Mazungumzo ya kitaifa DRC bado ni kitendawili
Mpango huo wa amani shirikishi nchini Kongo ambao ni matokeo ya mikutano kadhaa ya kiufundi, unalenga kumaliza mzunguko mbaya wa migogoro ya kivita ambayo imeikumba nchi hiyo kwa miongo mitatu.…
Mpango huo wa amani shirikishi nchini Kongo ambao ni matokeo ya mikutano kadhaa ya kiufundi, unalenga kumaliza mzunguko mbaya wa migogoro ya kivita ambayo imeikumba nchi hiyo kwa miongo mitatu.…
Chanzo cha picha, Getty Images 26 Julai 2025 Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) nchini Tanzania imetangaza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, utakaohusisha nafasi ya Rais, wabunge na…
Norway imeutaja ukatili unaofanya utawala wa Israel katika Ukanda wa Gaza kuwa ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa, na kutangaza kwamba nchi hiyo ya Ulaya inafikiria kupiga marufuku…
🔴HABARI ZA SAA: SAA SABA NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025
Zaidi ya mwezi mmoja umepita tangu Hamza al-Amareen atoweke. Raia huyo wa Syria mwenye umri wa miaka 33, ambaye alikuwa mkuu wa kituo cha dharura cha shirika la uokoaji la…
Waziri mkuu wa Australia Anthony Albanese, amesema Shirika la Ujasusi wa Usalama la Australia (ASIO) limekusanya taarifa za kijasusi za kuaminika kwamba Iran ilielekeza mashambulizi hayo mawili katika miji ya…
Katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, Kenya haijaripoti kisa chochote cha uwindaji haramu wa faru. Kulingana na Idara ya Ulinzi wa Wanyamapori nchini Kenya, KWS, matumizi ya teknolojia ya kisasa…
Xi amesema hayo kwenye mazungumzo na Mwenyekiti wa Bunge la Urusi Vyacheslav Volodin na kuendelea kuusifia uhusiano huo alioutaja kama “chanzo thabiti cha amani ya ulimwengu,” hii ikiwa ni kulingana…
Chanzo cha picha, Getty Images Dakika 10 zilizopita Katika mwaka uliotawaliwa na na migogoro, mataifa matano yameendelea kuorodheshwa miongoni mwa mataifa yenye amani zaidi duniani. Wakazi wamefichua jinsi sera na…
Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina J. Mohammed, amewataka viongozi wa kijeshi wa Afrika kushirikiana kwa karibu zaidi ili kukabiliana na ongezeko la vitisho vya usalama, ugaidi na…
#HABARI: Mtia nia Paul Makonda, leo Agosti 26, 2025 amefunga mitaa ya Arusha mjini wakati msafara wake ukimsindikiza kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini katika ofisi…
🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025
Chanzo cha picha, AFP Maelezo ya picha, Ripoti zinasema, nyumba na maduka kuzunguka Kanisa huko Komanda yalishambuliwa vibaya na waasi. Maelezo kuhusu taarifa Author, Yusuph Mazimu Nafasi, Akiripoti kutoka BBC…
Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo lilitangaza Jumatatu kwamba maafisa 41 wa ngazi za juu jeshini wamesailiwa kama sehemu ya uchunguzi kuhusu kushindwa kwa vikosi vya serikali wakati wa…
Waandamanaji kutoka Israel wametoa wito wa kusitishwa kwa mapigano kwenye ukanda wa Gaza na kuachiwa kwa mateka. Imechapishwa: 26/08/2025 – 11:38 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara Soma…
#MEZAHURU:”Motisha Walimu” Je kuwapa walimu motisha kuna tija katika kuhakikisha kunapatikana ufaulu mzuri?
Maelezo kuhusu taarifa Author, Na Yusuph Mazimu Nafasi, Akiripoti kutoka BBC Dar es Salaam 29 Julai 2025 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza majina ya wagombea ubunge walioteuliwa kugombea katika uchaguzi…
Jeshi la Israel lilimshambulia kwa risasi mwandishi wa habari Mpalestina katika eneo la kusini la Gaza, masaa machache baada ya yeye mwenyewe kutoa heshima kwa wenzake watano waliouawa katika mashambulizi…
🔴HABARI ZA SAA: SAA TANO NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025
#MICHEZO: “Kumekuwa kuna mvutano, wao hawapo tayari kutoa sababu, Clement Mzize ni mchezaji wa timu ya taifa, mzize anatakiwa kwenda Qatar”Jasmine Razack-Msimamizi wa mshambuliaji Fuatilia mahojiano haya kwa urefu kupitia…
🔴CHAN 2024: 26 AGOSTI 2025 – MADAGASCAR VS SUDAN
Chanzo cha picha, INEC Maelezo ya picha, Jaji wa Rufani Jacob Mwambegele, 30 Julai 2025 Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (INEC) imejikuta katikati ya mjadala baada ya kutangaza…
Mkutano wa dharura wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama wa Shirika la Ushirikiano la Kiislamu (OIC) ulianza Jumatatu mjini Jeddah, Saudi Arabia, ambapo washiriki wamesisitiza umuhimu wa…
🔴HABARI ZA SAA: SAA NNE NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025
#HABARI: Kiongozi wa Chama cha Democratic Party (DP) nchini Kenya Justin Muturi, na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Rais William Ruto, amejitosa kwenye mjadala kuhusu ufisadi bungeni, akimtuhumu Ruto…
Chanzo cha picha, Getty Images 30 Julai 2025 Katika kile kinachoonekana kama mwendelezo wa sera za kulinda uchumi wa ndani, Serikali ya Tanzania imetangaza rasmi marufuku dhidi ya shughuli 15…
Rais wa Marekani Donald Trump amesema siku ya Jumatatu, Agosti 25, kwamba Wamarekani wengi “wangependa kuwa na dikteta,” wakati wa mkutano wa ghafla na waandishi wa habari na ambao ulirefushwa…
Iran imekanusha tuhuma zilizotolewa na Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu mpango wa nyuklia wa amani wa taifa hili, ikisema madai hayo yametegemeai kauli zilizopitwa na wakati ambazo zilitolewa na…
#HABARI: Emmanuel Mussa (27), mkazi wa Ighombwe, Singida, amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wa darasa la tano kutoka Shule ya Msingi Ighombwe. Tukio hilo lilitokea…
Rais wa China Xi Jinping leo Jumanne, Agosti 26, amesifu uhusiano wa China na Urusi kama “imara zaidi” na “muhimu zaidi kimkakati” kati ya mataifa makubwa leo, televisheni ya serikali…
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
🔴HABARI ZA SAA: SAA TATU NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025
Wakimbizi wa Kinyarwanda zaidi ya 500 jana Jumatatu walirejea nyumbani wakitokea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Source link
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu siku ya Jumatatu tarehe 25 Agosti, alisema kuwa yuko tayari kupunguza “taratibu” uwepo wa jeshi la Israel nchini Lebanon ikiwa Beirut itatekeleza mpango wake…
Chanzo cha picha, Getty Images Saa 2 zilizopita Chelsea imekubali kumtoa kwa mkopo mshambuliaji wa Senegal mwenye umri wa miaka 24 Nicolas Jackson kwenda Bayern Munich. (Bild) Kiungo wa England…
Harakati za muqawama za Hizbullah na Amal za Lebanon zimetoa wito kwa wafuasi wao kujitokeza kwa wingi katika mitaa ya Beirut mji mkuu wa nchi hiyo ili kupinga maamuzi ya…
Nchini Kenya, wahifadhi wa Hifadhi ya Mazingira ya Tsavo, mashariki mwa nchi, wana wasiwasi. Tsavo, inayoundwa na hifadhi 35, ni mojawapo ya hifadhi kubwa zaidi za asili barani Afrika. Kusitisha…
Nchini Mali, Mei mwaka jana, kwa agizo la rais, utawala wa kijeshi ulifuta baadhi ya vyama 297 vya kisiasa. Vyama vya siasa hasa vya upinzani vilianzisha mashauri ya kisheria kupitia…
Chanzo cha picha, Ritesh Saa 1 iliyopita Katika jiji la Ambikapur, jimbo la Chhattisgarh, India, watu wenye njaa hupata mlo kamili bila kulipa pesa bali kwa kubadilisha taka za plastiki…
🔴HABARI ZA SAA: SAA MBILI NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025
Raia wa Togo bado wanasubiri kuundwa kwa serikali mpya, kufuatia kujiuzulu kwa timu ya zamani Mei 2. Kujiuzulu kulikuja usiku wa kuamkia kuapishwa kwa Faure Gnassingbé kuwa Waziri Mkuu ikiwa…
Taasisi za kimataifa ukiwemo Umoja wa Mataifa, Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC, Umoja wa Ulaya, Shirika la Wanahabari Wasio na Mipaka (RSF) na hata nchi kadhaa za Magharibi waitifaki…
Kilmar Abrego Garcia, raia wa El Salvador, kwa mara nyingine yuko hatarini kufukuzwa kutoka Marekani, safari hii kutumwa nchini Uganda. Imechapishwa: 26/08/2025 – 07:31 Dakika 2 Wakati wa kusoma Matangazo…
#HABARI: Wananchi katika Kijiji cha Nyang’oma Wilaya ya Musoma mkoani Mara, wamekumbwa na taharuki baada ya uwepo wa wimbi la Nyani na Fisi ambao wanahusishwa na imani za kishirikiana kuwa…
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: SAKATA LA MZIZE YANGA BADO LA MOTO, MSIMAMIZI WAKE AFUNGUKA…AGOSTI 26, 2025
Uhusiano kati ya Ankara na mbabe wa kivita wa mashariki mwa Libya, yaliyoanzishwa mwezi Aprili mwaka huu, yameendelea kushuhudiwa siku ya Jumatatu, Agosti 25, kwa ziara ya mkuu wa idara…
Kama ilivyoombwa na ofisi ya rais wa Kongo mwezi Juni, Makanisa ya Kikatoliki na Kiprotestanti yameungana na madhehebu mengine ya kidini ili kupendekeza mtazamo wa pamoja wa kufanyika kwa mazungumzo…
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
Rais Masoud Pezeshkian jana Jumatatu alizungumza kwa simu na Rais Vladimir Putin wa Russiai na kumweleza kuwa Tehran haijawahi kutaka kumiliki wala haitatafuta silaha za nyuklia, akisisitiza msimamo wa muda…
#HABARI: Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA), Bi Irene Mlola, amewataka wakulima nchini kuacha mara moja tabia ya kuuza mazao yao nje ya mfumo…