d

Chanzo cha picha, Geena Truman

Maelezo ya picha, Hekalu la Ziggurat katika mji wa Uru ni kubwa na lina umri wa miaka 4,100

Jengo la Ziggurat katika mji wa Uru, Iraq ni kazi ya kuvutia ya uhandisi ambayo imehifadhiwa vizuri katika jiji muhimu la kale.

Miaka 4,000 iliyopita, sehemu hii ya jangwa huko Iraq ilikuwa kitovu cha ustaarabu. Leo, magofu ya jiji la Uru, ambalo hapo awali lilikuwa kitovu cha utawala wa Mesopotamia, yako katikati ya jangwa lisilo na watu.

Ili kufika hapa, nilipanda teksi iliyokuwa ikipanda na kushuka jangwani kwa saa nyingi hadi hatimaye nikaona jengo maarufu la jiji hilo: Ziggurat, hekalu kubwa la umri wa miaka 4,100 lenye ngazi kubwa.

Majengo ya kwanza ya Ziggurati yana umri mrefu zaidi ya piramidi za Wamisri, kuna mabaki ya majengo hayo huko Iraq na Iran.



Source link

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *