🔴HABARI ZA SAA: SAA MBILI NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA MBILI NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA MBILI NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa, ambao umetangaza hali ya njaa katika mji wa Gaza na maeneo jirani, Wapalestina 500,000 wako katika hali mbaya ya kiafya kutokana na Israel kuzuia…
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: TANZANIA KUTOLEWA CHAN…AGOSTI 25, 2025
Maafisa wa Urusi walisema vituo kadhaa vya umeme na nishati vililengwa katika mashambulizi ya usiku kucha Jumamosi. Moto kwenye kinu cha nyuklia ulizimwa haraka bila majeruhi wowote kuripotiwa. Licha ya…
Kiongozi Muadhamu wa Iran anaishutumu Marekani—mshirika wa Israel—kwa kutaka “kuitiisha” nchi yake na kuupindua utawala wake. Imechapishwa: 25/08/2025 – 07:04 Dakika 2 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara Soma yanayofuata…
Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani yamesababisha moto mkubwa katika vituo muhimu vya mafuta, ikiwemo Ust-Luga na kiwanda cha Novoshakhtinsk, ambacho kinasafisha mafuta kwa ajili ya kuuza nje
Charles Kushner ameitakiwa kufika Wizara ya Mambo ya Nje ya Ufaransa leo Jumatatu, Agosti 25, baada ya kueleza “wasiwasi wake mkubwa kuhusu kuongezeka kwa chuki dhidi ya Wayahudi nchini Ufaransa…
Msemaji wa Wizara ya Afya inayoendeshwa na Wahouthi amesema shambulizi la Israel liliwaua watu sita na kuwajeruhi 86. Mashambulizi hayo ndio ya karibuni kabisa katika zaidi ya mwaka mmoja wa…
Ukraine iliadhimisha Siku ya UhuruJumapili katika tukio lililohudhuriwa na maafisa wa Magharibi akiwemo balozi wa Marekani Keith Kellogg. Zelensky anasema lazima shinikizo liendelee kutolewa kwa Urusi ili kumaliza vita, kwa…
Kiasi ya watu 20,000 walihamishwa kutoka maeneo yanayoweza kuwa hatari kabla ya dhoruba hiyo. Boti za wavuvi zilirejea bandarini na zaidi ya wafanyakazi 21,000 wakahamia maeneo salama. Kimbunga Kajiki kilitarajiwa…
Afrika Kusini inazidi kuimarisha jukumu lake kama mpatanishi katika suala la vita nchini Ukraine. Kama mwenyekiti wa G20 mwaka huu, nchi hii inatumia jukwaa hili ili sauti yake iweze kusikika.…
Waendesha mashtaka wa kijeshi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamemuombea hukumu ya rais wa zamani wa nchi hiyo Joseph Kabila kwa tuhuma za uhaini na kushirikiana na kundi la…
#KIPIMAJOTO: Vyama vya Siasa 18 Kisiwani Zanzibar kutia saini kutekeleza kanuni za maadili za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu Kisiwani humo. Je, vitekeleze kivitendo yaliyopo katika kanuni hizo?
Klabu hiyo iliyopandishwa daraja msimu huu ilitumia muda mwingi kujilinda zaidi katika mchezo wa jana. Hamburg ilikuwa klabu ya mwisho muasisi wa Bundesliga iliyocheza kila msimu tangu ligi kuu ilipoanzishwa…
🔴KUMEKUCHA: CHANGAMOTO ZA MAKANDARASI WAZAWA….AGOSTI 25, 2025
Malalamiko na hasira za wagombea waliokataliwa katika uchaguzi wa wabunge na serikali za mitaa nchini Gabon wa Septemba 27, 2025, bado hayajasikilizwa. Imechapishwa: 25/08/2025 – 05:59 Dakika 1 Wakati wa…
Jeshi la Wanahewa la Nigeria limefanya operesheni ya uokoaji katika Jimbo la Katsina, ambalo linapakana na Niger, kati ya usiku wa Ijumaa, Agosti 22, na asubuhi ya Jumamosi, Agosti 23.…
🔴MAGAZETI: KILIO, KICHEKO CCM / PACOME, BOYELI WAACHIWA MSALA….AGOSTI 25, 2025
Mapigano hayo yameripotiwa katika eneo la Mwenga, huku mazungumzo ya amani kati ya mamlaka ya Kinshasa na kundi la M23 yakiendelea nchini Qatar hivi sasa. Imechapishwa: 25/08/2025 – 05:39 Dakika…
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Wakati jeshi la Mali bado halijachukua tena udhibiti wa ngome zake zilizoshambuliwa na wanajihadi wa JNIM katikati mwa nchi siku ya Jumanne, Agosti 19, raia kutoka vijiji jirani, ambao pia…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 25, 2025
Tarehe 19 Agosti 1960, miaka 65 iliyopita wiki hii, mahakama moja mjini Moscow ilimkabidhi rubani wa Marekani, Francis Gary Powers, kifungo cha miaka 10 baada ya kukamatwa na vikosi vya…
Israel yatuhumiwa kuwalenga wanahabari huko Gaza+++Warohingya wataka wahakikishiwe usalama kurudi kwao+++Hali ya kibinadamu Sudan yazorota kufuatia mashambulizi ya RSF
25.08.202525 Agosti 2025 Zanzibar inasifika kwa uwepo wa mashamba ya viungo ambapo wageni hujifunza kuhusu karafuu, mdalasini, vanila na viungo vyingine vinavyokifanya kisiwa hicho kuwa kitovu cha biashara ya viungo…
25.08.202525 Agosti 2025 Jamii ya Wasuba nchini Kenya ni mojawapo ya makabila ya asili yaliyo na historia ya kipekee na tamaduni tajiri, ingawa kwa sasa jamii hiyo inakabiliwa na changamoto…
SK2 / S02S25.08.202525 Agosti 2025 Wanahabari kadhaa wauawa Gaza kufuatia mashambulizi ya Israel+++Jeshi la Urusi ladai kuteka kijiji kingine cha Ukraine kwenye jimbo la Dnipropetrovsk+++Tanzania- Dirisha la fomu za ubunge…
DIRA.BZ25.08.202525 Agosti 2025 Katika matangazo yetu ya asubuhi hivi leo utasikia makala zetu za Mbiu ya Mnyonge, Mbio ya Munyonge, Mtu na Mazingira, Vijana Tugutuke na Jukwaa la manufaa. Sikiliza…
DIRA.BZ25.08.202525 Agosti 2025 Mashambulizi ya Israel kwenye mji mkuu wa Yemen, Sanaa yauwa watu sita // Rais Zelensky wa Ukraine atoa wito wa mkutano na Rais Putin wa Urusi huku…
Ripoti ya IPC,shirika linaloungwa mkono na Umoja wa Mataifa linalohusika na ufuatiliaji wa usalama wa chakula, linakadiria kuwa “utapiamlo unatishia maisha ya watoto 132,000.
Luteni Jenerali Jeffery Kruse, ametimuliwa ikiwa ni wiki chache tu baada ya Ikulu ya White House kukosoa ripoti kuhusu athari za mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iran ya Juni 22,…
Ndege na vifaru vimeshambulia sehemu za mji wa Gaza huku mipango ya Israel ya kuliteka eneo kubwa la mijini katika eneo hilo.
#HABARI: Vyombo vya Usalama Mkoa wa Tabora na Wilaya ya Urambo, vimeanza oparesheni ya kuwasaka popote walipo watu wasiojulikana waliomuua mlinzi wa soko la Ussoke, lililopo wilayani Urambo, Bw. Nasoro…
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 24, 2025 – RAIS SAMIA ASISITIZA AMANI
#HABARI: Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, imemteua John Luhende, kuwa mgombea wa Ubunge jimbo la Bukene mkoani Tabora. Luhende ametangazwa kupeperusha bendera hiyo jana Jumamosi Agosti 23,…
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiombewa dua na watoto yatima wa Kituo cha Watoto Yatima Mburahati mara baada ya kuwasili katika ukumbi…
#HABARI: Aliyekuwa Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo amemshukuru Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa imani yake kubwa kwake ikiwemo kumpendekeza na kisha…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA KIGOMA : AGOSTI 24, 2025 – UJENZI WA SOKO WADHITI MAGONJWA YA MLIPUKO
Wakati huo huo, kumeripotiwa pia mashambulizi katika maeneo ya mashariki na kaskazini mwa mji huo wa Gaza katika vitongoji vya Zeitoun, Shejaia na Sabra huku majengo kadhaa yakiripuliwa katika mji…
Lavrov amekemea hatua ya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ya kuweka masharti na kulazimisha kukutana na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin, akisisitiza kuwa majaribio hayo yanalenga kuvuruga mchakato wa amani…
Ehimen Ejodame, msemaji wa Jeshi la Anga la Nigeria amesema mashambulizi hayo yalilenga majimbo manne ya Kumshe, Borno, Katsina na karibu na mpaka wa Cameroon ambayo yamewezesha pia kuokolewa kwa…
Khamenei ameyatoa matamshi hayo siku ya Jumapili katika msikiti mmoja mjini Tehran, akisisitiza kuwa baada ya mashambulizi ya Marekani na Israel, maafisa wa Marekani walikutana barani Ulaya ili kujadili serikali…
#HABARI: Madereva bodaboda jijini Mbeya, wamelalamikia baadhi ya wamiliki wa usafiri huo kuwapa mikataba kandamizi ambayo huwafanya kutotimiza malengo yao. Madereva bodaboda wamebainisha hayo baada ya kupata fursa ya kukopeshwa…
#HABARI: Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imetoa ufafanuzi kuhusu mwenendo wa soko la mbaazi duniani, ikieleza mafanikio na changamoto zinazolikumba zao hilo muhimu kwa wakulima wa…
#NUKUU: “Mungu atapokea maombi yetu, swala zetu, dua zetu, ikiwa nyoyo zetu zina amani, kwasababu ukiomba huna amani hata ile dua utaiweka kinyumenyume………” Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
🔴TAMASHA LA MICHEZO: WENYEJI CHAN 2024 WAUMALIZA MWENDO ..AGOSTI 24, 2025
Shule ya sheria haikumfundisha Constance jinsi ya kufanya mazoezi, kutambua alama za mawasiliano ya redio, au kulala kifudifudi juu ya zege huku akielekeza bunduki yake kwa adui. Badala yake, mwanafunzi…
Hayo yanajiri wakati viongozi mbalimbali wa Ulaya wametoa wito wa kusitishwa kwa vita kati ya Urusi na Ukraine ambavyo vimedumu kwa zaidi ya miaka mitatu. Viongozi kadhaa akiwemo Mfalme Charles…
Miezi kadhaa ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Israel na Hamas hadi sasa hayajazaa matunda.Wanachama wa siasa kali za mrengo wa kulia wanaounda serikali ya mseto ya…