#UchaguziMkuu2025 | Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango ameshiriki zoezi la kupiga kura ya kuchagua Rais, mbunge na diwani akiwa katika Kijiji cha Kasumo, Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma.
#AzamTVUpdates #UchaguziMkuu2025
 
  
 
                    #UchaguziMkuu2025 | Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango ameshiriki zoezi la kupiga kura ya kuchagua Rais, mbunge na diwani akiwa katika Kijiji cha Kasumo, Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma.
#AzamTVUpdates #UchaguziMkuu2025
