Vyombo vya habari vyalaani kuendelea kuuawa kwa wanahabari GazaVyombo vya habari vyalaani kuendelea kuuawa kwa wanahabari Gaza

Vyombo vya Habari zaidi ya 250 katika nchi zaidi ya 70 duniani, zimechapisha Habari kuu, siku ya Jumatatu, kulaani kuendelea kuuawa kwa wanahabari kwenye ukanda wa Gaza na kutaka mashambulio dhidi yao yakome.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *