Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesema kuhusiana na tangazo rasmi la mgogoro wa baa la njaa huko Gaza, kwamba anaamini kuwa sasa ni wakati wa kuchukuliwa hatua na kwamba usitishaji mapigano unapasa kutekelezwa mara moja na misaada ya kibinadamu kuruhusiwa kuingia katika ukanda huo bila masharti wala vikwazo vyovyote.
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
