DIRA.BZ2 Desemba 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV ametoa wito kwa viongozi wa Mashariki ya Kati kusikiliza kilio cha amani cha wananchi wao na kuweka mbinu mpya za kukabiliana na migawanyiko ya kisiasa, kijamii na kidini / Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameilaumu Urusi kwa kutumia mazungumzo yake na Marekani ili kujipunguzia vikwazo

https://p.dw.com/p/54eGK

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *