s

Chanzo cha picha, Dira

Katika taifa linalohitaji mabadiliko yoyote, vyama vya siasa vikiwepo vya upinzani huwa na nafasi ya kipekee. Nchini Tanzania vyama vya upinzani ambavyo vilitarajiwa kuwa chachu ya mageuzi sasa vinaonekana kugawanyika kuliko wakati wowote ule.

Badala ya mijadala ya sera na hoja mbadala dhidi ya watawala, kwa miezi kadhaa sasa, tunashuhudia majibizano na mashambulizi ya moja kwa moja baina ya vyama vya upinzani badala ya kuunga nguvu zao zaidi dhidi ya chama tawala, CCM.

Vita vya maneno kuanzia ya majukwaani hadi kwenye mitandao ya kijamii vimechukua nafasi ya mijadala ya sera mbadala dhidi ya chama tawala.

Kisiasa tunashuhudia kile ambacho wakili na mtaalamu wa haki za binadamu Fortunata Kitokesya anakieleza kama “theatre of ego” ama jukwaa la ubinafsi, na sio jukwaa la matumaini.



Source link

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *