Tembo waua watu wanne Kenya katika kipindi cha wiki moja

Baadhi ya raia wa Kenya walilalamika siku ya Jumatano baada ya tembo waliokuwa wakiranda randa kuwaua watu wanne katika kipindi cha wiki moja kwa kile wataalamu wanaeleza mzozo kati ya binadamu na wanyamapori unaosababishwa na uhaba wa malisho.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *