
Uturuki yashtumu Israel kutambua Somaliland kama kinyume cha sheria, kuzua taharuki
Hatua ya Israel ni kile ambacho Uturuki inaona kuwa sehemu ya sera zake za kukalia maeneo na kuzuia juhudi za kutambuliwa kimataifa kwa Taifa la Palestina, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki Oncu Keceli amesema.