Australia: Majimbo yakubaliana kuhusu sheria kali za umiliki wa bunduki
Wamiliki wa bunduki wanakabiliwa na vikwazo vya idadi ya silaha wanazoweza kumiliki na ni raia wa Australia pekee wataweza kushikilia leseni, waziri mkuu wa Australia Anthony Albanese anasema. Imechapishwa: 15/12/2025…