
Washukiwa wa ugaidi washambulia mgodi wa dhahabu, wawateka wafanyakazi nchini Mali
Washukiwa wa ugaidi wameshambulia mgodi wa dhahau wa Morila nchini Mali mwishoni mwa wiki, kuchoma vifaa na kuwateka wafanyakazi saba kabla ya kuwaachilia baadaye, afisa mmoja kutoka kwa wizara ya madini ameiambia Reuters Jumatatu.