Mwana anaendelea kumuonesha Chioma utoto mjini ulivyo ππ
Mwana anaendelea kumuonesha Chioma utoto mjini ulivyo ππ #NomaSeries
Mwana anaendelea kumuonesha Chioma utoto mjini ulivyo ππ #NomaSeries
#LiveonClouds360 #LainiYawana #Clouds26Nyoosha Cc: @dr.samsasali360 @sophiakessytz @pjsweya
CHANGAMOTO YA MAJI DAR, SAM ANAZURURA NA MADUMU YAKE. Kutokana na hali ya changamoto ya maji iliyoripotiwa hivi karibuni na taarifa kutolewa na Mamlaka za maji, @dr.samsasali360 anataka kusoma magazeti…
Siku ni leo. Karibu sana mjengoni @pichayanguseries π₯π Jumatatu - Alhamisi saa 1:30 Usiku chaneli namba 106 #SinemaZetuHD
NUKUU MWALIMU NYERERE:-"MAREKANI HAWA NI HAWAHAWA AU NI WENGINE MIMI MBONA BADO NI YULEYULE... NB:-Kama huja follow akaunti yetu follow ili uweze kupata habari nyingi zaidi pia usisahau ku bonyeza…
Taarifa kutoka kwa ubalozi wa Urusi nchini Tanzania ππππ Habari ya Sweden kuelekeza msaada wake kutoka nchi kadhaa za Afrika zikiwemo Tanzania kwenye Ukraine inaonyesha wazi kwamba, kwa baadhi ya…
HAPA UPEWE KINYWAJI GANI..,π
Nyerere katika ujamaa wake na falsafa ya kikomunia au kikomunist aliweza kuwa na ushawishi mkubwa kwa warusi na wachina , na Mrekani aliijua nguvu ya nyerere na Tanzania ambaye alikuwa…
Tanzania ndio key master wa siasa za maziwa makuu kwa miaka 40 sasa, ila kinachoonekana sasa nafasi hiyo imechukuliwa na Kenya. Kwa sasa eneo la Afrika Mashariki, Marekani kaamua kuipa…
" Hata Urusi wana maslahi yao nchini kwetu kwa sababu hakuna biashara bila maslahi lakini tumekubali kufanya biashara na Urusi kwa sababu wanazingatia maslahi yetu zaidi tofauti na wengine wanaozingatia…
"Walimuua Sankara kisha wakaweka Rais wanayemtaka wao kwa maslahi yao, baada ya kumuondoa Rais waliyemtaka wao sasa wanajaribu kutugawa kupitia sisi kwa sisi kupitia vikundi vya uasi, wanatufanya tupigane sisi…
Katika Halmashauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, viongozi wapya wa kisiasa wameweka msisitizo katika usimamizi wa mapato, uimarishaji wa huduma kwa wananchi na kuboresha uchumi wa kaya, muda mfupi…
... Marekani kwenye ujumbe wao wanasema kuwa vitendo vya hivi karibuni vya serikali ya Rais Samia vimeweka hatarini maslahi yake ... Wengi tunafikiri kuwa ni yale yaliojiri October 29 ?…
"Zile picha zilizooneshwa CNN sio za kweli Kuna baadhi zilipigwa mwaka 2021 wakati Wa Kifo Cha Magufuli" -Gerson Msigwa masemaji mkuu Wa Serikali
Leo saa 4:00 usiku, katika movie ya kihindi kupitia AzamTWO ni movie ya Super 30. Movie hii imetafsiriwa kwa Kiswahili. #Super360. #AzamTWO
Kwa Said mambo mazito na Chioma wake. Nawanda kazi inataka kuota mbawa. Usikose kutazama Noma leo saa 1:00 usiku kupitia #SinemaZetuHD
Babalevo ameonyesha Mchoro wa Nyumba yake anayoijenga katika Jimbo la Kigoma Mjini na itagharimu zaidi ya Bilioni 4. Katika ujenzi wa Nyumba hiyo inatarajiwa kutolewa ajira kwa vijana wa Kigoma…
π¨ Mapinduzi ya Kijeshi yamefanyika nchini Benin mchana huu ambapo Rais Patrice Talon amepinduliwa na Kundi la Wanajeshi wakidai wazi kuwa ni Kibaraka wa Wafaransa, ikumbukwe Benin ishawahi kuwa na…
Ilibaki kidgo tu, ZELIHA aachwe na ndugu zake baada ya fikra za usiku mzito akishuhudia miili ya wazazi wake chini π₯Ήπ Usikose 6 OF US leo saa 2:00 Usiku #AzamTWO
Jeshi la polisi mkoani Mwanza kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama wamefanikiwa kuwakamata watu 116 kwa tuhuma za kuhamasisha maandamano ya Disemba tisa. Akizungumza na waandishi wa…
Mwamini kazileta habari bado za moto kabisa ππ
WITO WA MKUU WA MKOA WA NJOMBE RC MTAKA AKIWA KATIKA IBADA YA JUMAMOSI, KANISA LA WA ADVENTIST WASABATO NJOMBE MJINI. 1. Vijana wetu wa Kitanzania wana wajibu wa kulinda…
PLO LUMUMBA anasema, angepewa nafasi ya kuishauri Tanzania, angesema yafuatayo π Angemuambia Rais aitishe mkutano wa vyama vyote vya siasa vilivyo sajiliwa Tanzania, baada hicho kikao πAitishe kikao Cha asasi…
Mwamini anafanya sasa kazi yake vizuri iliyomtuma kwa Chiku...Siwa alia kisa shughuli ya Mashavu kuharibika. Usikose #KombolelaSeries leo saa 1:30 usiku ndani ya #SinemaZetuHD
KIPINDI MAALUM | Karibu Tamthilia ya Picha Yangu #SinemaZetuHD #HakikaNiZaKwetu #AzamTV
Huu ulikuwa wakati mgumu kwa Aziza na wadogo zake Jemo, Zeliha, Fidan, Balim na Samet ambao wanashuhudia wazazi wao Rifat na Bala wakiuawa na Yavut aliyejaa wivu wa mapenzi unaogharimu…
Mwanamitandao maarufu Suzy Bale amepatwa na msiba mkubwa baada ya kufiwa na mtoto wake wa kwanza, Mwanaisha Saimon Emly, taarifa ambazo zimethibitishwa na watu wa karibu na familia. Kwa mujibu…
Ujumbe wa Nape Nnauye - Mbunge wa Jimbo la Mtama kwa vijana wanataka nini Tanzania amewataka Vijana kutojaribu kuitoa serikali madarakani kwani kufanya au kujaribu kufanya hivyo ni kosa kubwa…
Anaandika Askofu Bagonza TUMEISHAANDAMANA; GEN-Z TUPE NAFASI TUJUTE KWANZA. Leo tarehe 6 Desemba, ni siku yangu ya kuzaliwa. Sina furaha kama ninavyokuwaga na furaha katika siku hii. Hii ni kwa…
The Avengers Ndio mzigo wa leo saa 4:00 usiku katika movie ya wikiendi kupitia AzamTWO. Movie hii imetafsiriwa kwa Kiswahili. #TheAvengers #AzamTWO
Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa (OHCHR) imeitaka serikali ya Tanzania kuondoa marufuku ya maandamano kabla ya Siku ya Uhuru tarehe 9 Desemba 2025, ili kuruhusu uhuru…
Kobisi na Shida wake sijui kama watayaweka sawa kwenye hii shughuli yao...
"Sikukamatwa, NILITEKWA. Hukamatwi kwa kuwekewa bastola kichwani na kufungwa vitambaa viwili machoni kwa zaidi ya masaa 6. Hukamatwi na kufungwa kwenye mti na kupigwa kama mwizi. Mioyo yetu inavuja damu,…
AzamONE Weekend Movie Katika movie ya wikiendi kupitia AzamONE leo saa 2:00 usiku ni movie ya TITANIC #Titanic #AzamONE
Happy birthday ndugu zetu @wacloudsania (@Ukhtymwana na @Official_kingzimira) Clouds MEDIA Group inawatakia mwaka mwingine wa mafanikio na baraka. #Clouds26Nyoosha #LainiYaWana
VISHINDO VYA @nomaseries | Kama uliwaona jana kwenye kipindi maalum cha kuikaribisha tamthilia ya #PichaYangu, mwandaaji wa #NomaSeries @adamoo14 na mwingizaji wa tamthilia hiyo @alexander_malick walivaa T-Shirt βspeshoβ zenye ujumbe…