[ad_1]
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imechapisha taarifa ikiutaja uamuzi wa serikali ya Australia wa kupunguza kiwango cha uhusiano wa kidiplomasia na Iran kuwa kinyume na utamaduni wa uhusiano mkongwe wa nchi hizi mbili.
[ad_2]
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
Iran yakosoa uamuzi wa Australia wa kupunguza kiwango cha uhusiano wa nchi hizi mbili