Wasichotaka mkijue; Sudan, nchi ya dhahabu iliyonaswa na wafanyanjama wa kimataifa
Sudan, ambayo kwa sasa imetumbukia katika kinamasi cha vita vya wenyewe kwa wenyewe, ni nchi yenye nguvu na uwezo mwingi.
Sudan, ambayo kwa sasa imetumbukia katika kinamasi cha vita vya wenyewe kwa wenyewe, ni nchi yenye nguvu na uwezo mwingi.
Ni mtikisiko kwenye sekta ya elimu, hivi ndivyo inavyoweza kuelezwa kufuatia vurugu zilizotokea...
Liverpool imerudi katika kiwango chake baada ya kuichapa Real Madrid katika mchezo wa Ligi ya...
Vurugu zilizotokea kwenye baadhi ya maeneo nchini kuanzia Oktoba 29, 2025, zimeacha alama kubwa...
Mbeya/Dodoma. Itabaki historia. Ndivyo wanavyosema baadhi ya wananchi wa Jiji la Mbeya...
Wakati huu ripoti ya Umoja wa Mataifa ikionya kwamba uzalishaji wa kaboni duniani kote unaongezeka, rais wa Brazil Lula Inacio Da Silva ambaye nchi yake itakuwa mwenyeji wa mkutano wa…
Katika kile kinachotafsiriwa kuwa ni mzozo wa kisiasa, rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir, ametangaza kumfuta kazi Waziri wake wa fedha, ikiwa ni miezi miwili kupita tangu ateuliwe kwenye wadhifa…
Winga wa Bayern Munich Luis Diaz alifunga mabao mawili ya kipindi cha kwanza na kuisaidia timu yake kuwalaza mabingwa watetezi Paris Saint Germain 2-1.
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy ametoa mwito kwa Rais Viktor Orban wa Hungary kuacha kupinga ombi la nchi yake kujiunga na Umoja wa Ulaya.
Watanzania jana wamesambaza video mitandaoni zilizoonesha ukatili uliofanyika wakati wa maandamano ya siku kadhaa nchini humo kufuatia uchaguzi uliofanyika wiki iliyopita.
Marekani inashirikiana na mataifa mengine kusitisha mapigano yanayoendelea nchini Sudan.
Mgombea wa chama cha Democratic Zohran Mamdani ameshinda kiti cha meya wa jiji la New York huko Marekani.
Shughuli za kiuchumi kusimama, maduka kufungwa na wananchi kushindwa kununua mahitaji yao licha...
Rais wa DRC, Felix Tshisekedi, amewasifu raia wa nchi yake kwa uvumilivu licha ya miongo karibu mitatu ya vita, watuj kuuawa na wengine kukosa makazi, kauli anayotoa wakati huu akijaribu…
Shirika la kimataifa la Save The Children, linasema mtoto mmoja kati ya watano duniani waliishi katika maeneo yenye mizozo mwaka uliopita. Imechapishwa: 05/11/2025 – 04:33 Dakika 1 Wakati wa kusoma…
Waislamu na Wakristo wa Nigeria wamesisitiza kuishi pamoja kwa amani na maelewano na kusema kuwa vitisho vya Rais wa Marekani dhidi ya nchi hiyo kuwa havikubaliki.
Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, harakati za Muqawamaa zimejiandaa kwa ajili ya awamu ijayo ya mapambano na utawala wa wa Kizayuni wa Israel, kwani zinaamini kwamba…
Utafiti wa hivi karibuni uliochapishwa katika jarida la Lancet umefichua kuwa zaidi ya miaka milioni tatu ya maisha ya binadamu yamepotea katika Ukanda wa Gaza tangu utawala ghasibu wa Israel…
Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki la Rabat nchini Morocco jana aliliambia shirika la habari la AFP kuwa "ameshirikiana kikamilifu" na mamlaka za Morocco na nje ya nchi baada ya kasisi…
Nesmy Manigat, Mwakilishi Mkuu wa Ushirikiano wa Kimataifa kwa Ajili ya Elimu, amesema kwamba Sudan inakabiliwa na "mojawapo ya hali mbaya zaidi duniani," akieleza kuwa takriban watoto milioni 14 hawaendi…
Marekani imefanya mashambulizi ya anga na operesheni za kijeshi nchini Somalia, na kusababisha vifo vingi vya raia, na akthari ya hatua hizo zimekuwa zikikosolewa na makundi ya kutetea haki za…
Leo ni Jumatano tarehe 14 Mfunguo Nane Rabiul Awwal 1447 Hijria mwafaka na 5 Novemba 2025 Milaadia.
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Watanzania jana wamesambaza video mitandaoni zilizoonesha ukatili uliofanyika wakati wa maandamano ya siku kadhaa nchini humo kufuatia uchaguzi uliofanyika wiki iliyopita / Zohran Mamdani, kutoka…
Zohran Mamdani wa chama cha Democratic ashinda kura ya Meya wa New York huko Marekani//Marekani yasema iko katika majadiliano ya vita kusitishwa Sudan//Na Watanzania wasambaza video za ukatili uliofanyika nchini…
Ikiwa kesi yake imesikilizwa tangu mwezi Novemba 2024 kwa kutumia vibaya mamlaka yake kwa kujikusanyia utajiri mkubwa, Mahakama Kuu ya Mauritania imetuplia mbali rufaa ya rais wa zamani Mohamed Ould…
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ametangaza kwenye mtandao wa kijamii wa X mnamo Novemba 4 kuachiliwa huru kwa raia wa Ufaransa Cécile Kohler na Jacques Paris. Rais ameelezea “furaha yake…
Israeli imetangaza kwamba vikosi vyake vya usalama vimepokea mwili wa mateka wa Gaza kutoka kwa hirika la Msalaba Mwekundu siku ya Jumanne jioni, na kurejeshwa kama sehemu ya makubaliano ya…
Rais wa Brazil Lula ametangaza siku ya Jumanne, Novemba 4, kwamba operesheni ya polisi dhidi ya kundi la wahalifu huko Rio de Janeiro iliyowaua watu 121 wiki iliyopita ilikuwa “mauaji…
Rais wa Mexico Claudia Sheinbaum amekataa uwezekano wa Marekani kuingilia kijeshi nchini Mexico siku ya Jumanne, Novemba 4, kufuatia ripoti za vyombo vya habari kwamba mwenzake wa Marekani, Donald Trump,…
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, siku ya Jumanne, Novemba 4, amempongeza mwenzake wa Côte d’Ivoire, Alassane Ouattara, kwa kuchaguliwa tena, na kutoa wito wa kuendelea kuimarishwa kwa ushirikiano kati ya…
Chuo Kikuu cha Sheffield Hallam, kaskazini mwa Uingereza, kinakabiliwa na kashfa ya kidiplomasia na China. Uchunguzi uliofanywa na BBC na Gazeti la The Guardian unaonyesha kwamba, chini ya shinikizo kutoka…
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ada mpya ya usalama wa uwanja wa ndege itaanzishwa hivi karibuni. Kiasi: dola 30 kwa kila abiria. Itatumika kwa safari zote za ndege…
Tume ya Umoja wa Afrika imemteua mjumbe wake mpya maalum nchini Jamhuri ya Madagaska. Naye ni Balozi wa Djibouti, Mohamed Idris Farah. Imechapishwa: 05/11/2025 – 00:02 Dakika 1 Wakati wa…
Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya kuapishwa wa Samia Suluhu Hassan kama rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kufuatia ushindi wake wa kiti hicho katika uchaguzi wa Oktoba…
Soma zaidi hapa...
Chalamila amewataka waliokuwa watumiaji wa usafiri huo kutafuta njia mbadala za usafiri wakati...
Serikali ya Tanzania inakabiliwa na shinikizo linaloongezeka kufuatia mauaji yaliyoshuhudiwa wakati na baada ya uchaguzi wa wiki iliyopita, huku chama cha upinzani CHADEMA kikivishutumu vikosi vya usalama.
Dar/mikoani. Baada ya hekaheka za siku za tano zilizosababisha wananchi kukosa huduma muhimu...
Nafasi ya kocha huyo kwa sasa inachukuliwa na mzawa Miguel Gamondi, raia wa Argentina ambaye alikuwa akiifundisha Singida Big Stars ya nchini Tanzania.
Tawi la Kijeshi la Hamas limesema kuwa limeupata mwili wa mwanajeshi mmoja wa Israel katika Ukanda wa Gaza na linafanya mpango wa kuurejesha Israel.
Serikali ya Nigeria imepinga vikali vitisho vya kijeshi vilivyotolewa na Rais wa Marekani, Donald Trump kuhusu madai ya mateso dhidi ya Wakristo nchini humo.
Kwa mujibu wa taarifa ya TFF, nafasi yake imechukuliwa na Miguel Gamondi.
Ujerumani na Ghana zataka kuimarisha mahusiano zaidi kwa maslahi ya pamoja kufuatia ziara ya rais Frank-Walter Steinmeier mjini Accra
Miezi 10 baada ya waasi wa M23/AFC kuudhibiti Mji wa Goma, Mashariki mwa DRC, wakaazi wa bado wanakumbwa na changamoto ya kupata huduma za kifedha, baada ya benki na vituo…