#HABARI: Wananchi na Wanachama wa CCM Jimbo la Maswa Mashariki, wameandamana na mgombea Ubunge wa Jimbo hilo Daktari George Lugomela, kurejesha fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo hilo huku akijipambanua kuboresha kilimo cha Pamba.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania
#Follow @itvtz @radioonetanzania
@capitaldigitaltanzania
