SK2 / S02S29 Septemba 2025

Rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kukamilisha pendekezo la mpango wa amani wa Gaza atakapokutana baadae leo na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu+++Serikali ya Tanzania inatuhumiwa na shirika la haki za binaadamu la Human Rights Watch kwa kuzidisha ukandamizaji wa kisiasa dhidi ya wakosoaji wake.

https://p.dw.com/p/51E3H

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *