Watu wenye silaha wamewauwa takriban watu wawili na kuwateka nyara zaidi ya watu 100, wengi wao wakiwa wanawake na watoto, katika shambulio lililotokea katika Jimbo la Zamfara, Nigeria, maafisa wa eneo hilo na viongozi wa kijamii wamesema.
Nigeria: Wawili wauawa na zaidi ya mia moja watekwa nyara Zamfara