mwanamke?
Kulingana na shirika la kijasusi la Korea Kusini, Ju Ae ndiye anayetarajiwa kuwa mrithi wa babake Kim Jong Un.
#live:TAARIFA YA HABARO YA USIKU – 13/02/2026
#live:TAARIFA YA HABARI YA USIKU - 13/02/2026 (Feed generated with FetchRSS)
Zanzibar iko tayari kuikaribisha Yanga New Amaan Complex
Shirikisho la Soka Zanzibar (ZFF) limekamilisha maandalizi yote ya kuikaribisha timu ya Yanga SC katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar, wakati itakapocheza mechi yake ya mwisho ya hatua ya…
Kamati ya Bunge yaeleza OSHA itakavyopunguza mzigo wa fidia kwa wafanyakazi
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imesema utekelezaji madhubuti wa...
Mama wa Nairobi ahuzunika baada ya kugundua mumewe anachepuka na mwalimu wa mwanawe
Mama mmoja wa Nairobi juzi aligundua jumbe za kashfa kati ya mumewe na mwalimu wa mwanawe, zikimuacha ameumia moyo kwani mtoto wao anapendelea shule kuliko nyumbani.
Tume Yakutana Mwamunyange,Waitara
TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imeendelea na vikao vyake leo Februari 13, 2026 kwa kukutana…
Sangu ateta na Pinda, apatiwa mbinu kuimarisha uhusiano
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, leo Ijumaa...
Michuano ya AFCON haitaahirishwa wasiwasi, atangaza mkuu wa CAF
Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) ambayo imekutana jijini Dar es Salaam siku ya Ijumaa hii, Februari 13, imebainisha kwamba michuano ya Kombe la Mataifa ya…
#HABARI: Shahidi wa tano wa Jamhuri katika kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ametoa ushahidi wake …
#HABARI: Shahidi wa tano wa Jamhuri katika kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ametoa ushahidi wake Mahakamani akieleza jinsi alivyoshawishiwa na hotuba za kiongozi huyo. Shahidi huyo…
Zuio la Chadema kutumia mali lawaibua mawakili wa walalamikaji
Chadema kinakabiliwa na kesi ya madai inayohusiana na mgogoro wa madai ya mgawanyo wa...
Wadau wataka sheria mpya ya elimu
Kwa sasa, sekta hiyo inasimamiwa na Sheria ya Elimu ya mwaka 1978, ambayo inaelezwa kuwa...
Mashariki mwa DRC: Kinshasa yakubali pendekezo la Angola la kusitisha mapigano
DRC imejibu vyema mnamo Februari 13, 2026, kwa pendekezo la Angola. Rais wa Kongo Félix Tshisekedi amekubali rasmi kanuni ya kusitisha mapigano mashariki mwa nchi yake, “kwa roho ya uwajibikaji,…
#HABARI: Mstahiki Meya wa Manispaa ya Singida, Mhe
#HABARI: Mstahiki Meya wa Manispaa ya Singida, Mhe. Geofrey Mdama, amefungua kikao kazi kati ya TANESCO na viongozi wa Serikali za Mitaa, Kata, na Madiwani mkoani humo. Katika hafla hiyo…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MBEYA: FEBRUARI 13, 2026
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MBEYA: FEBRUARI 13, 2026
NMB yadhamini maonyesho ya mifugo
Tanzania inatarajia kufanya maonyesho ya tatu ya kimataifa ya mifugo Julai mwaka huu, hatua...
#HABARI: Wakazi wa Jiji la Arusha wamejitokeza kwa wingi katika kambi ya siku tatu iliyofanyika Hospitali ya St
#HABARI: Wakazi wa Jiji la Arusha wamejitokeza kwa wingi katika kambi ya siku tatu iliyofanyika Hospitali ya St. Thomas ili kupatiwa huduma za uchunguzi na matibabu ya uhakika. Kambi hiyo…
Prof Kristin: Sera madhubuti matumizi sahihi ya rasilimali Afrika inahitajika
OSLO, NORWAY: Mapambano hayo yanahususisha matumizi ya mbinu zote halali na zilizowekwa kwa mujibu wa katiba na sheria ili kufanikiwa azima ya kujiletea maendeleo na kuinua uchumi wa watu wake.…
‘Kutotekelezwa matakwa sheria ya PDPA ni hatari ‘
MKURUGENZI Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), Dk. Emmanuel Lameck Mkilia, amesisitiza kuwa kutotekeleza matakwa ya Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPA) ni hatari kubwa kwa…