NBC Premier League inaendelea wikiendi hii

Jumamosi Novemba 8, Saa 10:00 jioni Pamba Jiji watakuwa uwanja wa nyumbani CCM Kirumba wakiwakarobisha Singida BS.

Saa 1:00 usiku, JKT Tanzania watakuwa dimba la nyumbani Meja Jenerali Isamuhyo wakiwaalika Simba SC.

Jumapili Novemba 09,mabingwa watetezi Yanga SC watakuwa uwanja wa KMC Complex wakicheza na KMC FC.

Saa 1:00 usiku, Namungo FC watakuwa nyumbani uwanja wa Majaliwa wakiwaalika matajiri wa jiji AzamFC.

Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama michezo hii mbashara kupitia AzamSports1HD.

#NBCPL #Azamtvsports

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *