Uganda: Jeshi la Polisi kuchunguza madai ya askari wake kuwachapa fimbo wapinzani

Mara kwa mara, chama cha upinzani cha Bobi Wine kijulikanacho kama National Unity Platform, kimeituhumu serikali ya Museveni kwa kuhusika na utekaji na utesaji wa wanachama wake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *