Serikali imejipanga kuhakikisha wakulima nchini wanaondokana na kilimo cha mkono kupitia mpango wa kugawa matrekta 10,000 katika halmashauri zote nchini, ambayo utawawezesha wakulima kuyakodi kwa gharama nafuu.

Mhariri | John Mbalamwezi

#AzamTVUpdated

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *