Israel yakanusha tuhuma za mauaji ya kimbari ukanda wa Gaza
Wapalestina 31 wameuawa kufuatia mashambulizi ya anga ya Israel katika ukanda wa Gaza huku jeshi la nchi hiyo likiendelea na operesheni kubwa katika mji mkuu wa eneo hilo. Kwa mujibu…
Wapalestina 31 wameuawa kufuatia mashambulizi ya anga ya Israel katika ukanda wa Gaza huku jeshi la nchi hiyo likiendelea na operesheni kubwa katika mji mkuu wa eneo hilo. Kwa mujibu…
Xi Jinping amewahutubia viongozi akiwemo Rais wa Belarus Alexander Lukashenko na Waziri Mkuu wa India Narendra Modi, akisema kuwa mfumo wa sasa wa uendeshaji wa dunia “unazidi kuwa wenye utata”…
Maporomoko makubwa ya udongo kwenye eneo la Darfur Magharibi nchini Sudan, yamesababisha maafa makubwa ikiwemo kufunika kabisa vijiji na kuua watu zaidi ya elfu 1, imesema taarifa ya kundi la…
Takriban watu 1,000 wamefariki kufuatia maporomoko ya ardhi yaliyotokea katika eneo la milima ya Marra, magharibi mwa Sudan na kumwacha mtu mmoja pekee aliyenusurika. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea mnamo…
Kim Jong Un anatarajiwa kuungana na Rais wa China Xi Jinping, Rais wa Urusi Vladimir Putin na viongozi wengine wa dunia katika tukio hilo la kihistoria ambapo China itaonesha nguvu…
Tetemeko hilo ambalo limeikumba jimbo la Kunar, limesababisha vifo vya zaidi ya watu 800 na kuwajeruhi maelfu ya wengine, na kuacha mamia makaazi rasmi na huduma za msingi. Msaada huo…
Ulimwengu wote huungana kila Agosti 30 kuadhimisha siku ya kimataifa ya watu waliopotea.Kamati ya kimataifa ya msalaba mwekundu,ICRC inasema watu karibu laki tatu wameorodhesha kutoweka kote ulimwenguni,na wengine huenda wasiwahi…
Mkutano huo wa kilele uliofanyika katika mji wa bandari kaskazini mwa China Tianjin umewaleta pamoja viongozi wa Urusi, China, India, Kazakhstan, Pakistan, Iran, Belarus, Tajikistan, Uzbekistan na Kyrgyzstan. Jumuiya ya…
SK2 / S02S02.09.20252 Septemba 2025 Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Zaidi ya watu 1,000 wameangamia nchini Sudan, baada ya maporomoko ya udongo kutokea katika jimbo la Darfur / Kwa mara…
DIRA.BZ02.09.20252 Septemba 2025 Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa China na mwenzake wa Urusi wameikosoa mitazamo ya nchi za Magharibi wakati wa mkutano wa kilele wa Jumuiya ya SCO…
Sikiliza Taarifa ya Habari za Ulimwengu Asubuhi 02 Septemba 2025 kutoka Idhaa ya Kiswahili ya DW Bonn.
“Utendaji wa Rais Samia anastahili kupata alama ‘A’, kwa sababu wakati ameingia madarakani mazingira ambayo aliyakuta kiasi ambacho biashara ya Tanzania duniani ilikuwa dola Bilioni 17 tu , leo biashara…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 01, SEPTEMBA 2025
#DAKIKA45: Mkurugenzi Mtendaji wa PPP, David Kafulila, anaeleza namna serikali inavyoshughulika na masuala ya wanyonge. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania #Follow @itvtz @radioonetanzania @capitaldigitaltanzania
#DAKIKA45: Mkurugenzi Mtendaji wa PPP, David Kafulila, anajibu suala la mafisadi kutozungumziwa, hali inayotafsiriwa tofauti. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania #Follow @itvtz @radioonetanzania @capitaldigitaltanzania
Zanzibar sasa imejiunga rasmi na ulimwengu wa masomo ya kidijitali kupitia teknolojia ya Smart Class, maarufu kama darasa janja – na mabadiliko yake yanaonekana wazi. Ndani ya Shule ya Sekondari…
“Hivyo vituo vya afya ambavyo vilikuwa vinalazimika kuzuia maiti, kushinikiza familia ziweze kulipa, kuzuia inaongeza simanzi na majonzi”-David Kafulila – Mkurugenzi Mtendaji wa PPP #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania #Follow @itvtz @radioonetanzania…
“Ni ukweli kwamba deni la taifa, ukilipima katika mizania yote ni dogo kulinganisha na nchi nyingine zote katika ukanda huu wa Afrika Mashariki” David Kafulila – Mkurugenzi Mtendaji wa PPP…
🔴DAKIKA 45 NA DAVID KAFULILA, SEPTEMBA 01, 2025
#HABARI: Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kwa kushirikiana na Benki ya CRDB wamefanya kikao cha pamoja kilicholenga kujadili ushirikiano katika uwekezaji wa sekta ya miliki ili kuboresha na kuendeleza makazi…
#HABARI: Jeshi la Polisi Wilaya ya Bariadi, Kikosi cha Usalama Barabarani, limetangaza Oparesheni kuwasaka na kuwachukulia hatua Maafisa Usafirishaji(BODABODA) wanaokiuka Sheria ya matumizi ya vyombo vya usafirishaji kwa kunyofoa baadhi…
🔴TAARIFA YA HABARI SEPTEMBA 01, 2025 –
#HABARI: Serikali ya Mkoa wa Simiyu, imetoa onyo kwa wanasiasa wanaotumia majukwaa ya kampeni kutoa lugha za kichochezi, kueneza chuki na kuwagawa wananchi kwa misingi ya itikadi, kabila au dini,…
#HABARI: Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imetoa msamaha wa kutochukua hatua kwa watu au mtu yeyote anayemiliki silaha kwa njia za panya, endapo ataisalimisha kwa hiyari…
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati Anicet-Georges Dologuele, ameamua kufuta uraia wake wa Ufaransa, ili kuwania urais katika nchi yake. Imechapishwa: 01/09/2025 – 18:01 Dakika 1 Wakati…
Vyombo vya Habari zaidi ya 250 katika nchi zaidi ya 70 duniani, zimechapisha Habari kuu, siku ya Jumatatu, kulaani kuendelea kuuawa kwa wanahabari kwenye ukanda wa Gaza na kutaka mashambulio…
Wakfu wa rais wa zamani wa Afrika Kusini wa Thabo Mbeki, unaandaa kongamano la kujadili namna ya kupata amani ya kudumu Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Imechapishwa: 01/09/2025…
Wakfu wa rais wa zamani wa Afrika Kusini wa Thabo Mbeki, umeandaa kongamano la kujadili namna ya kupata amani ya kudumu Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Imechapishwa: 01/09/2025…
Hata hivyo juhudi hizo tayari zinakumbwa na changamoto kwa kuwa kuna baadhi ya maeneo yasiyofikika kwa urahisi, Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji, IOM, limeliambia shirika la habari la…
Taarifa iliyochapishwa na shirika la habari la China, Xinhua, wanachama hao 10 wa SCO pia wameikosoa vikali Marekani na Israel kwa kuishambulia Iran mnamo mwezi Juni. Taarifa hiyo imetolewa baada…
Urusi inashutumiwa kuhusika na tukio la kuzimika ghafla kwa mfumo wa GPS wa ndege iliyokuwa imembeba Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen wakati ikiwa…
Machafuko ya mwishoni mwa wiki yalikuwa ni mabaya zaidi kushuhudiwa nchini humo kwa zaidi ya miongo miwili. Karibu watu 500 walikusanyika nje ya bunge la Indonesia mjini Jakarta mchana wa…
Wachambuzi wanakosoa kuwa matamshi ya kiongozi huyo yanabainisha kosa jingine la kihistoria ndani ya utawala wa Trump. Katika mtandao wa X akaunti iitwayo “Republicans against Trump” iliandika Vita vya Pili…
01.09.20251 Septemba 2025 Kaskazini mwa Kenya, kaunti za Turkana na Marsabit zinatatizika kupata maji safi na salama. Maji ya chumvi katika Ziwa Turkana katikati yao yamekuwa si chanzo cha maji…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA TANGA : SEPTEMBA 01, 2025 – WANANCHI WAOMBA KUSAIDIWA VIFAA VYA UJENZI
Maafisa wa Palestina pamoja na watu walioshuhudia, wanasema mshambulizi ya anga ya Jumatatu yamewauwa watu wasiopungua 19. Kuhusu mashambulizi hayo jeshi la Israel limesema vikosi vyake vinaendelea kupambana na Hamas…
Halmashauri kuu ya Umoja wa Ulaya imesema ndege iliyombeba rais wake Ursula von der Leyen ilikuwa ikijiandaa kutua nchini Bulgaria wakati mfumo wake wa GPS, yaani ramani ya kidijitali inayotoa…
Kwenye miji ya Goma na Bukavu, wazazi wengi wanakabiliwa na changamoto kubwa katika kuwaandaa watoto wao kwa mwaka mpya huu wa shule. Ingawa hii tarehe mosi Septemba wanafunzi wamerudi shule…
Nchini Uganda, mpinzani wa muda mrefu wa Rais Yoweri Museveni, Kizza Besigye, hakuhudhuria ufunguzi wa kesi yake ya uhaini siku ya Jumatatu asubuhi Septemba 1, katika Mahakama Kuu ya Kampala.…
Waandamanaji wasiopungua 500 walikusanyika nje ya bunge la taifa mjini Jakarta huku maafisa wa usalama wakiwatazama. Awali wanajeshi walipiga doria ila waliondoka baada ya saa kadhaa. Katika mji jirani wa…
Mageuzi anayopanga kuyafanya Kansela Friedrich Merz hivi karibuni katika kodi na masuala ya ustawi yanaweza kuleta mzozo katika serikali yake ya muungano Changamoto zinazoikabili serikali yake ni kubwa ikizingatiwa kuwa…
Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO), inayojumuisha mataifa 10 yakiwemo China, India, Urusi na Iran, imesema leo Jumatatu, Septemba 1, kwamba “inalaani vikali vitendo vinavyosababisha vifo vya raia” katika Ukanda…
#HABARI: Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Hansbeti Augustine, mkazi wa Kata ya Nshambia, Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera, amekamatwa na Maafisa wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa…
#HABARI: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya, kimesema kuwa kimeimarisha ulinzi na usalama katika maeneo yaliyopangwa kufanyika mikutano ya Mgombea wa Chama hicho nafasi ya Urais wa Jamhuruiya Muungano…
Mkutano kati ya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky na “viongozi kadhaa wa Ulaya” umepangwa kufanyika siku ya Alhamisi, Septemba 4, mjini Paris, chanzo cha kisiasa cha Ulaya kimeliambia shirika la…
Katika hatua ya kupunguza kiwango cha wahamiaji Ujerumani, utawala wa kansela wa taifa hilo umesitisha mipango ya kuwapa hifadhi mamia ya Waafghani, ambao awali waliarifiwa kuhusu utayari wa serikali hiyo…
#HABARI: Msaidizi wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Magharibi kati Tabora mchungaji Newton Maganga ambaye amekuwa kivutio baada ya kuonekana kupitia mitandao ya kijamii…
#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Bukene lililopo mkoani Tabora kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), @JohnLuhende, amesema akipata nafasi ya kuwa Mbunge wa Jimbo hilo atahakikisha anaboresha miundombinu ya barabara, Afya,…
🔴MEZAHURU: .MSAMAHA WA KODI YA KIFORODHA AGOSTI 31, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA NANE NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025