Jinsi Urusi inavyojaribu kimya kimya kujishindia ushawishi ulimwenguni zaidi ya Magharibi
Katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, kituo cha habari kinachoungwa mkono na serikali ya Urusi RT kimepanua uwepo wake wa kimataifa.
Berlin yabadilisha jina lenye utata wa ubaguzi wa rangi
Kwa muda mrefu mtaa wa Mitte jijini Berlin umetaka kubadilisha jina la barabara yake Mohrenstrasse kwa sababu kihistoria jina ‘Mohr‘ lilitumika kuwatambulisha watu wenye asili ya Afrika lakini kwa njia…
#MEZAHURU:”Kodi Mawinga” tunaangazia utaratibu unaoanzishwa na TRA kwa Mawinga wanaotangaza Biashara zao kupitia mitandaoni kuji…
#MEZAHURU:”Kodi Mawinga” tunaangazia utaratibu unaoanzishwa na TRA kwa Mawinga wanaotangaza Biashara zao kupitia mitandaoni kujisajili na kulipa kodi, Je, ni sahihi au sio sahihi?
M23 yaishtumu serikali kutumia mamluki kushambulia ngome zao
Mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yamechukua sura mpya baada ya waasi wa M23 kuishutumu serikali kwa kutumia mamluki wa kigeni kushambulia maeneo wanayoyadhibiti, ikiwemo eneo la makazi…
🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
#HABARI: Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Karagwe, Ndugu Alloys Simba Maira, amemkabidhi fomu ya uteuzi wa kugombea nafasi ya Ubun…
#HABARI: Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Karagwe, Ndugu Alloys Simba Maira, amemkabidhi fomu ya uteuzi wa kugombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Karagwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu…
Uteuzi wa kushangaza CCM, Ummy Mwalimu akitoswa, Baba Levo aula
Chama tawala nchini Tanzania, CCM, kimehitimisha mchakato wa uteuzi wa wagombea wake wa ubunge kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, ambapo matokeo yake yameibua mshangao baada ya baadhi ya majina…
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, Mhe
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, Mhe. Waziri Kombo amepongeza ushirikiano wa Tanzania na Japan kupitia JICA katika ufadhili wa uendelezaji…
Tetesi za soka Jumapili :Al-Ittihad yamnyemelea Fernandes
Al-Ittihad wanataka kumsajili Bruno Fernandes wa Manchester United na tayari wamefanya mazungumzo na wawakilishi wa kiungo huyo wa kati wa Ureno.
🔴HABARI ZA SAA: SAA TANO NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA TANO NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025