WHO na Novo Nordisk kuendeleza elimu ya wahudumu wa afya Kenya
Kenya imepiga hatua kubwa katika uzalishaji wa rasilimali watu wa sekta afya, ikiwemo kuongezeka maradufu kwa idadi ya wauguzi, madaktari na wataalamu wengine wa afya katika kipindi cha muongo mmoja…
Mbunge aibuka na vita dhidi ya dawa za kulevya Tanga
Bandawe, ambaye aliwahi kuwa mraibu kwa zaidi ya miaka 22 kabla ya kupona, amesema zaidi ya...
MOROGORO: TRAVERSING through the…
MOROGORO: TRAVERSING through the legendary and mighty Nyerere National Park would be a lifetime and memorable event for visitors on safari in Southern Tanzania circuit by its most wild or…
CCM, ACT-Wazalendo wawekwa mezani kumaliza sintofahamu za uchaguzi Zanzibar
Kwa mujibu wa CCM, taarifa ya kuingia kwenye mazungumzo ilipokewa wakati wa kikao cha Kamati...
Polisi yachunguza mfanyabiashara aliyetoweka Kigoma
Kigoma. Jeshi la Polisi mkoa wa Kigoma limesema linafanya uchunguzi wa taarifa za kutoweka kwa...
How projects tell powerful story about leadership
MWANZA: AT the heart of every ward and council, development projects tell a simple but powerful story about leadership. A completed classroom, a functioning health facility, a reliable water point:…
Edwin Sifuna akaidi vitisho vya polisi, awaambia wafuasi kukaa ngumu amalemba: “Hatutoki”
Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna aliwasihi wafuasi wake huko Kakamega baada ya chombo cha kutoa machozi kutumwa alipokuwa karibu kuanza hotuba yake.
Mafuriko yawakosesha makazi Tabata DarÂ
Katika maeneo ya Amani na Aloma, Mtaa wa Tabata Relini, takribani nyumba sita zimeathirika kwa...
Sikia hii ya Mkandala
KATIKA mabao mawili ya Ligi Kuu aliyofunga kiungo wa Coastal Union, Cleophace Mkandala, yote ameifunga Tanzania Prisons, ambapo nyota huyo aliwahi kukitumikia kikosi hicho cha maafande, kabla ya kuondoka na…
KeNHA yafafanua kuhusu ubomozi Githurai, wafanyabiashara wakadiria hasara
Mamlaka ya Barabara Kuu ya Kitaifa ya Kenya (KeNHA) imeelezea ubomoaji wa hivi karibuni wa majengo na vibanda vya muda kando ya Barabara Kuu ya Thika huko Githurai.
Nouma aanza mambo TRA United
BEKI wa kushoto wa TRA United, Valentin Nouma, ameanza vyema maisha yake mapya ndani ya kikosi hicho, baada ya kuifungia timu hiyo bao moja na la ushindi wa 1-0, dhidi…
Ansarullah: Kujizatiti upya kijeshi maadui katika eneo ni ishara kwamba Muqawama ungali hai
Mjumbe mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Yemen ya Ansarullah ametoa taarifa akieleza kwamba kuzungumziwa duru mpya ya vita vinavyotaka kuanzishwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran…
Licha ya vizuizi vikali vya Israel, Wapalestina laki moja wasali I’sha na Tarawehe Masjidul-Aqsa
Licha ya vizuizi vikali vilivyowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel vya kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa, makumi ya maelfu ya Wapalestina jana usiku walihudhuria katika msikiti huo mtukufu kusali…
Kenya yaitaka Russia iirejeshee miili na raia wake waliofungwa katika vita vya Ukraine
Serikali ya Kenya imeitaka Russia iirejeshe nyumbani miili ya raia wake waliouawa na wale waliokamatwa kama wafungwa wa vita, ambao wameripotiwa kuwa walipiigania Russia katika vita na Ukraine.
Watu 50 wauawa katika shambulio la wabeba silaha kaskazini magharibi ya Nigeria
Kundi moja la wabeba silaha limewaua watu wasiopungua 50 na kuwateka nyara wanawake na watoto katika shambulio la usiku kwenye kijiji kimoja kilichoko kaskazini magharibi mwa Jimbo la Zamfara nchini…
Uhispania: Ilikuwa ni ‘makosa’ Kamishna wa EU kuhudhuria mkutano wa ‘Bodi ya Amani’ ya Trump
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania Jose Manuel Albares amesema, ilikuwa ni "makosa" kwa Kamishna wa Umoja wa Ulaya kuhudhuria mkutano wa uzinduzi wa 'Bodi ya Amani' ya Rais…
Ibenge macho yote kwa Simba, Yanga
KOCHA Mkuu wa kikosi cha Azam FC, Florent Ibenge, anasema baada ya kumalizana na michuano ya kimataifa, kazi iliyosalia ni kuhakikisha timu hiyo haiachwi hata pointi moja na Simba na…
Tumia njia hizi tatu kupunguza uvimbe usoni
Kafeini hubana mishipa ya damu kwa muda, na kupunguza upana wa mishipa na baadaye kupunguza uvimbe unaonekana usoni
Aliyewasilisha maombi kupinga kufukuzwa kazi, akwama mahakamani
Maombi hayo namba 32222/2025, yaliwasilishwa dhidi ya Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tume ya...
Ukame wa mabao unavyomtesa Mayele Pyramids
Kwa kushindwa kufunga jana, Mayele sasa amefikisha idadi ya michezo 21 mfululizo ya mashindano...
Tunisia: Mbunge ahukumiwa kifungo cha miezi 8 jela kwa kumdhihaki Rais Kais Saied kupitia Facebook
Mbunge wa Tunisia Ahmed Saidani ahukumiwa jela kwa machapisho ya Facebook ya kumdhihaki Rais Kais Saied kuhusu mafuriko, na kuzua wasiwasi kuhusu uhuru wa kujieleza.
Arusha DC yapitisha bajeti ya Sh75.4 bilioni, madarasa 25 kujengwa
Arusha. Halmashauri ya Wilaya ya Arusha (Arusha DC) imepitisha mapendekezo ya bajeti ya Sh75.4...
Linda Mwananchi: Taharuki yatanda kabla ya mkutano wa Sifuna, polisi wafyatua vitoa machozi Amalemba
Hali ya wasiwasi imeongezeka Amalemba huko Kakamega huku polisi wakidaiwa kufyatua mabomu ya machozi kabla ya mkutano wa Linda Mwananchi unaoongozwa na Edwin Sifuna.
Shule mpya kumaliza kero ya wanafunzi kutembea umbali mrefu
Hai. Wananchi wa Kijiji cha Mbatakero, kata ya Weruweru, Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro...
Trump awasuta majaji wa Mahakama ya Juu kwa kuharamisha ushuru wa kimataifa
Majaji sita walipiga kura dhidi ya ushuru huo, hatua ambayo ni pigo kubwa kwa sera ya kiuchumi ya utawala wake.
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe David Kihenzile amesema Mkoa wa Kigoma na Wakazi wake wapendelewa sana na Serikali na kwamba kwa u…
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe David Kihenzile amesema Mkoa wa Kigoma na Wakazi wake wapendelewa sana na Serikali na kwamba kwa uzoefu wake wa kuzunguka maeneo mbalimbali Nchini Tanzania, hajaona…
Sh2.2 bilioni zanufaisha vikundi 76 kujikwamua kiuchumi
Zaidi ya Sh2.2 bilioni zimetolewa katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya vijijini kwa ajili ya...
Hospitali ya Aga Khan yashinda tuzo ya ubora wa huduma
Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam imeendelea kung’ara baada ya kushinda Tuzo ya Ubora wa...
Anko Kitime: Wiki ya majonzi kwa wasanii wakongwe
Wiki hii imekuwa ya majonzi kwa wapenzi wa muziki wa zamani, kutokana na kuondokewa na...
DC Mgomi atoa wito uchangiaji damu Songwe
SONGWE: Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Farida Mgomi, ametoa rai kwa wananchi kujenga utamaduni wa kujitolea damu kwa hiari ili kuokoa maisha ya wajawazito na watoto wachanga wanaohitaji huduma za…
OGTL rolls out new clean cooking initiative
DAR ES SALAAM: THE Oryx Gas Tanzania Limited (OGTL) has reaffirmed its commitment to promoting clean cooking energy across the nation, with a focus on enhancing the daily lives of…
Ushuru wa Trump: Uamuzi wa Mahakama Kuu utakuwa na athari ndogo kwa Afrika
Uamuzi wa Mahakama Kuu bila shaka utainufaisha Afrika Kusini, ambayo imeathiriwa na ushuru wa 30%. Johannesburg ililipa gharama kubwa kwa Donald Trump kutaka kumwadhibu Cyril Ramaphosa kwa madai ya kuwatesa…
Ushuru: Uamuzi wa Mahakama Kuu unahatarisha kuzua migawanyiko zaidi ndani ya kambi ya Republican
Rais wa Marekani Donald Trump anakataa kukubali kushindwa, lakini uamuzi huu wa Mahakama Kuu unahatarisha kuzua migawanyiko zaidi ndani ya Chama cha Republican, kwani baadhi ya maafisa waliochaguliwa hawaungi mkono…
Mtazamo wa Moscow kuhusu maneva ya pamoja ya baharini kati ya Iran, Russia na China
Moscow imetangaza kuwa mazoezi ya pamoja ya majini kati ya majeshi ya Iran, Russia na China yatafanyika katika Lango -Bahari la Hormuz.
