30.01.202630 Januari 2026 Kinara wa chama cha DCP na aliyekuwa naibu rais wa Kenya Rigathi Gachagua, anadai mashambulizi kadhaa yamekuwa yakitekelezwa dhidi ya maisha yake akiilaumu serikali ya Rais William Ruto kuwa nyuma ya mashambulizi hayo. https://p.dw.com/p/57kgN Post navigation Guterres aelezea wasiwasi wa ongezeko la vurugu Sudan Je, Ujerumani inawarejeshaje wahamiaji waliokataliwa