Washukiwa wa ugaidi washambulia mgodi wa dhahabu, wawateka wafanyakazi nchini Mali

Washukiwa wa ugaidi wameshambulia mgodi wa dhahau wa Morila nchini Mali mwishoni mwa wiki, kuchoma vifaa na kuwateka wafanyakazi saba kabla ya kuwaachilia baadaye, afisa mmoja kutoka kwa wizara ya madini ameiambia Reuters Jumatatu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *