Josephat Charo 13.01.202613 Januari 2026 Rais Donald Trump wa Marekani atangaza ushuru kwa washirika wa kibiashara wa Iran. Watu wawili wauwawa kufuatia shambulizi la Urusi mjini Kharkiv. Na Somalia yafuta makubaliano na Umoja wa Falme za Kiarabu. https://p.dw.com/p/56iAf Post navigation Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ashiriki mazungumzo ya awamu ya pili ya mpango wa amani wa Gaza 13.01.2026 Matangazo ya Asubuhi