Afcon 2025 : Mafahali Cameroon na Ivory Coast wachanana sare 1-1

Mataifa hayo ambayo yana jumla ya mataji manane ya Kombe la Afcon kati yao sasa yanashikilia pamoja uongozi wa Kundi F wakiwa na pointi nne kila mmoja, wakifuatiwa na Msumbiji yenye pointi tatu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *