Mamilioni ya raia wa Afrika wana nia ya kuwa na utajiri kupitia kilimo na ni dira ambayo Aliko Dangote anaipigia chapuo.

Katika mkutano wa 23 wa Doha kuanzia Disemba hadi 7 katika mji mkuu wa Qatar, mtu tajiri zaidi barani Afrika ameuambia mkutano huo kuwa kubadilisha mtazamo kuhusu kutawaondoa watu kutoka kwenye umaskini hadi kwenye fursa za uchumi na kufanya mabadiliko kwa maisha ya watu kote barani.

Ujumbe huu unawiana na mada ya “Haki katika hatua: Zaidi ya Ahadi hadi Ufanisi”, na kuwaleta pamoja Marais wanaokabiliana na changamoto za ujenzi baada ya vita, elimu inayoainisha mashambulizi kwenye shule, na viongozi wa biashara wanaotaka kuwepo kwa uwekezaji pale panapohitajika zaidi.

Mwenyeji akiwa Emiri wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani, mkutano huo wa siku mbili mjini Doha ulikuwa washirika zaidi ya 5,000 kutoka nchi zaidi ya 160.

Lakini ni ule mtazamo wa Afrika – kutoka mabadiliko ya kilimo hadi elimu kwenye maeneo ya vita – ndiyo ulioweka wazi mpango wa matokeo kuliko uanadiplomasia.

Suluhu kutoka Afrika

Rais John Dramani Mahama wa Ghana na mwenzake wa Syrian Ahmed al Sharaa waikuwa miongoni mwa viongozi ambao walikuwa na mazungumzo na mamlaka na wajumbe kutoka maeneo mbalilmbali duniani kuhusu masuala yanayokinzana.

Majadiliano yao yaligusia kuhusu siasa, mazingira na changamoto za kijamii, huku ikiwa maendelea ya Afrika yakipewa kipaumbele.

Dangote alizungumzia kuhusu kuongeza uwekezaji kote barani Afrika katika sekta zote, hasa kilimo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *