Somalia yafuta mikataba ya usalama na ulinzi na UAE

Baraza la Mawaziri la Somalia limefuta mikataba na makubaliano (MoU) zinazohusiana na ushirikiano wa usalama na ulinzi kati ya Somalia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), likitaja ukiukaji wa mamlaka yake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *