Uchaguzi Tanzania 2025: Maswali matatu ‘tata’ kuhusu idadi ya wapiga kura iliyoibua mjadala
Chanzo cha picha, INEC Maelezo ya picha, Jaji wa Rufani Jacob Mwambegele, 30 Julai 2025 Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (INEC) imejikuta katikati ya mjadala baada ya kutangaza…
Mkutano wa OIC mjini Jeddah wahimiza hatua ya pamoja kumaliza mauaji ya kimbari Gaza
Mkutano wa dharura wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama wa Shirika la Ushirikiano la Kiislamu (OIC) ulianza Jumatatu mjini Jeddah, Saudi Arabia, ambapo washiriki wamesisitiza umuhimu wa…
🔴HABARI ZA SAA: SAA NNE NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA NNE NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025
#HABARI: Kiongozi wa Chama cha Democratic Party (DP) nchini Kenya Justin Muturi, na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Ra…
#HABARI: Kiongozi wa Chama cha Democratic Party (DP) nchini Kenya Justin Muturi, na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Rais William Ruto, amejitosa kwenye mjadala kuhusu ufisadi bungeni, akimtuhumu Ruto…
Je, Tanzania imeilenga Kenya kuzuia wafanyabiashara wadogo?
Chanzo cha picha, Getty Images 30 Julai 2025 Katika kile kinachoonekana kama mwendelezo wa sera za kulinda uchumi wa ndani, Serikali ya Tanzania imetangaza rasmi marufuku dhidi ya shughuli 15…
Donald Trump asema Wamarekani wengi ‘wangependa kuwa na dikteta’
Rais wa Marekani Donald Trump amesema siku ya Jumatatu, Agosti 25, kwamba Wamarekani wengi “wangependa kuwa na dikteta,” wakati wa mkutano wa ghafla na waandishi wa habari na ambao ulirefushwa…
Iran yakanusha madai ya Trump kuhusu kutengeneza silaha za nyuklia
Iran imekanusha tuhuma zilizotolewa na Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu mpango wa nyuklia wa amani wa taifa hili, ikisema madai hayo yametegemeai kauli zilizopitwa na wakati ambazo zilitolewa na…
#HABARI: Emmanuel Mussa (27), mkazi wa Ighombwe, Singida, amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani kwa kosa la kumbaka mwanafunzi…
#HABARI: Emmanuel Mussa (27), mkazi wa Ighombwe, Singida, amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wa darasa la tano kutoka Shule ya Msingi Ighombwe. Tukio hilo lilitokea…
Rais Xi Jinping wa China amesifu umuhimu wa kimkakati wa uhusiano na Urusi
Rais wa China Xi Jinping leo Jumanne, Agosti 26, amesifu uhusiano wa China na Urusi kama “imara zaidi” na “muhimu zaidi kimkakati” kati ya mataifa makubwa leo, televisheni ya serikali…
Amka Na BBC
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link