Ushuru: Donald Trump kuweka ushuru wa kimataifa wa 10%
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza siku ya Ijumaa kwamba ataweka ushuru mpya wa kimataifa wa 10%, kujibu uamuzi wa Mahakama Kuu ambayo imeona ushuru mwingi alioweka tangu kurudi Ikulu…
Alichokiandika Askofu Bagonza kifo cha Kardinali Pengo
Baraza la Maaskofu (TEC) limempoteza jabali wa Maadili ya Kanisa. Taifa limempoteza kiongozi wa...
Ushuru: Je, utawala wa Trump utafanya nini baada ya uamuzi wa Mahakama Kuu ya Marekani?
Mahakama Kuu ya Marekani imeamua siku ya Ijumaa kwamba sehemu kubwa ya ushuru uliowekwa na Donald Trump tangu kurudi kwake Ikulu ya Marekani ni kinyume cha sheria, na kuvunja nguzo…
Kilosa kukamilisha miradi mipya kwa mapato ya ndani
MOROGORO: HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilosa, mkoani Morogoro inaendelea kukamilisha ujenzi wa miradi mipya ya maendeleo ikiwemo Shule ya Sekondari ya Wasichana Kilosa. Shule hiyo inajengwa kwa mapato ya ndani…
Kihongosi alivyowakalia kooni viongozi kuchanga kulipa deni la mkandarasi Kasulu
Tukio hilo linafanana na lililowahi kutokea Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, ambako...
IAA rolls out apprenticeship model to boost youth employability
DODOMA: ARUSHA Accounting Institute (IAA) has rolled out an expanded apprenticeship training model and invested over 48bn/- in institutional reforms aimed at producing job-ready graduates aligned with Tanzania’s fast-changing labour…
Mpaka wa baharini kati ya Ghana na Togo: Accra yaamua kutumia usuluhishi wa kimataifa
Ghana ambayo imekitaja miaka minane ya mazungumzo yasiyo na matunda, imetangaza siku ya Ijumaa, Februari 20, kusitisha mazungumzo na LomĂ© yanayolenga kusuluhisha mzozo kati ya nchi hizo mbili kuhusu mpaka…
Call to heart: 20 Lenten principles for a transformed life
MWANZA: AS Christians across the country marked Ash Wednesday, the beginning of the solemn 40-day journey toward Easter, a powerful message echoed from the pulpit of Mji Mwema Parish under…
Wawekezaji wapatiwa leseni wakishauriwa mambo 10
WATOA huduma za uwekezaji nchini 110 wamepatiwa leseni huku wakiaswa mambo 10 ikiwemo kuwashika mkono wawekezaji wa ndani ili kutimiza maono ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuwa na wawekezaji…
Gaza: Morocco kutuma wanajeshi kujiunga na kikosi cha kimataifa cha kuleta utulivu Gaza
Wakati wa mkutano wa Baraza la Amani huko Washington, D.C., Rais Donald Trump amejadili jukumu la kikosi cha kimataifa cha kuleta utulivu Gaza (ISF), siku ya Alhamisi, kwa lengo la…
Kortini wakidaiwa kusafirisha kilo 137 za mirungi
Washtakiwa hao wamefikishwa mahakamani hapo jana Februari 19, 2026 na kusomewa mashtaka yao na...
DRC: Kamishna wa misaada ya kibinadamu wa EU akamilisha ziara yake Goma
Hadja Lahbib amezuru mji mkuu wa mkoa wa Kivu Kaskazini siku ya Ijumaa, Februari 20, ambapo alikutana na ujumbe wa maafisa kutoka AFC/M23, kundi linalodhibiti mji huo. Kufuatia majadiliano hayo,…
Ripoti yadai hali si shwari Balochistan
Inaeleza kuwa vifo, utekaji ni kati ya matukio yanayotikisa Balochistan na kutishia uhai wa...
Iran yaonya kuhusu wapenda vita wanaotaka “vita vya maafa”
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Marekani haijawahi kudai kusitishwa kabisa kwa urutubishaji wa urani katika mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja yanayoendelea, huku akionya kuwa baadhi…
Guinea-Bissau yasitisha utafiti wa chanjo unaofadhiliwa na Marekani
Guinea-Bissau imesitisha utafiti tata wa chanjo ya homa ya ini aina ya B (Hepatitis B) uliokuwa ukifadhiliwa na utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump, baada ya Shirika la Afya…
WFP: Somalia inakabiliwa na hatari ya baa la njaa
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP limesema hali ya upatikanaji wa chakula nchini Somalia imefikia hatua mbaya ambapo mamilioni ya watu wako hatarini kukumbwa na…