
Burkina Faso, Mali, Niger yaanzisha benki ya uwekezaji kufadhili miradi ya miundombinu
Muungano wa Mataifa ya Sahel (AES), yanayojumuisha Mali, Burkina Faso na Niger, yameanzisha benki ya uwekezaji siku ya Jumatano kufadhili miradi mikubwa ya miundombinu na kiuchumi kote katika kanda.