A

Chanzo cha picha, HP

    • Author, Na Yusuph Mazimu
    • Nafasi,

Ripoti mpya ya Africa Wealth Report 2025, iliyotolewa na kampuni ya ushauri wa uwekezaji wa kimataifa Henley & Partners kwa kushirikiana na New World Wealth, inaonyesha sura mpya ya bara la Afrika katika ramani ya utajiri duniani.

Tanzania imeendelea kufanya vyema kwa nchi za Afrika Mashariki. Ikiwa ni nchi pekee katika orodha ya nchi saba zenye ma bilionea barani Afrika.

Kwa sasa, Afrika ina jumla ya mabilionea 25, centi-milionea 348 (wale wenye utajiri wa angalau dola milioni 100), na zaidi ya mamilionea 122,500.

Hali hii inaonyesha mabadiliko makubwa kutoka miaka ya mwishoni mwa karne ya 20, wakati ambapo kulikuwa na mabilionea wachache sana huku uchumi wa mataifa mengi ya Afrika ukiwa umedorora.



Source link

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *