Skip to content
  • Sun. Oct 19th, 2025

LTV TANZANIA

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY

Latest Post

Pantev ashtukia jambo Eswatini, atoa tahadhari #SerieA Kimewang’ang’ania…!!! NBC Premier League Jumapili hii 55′ | #LaLigaEASports Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi
MICHEZO

Pantev ashtukia jambo Eswatini, atoa tahadhari

October 18, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

#SerieA Kimewang’ang’ania…!!!

October 18, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

NBC Premier League Jumapili hii

October 18, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

55′ | #LaLigaEASports

October 18, 2025 mjombazecoder
MICHEZO

Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi

October 18, 2025 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Pantev ashtukia jambo Eswatini, atoa tahadhari
MICHEZO
Pantev ashtukia jambo Eswatini, atoa tahadhari
#SerieA Kimewang’ang’ania…!!!
SPORTVTV
#SerieA Kimewang’ang’ania…!!!
NBC Premier League Jumapili hii
SPORTVTV
NBC Premier League Jumapili hii
55′ | #LaLigaEASports
SPORTVTV
55′ | #LaLigaEASports
aarifa Kuu Za App
Uncategorized
aarifa Kuu Za App
Pantev ashtukia jambo Eswatini, atoa tahadhari
MICHEZO
Pantev ashtukia jambo Eswatini, atoa tahadhari
MICHEZO
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Pantev ashtukia jambo Eswatini, atoa tahadhari
MICHEZO
Pantev ashtukia jambo Eswatini, atoa tahadhari
#SerieA Kimewang’ang’ania…!!!
SPORTVTV
#SerieA Kimewang’ang’ania…!!!
NBC Premier League Jumapili hii
SPORTVTV
NBC Premier League Jumapili hii
55′ | #LaLigaEASports
SPORTVTV
55′ | #LaLigaEASports
BBC NEWS TANZANIA

Ifahamu mikataba iliyomuweka Raila Odinga ‘madarakani’ licha ya urais kumponyoka

October 16, 2025 mjombazecoder

Hatua ya karibu zaidi ya Raila kuchukua urais ilikuja mwaka wa 2007, alipowania urais chini ya chama cha Orange Democratic Movement (ODM). Matokeo ya awali yalionyesha anaongoza, lakini Tume ya…

HABARI ZA KIPEKEE

Muqawama: Hatutaruhusu Palestina iwe ngome ya mamluki wa Kizayuni

October 16, 2025 mjombazecoder

Makundi ya Muqawama ya Palestina yamepongeza operesheni ya kuzisafisha taasisi za usalama katika Ukanda wa Ghaza, na kutangaza kuwa Palestina kamwe haitakuwa kimbilio na ngome ya mamluki wa adui Mzayuni.

HABARI ZA KIPEKEE

Uhispania yarindima kwa maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina

October 16, 2025 mjombazecoder

Makumi ya miji na mikoa kote Uhispania imeshuhudia maandamano makubwa na migomo ya umma ya mshikamano na watu wa Gaza . Migomo na maandamano hayo makubwa ya nchi nzima yalifanya…

HABARI ZA KIPEKEE

Mwanasiasa mkongwe Raila Odinga aombolezwa; Rais Ruto atangaza siku saba za maombolezo

October 16, 2025 mjombazecoder

Rais William Ruto ametangaza kipindi cha maombolezo ya kitaifa kwa muda wa siku saba kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Amollo Odinga.

HABARI ZA KIPEKEE

Mfalme wa Jordan: Asia Magharibi itakuwa na hatima mbaya bila kuundwa taifa la Palestina

October 16, 2025 mjombazecoder

Mfalme Abdullah II wa Jordan amesisitizia udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina.

HABARI ZA KIPEKEE

Alkhamisi, 16 Oktoba, 2025

October 16, 2025 mjombazecoder

Leo ni Alkhamisi tarehe 23 Mfunguo Saba Rabiuthani 1447 Hijria sawa na 16 Oktoba 2025 Miladia.

ONLINETV

Fahamu faida za Oili ya Shell katika chombo chako cha moto iwe Boda Boda, Bajaji, Gari kubwa au ndogo,

October 15, 2025 mjombazecoder

Fahamu faida za Oili ya Shell katika chombo chako cha moto iwe Boda Boda, Bajaji, Gari kubwa au ndogo, 1. Ulinzi kamili wa injini kwa safari zako fupi na ndefu…

VIDEOS NEWS TV

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 15, OKTOBA 2025

October 15, 2025 mjombazecoder

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 15, OKTOBA 2025

MWANANCHI

Raila Odinga; historia ya Kenya, kielelezo cha demokrasia Afrika

October 15, 2025 mjombazecoder

Kijana mwenye umri wa miaka 17, mwenye asili ya Nyanza, Kaunti ya Siaya, nchini Kenya...

MWANANCHI

Mradi wa maji wa Sh100 milioni waleta neema kwa wakazi Mbulu

October 15, 2025 mjombazecoder

Zaidi ya wanafunzi 2,000 na wakazi wa eneo la Dongobesh wilayani Mbulu, Mkoa wa Manyara...

VIDEOS NEWS TV

#HABARI: Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma imetupilia mbali ombi la Bw

October 15, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma imetupilia mbali ombi la Bw. Luhaga Mpina na Bodi ya Wadhamini ya Chama cha ACT- Wazalendo kupinga kuenguliwa kwenye kinyang'anyiro cha Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa…

MWANANCHI

Mahakama yakataa ombi la ushahidi wa mdomo kesi ya Polepole

October 15, 2025 mjombazecoder

Mahakama imekataa kuridhia kupokea ushahidi wa mdomo wa Christina Polepole, ambaye ni dada wa...

VIDEOS NEWS TV

#HABARI:Wanufaika wa Mfuko wa Misitu Tanzania (TaFF) mkoani Tabora wametakiwa kutumia fedha za ruzuku walizopewa kwa kufuata mas…

October 15, 2025 mjombazecoder

#HABARI:Wanufaika wa Mfuko wa Misitu Tanzania (TaFF) mkoani Tabora wametakiwa kutumia fedha za ruzuku walizopewa kwa kufuata masharti ili kuhakikisha malengo ya kuboresha maisha ya wananchi na kuhifadhi misitu yanafikiwa.…

VIDEOS NEWS TV

#HABARI:Aliyekuwa Waziri Mkuu nchini Kenya Raila Odinga atazikwa siku ya Jumapili nyumbani kwake katika Kaunti ya Siaya

October 15, 2025 mjombazecoder

#HABARI:Aliyekuwa Waziri Mkuu nchini Kenya Raila Odinga atazikwa siku ya Jumapili nyumbani kwake katika Kaunti ya Siaya. Taarifa hiyo imetolewa na Kamati ya Maandalizi ya mazishi inayoongozwa na Naibu Rais…

VIDEOS NEWS TV

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetoa ufafanuzi kuhusu hatma ya wapigakura zaidi ya 106,00 ambao walijiandikisha kupiga k…

October 15, 2025 mjombazecoder

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetoa ufafanuzi kuhusu hatma ya wapigakura zaidi ya 106,00 ambao walijiandikisha kupiga kura kwenye vituo 292 vilivyokuwa kwenye kata 10 zilizofutwa kutokana na…

VIDEOS NEWS TV

Mgombea Urais Hamad Rashid Mohamed ameahidi kuunganisha mfumo wa elimu ya madrasa katika mfumo wa elimu visiwani Zanzibar iwapo …

October 15, 2025 mjombazecoder

Mgombea Urais Hamad Rashid Mohamed ameahidi kuunganisha mfumo wa elimu ya madrasa katika mfumo wa elimu visiwani Zanzibar iwapo atafanikiwa kupata ridhaa ya wananchi ya kuwa Rais wa Zanzibar. Rashid…

VIDEOS NEWS TV

Rais wa Kenya, William Ruto ametangaza siku saba za maombolezo ya Kitaifa kufuatia kifo cha Waziri Mkuu Mstaafu, Raila Odinga ki…

October 15, 2025 mjombazecoder

Rais wa Kenya, William Ruto ametangaza siku saba za maombolezo ya Kitaifa kufuatia kifo cha Waziri Mkuu Mstaafu, Raila Odinga kilichotokea nchini India. Mbali ya siku hizo saba pia bendera…

VIDEOS NEWS TV

Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM, Dkt Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuanzisha kituo maalum cha utoaji wa huduma za kitabibu …

October 15, 2025 mjombazecoder

Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM, Dkt Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuanzisha kituo maalum cha utoaji wa huduma za kitabibu kwa watu wenye ulemavu sambamba na kutoa vifaa visaidizi kwa…

VIDEOS NEWS TV

Mgombea Urais kupitia chama cha Democratic Party (DP), Abdul Mluya amewaahidi uzazi wa bure kwa wanawake sambamba na kupata chak…

October 15, 2025 mjombazecoder

Mgombea Urais kupitia chama cha Democratic Party (DP), Abdul Mluya amewaahidi uzazi wa bure kwa wanawake sambamba na kupata chakula kwa miezi mitatu bure ili kuwasaidia kujenga afya zao. Mluya…

VIDEOS NEWS TV

#HABARI: Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia chama cha NLD, Bw.Doyo Hassani Doyo amesema akipata ridhaa ya…

October 15, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia chama cha NLD, Bw.Doyo Hassani Doyo amesema akipata ridhaa ya kuongoza nchi, ataongeza ruzuku kwa wawekezaji wanaosambaza Nishati ya Gesi,…

VIDEOS NEWS TV

Salum Mwalim anayegombea Urais kutokea chama cha CHAUMMA ameahidi kuendeleza mipango ya uchakataji wa gesi kutoka mikoa ya Lindi…

October 15, 2025 mjombazecoder

Salum Mwalim anayegombea Urais kutokea chama cha CHAUMMA ameahidi kuendeleza mipango ya uchakataji wa gesi kutoka mikoa ya Lindi na Mtwara ili kuongeza nafasi za ajira kwa wakazi wa mikoa…

VIDEOS NEWS TV

#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw.Albert Chalamila, amekagua miradi ya ujenzi wa madaraja na barabara Jijini Dar es Sal…

October 15, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw.Albert Chalamila, amekagua miradi ya ujenzi wa madaraja na barabara Jijini Dar es Salaam yenye gharama ya shilingi Bilioni 224.22 inayotekelezwa na…

MWANANCHI

Dk Mwinyi: Tutatunga sheria kali kuwabana wanaume wanaotelekeza watoto

October 15, 2025 mjombazecoder

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi ameahidi...

MWANANCHI

Halmashauri Mbeya kinara utekelezaji miradi ya maendeleo, sababu zatajwa

October 15, 2025 mjombazecoder

Miradi hiyo mitano yenye thamani ya Sh1.3 bilioni ikiwepo ujenzi wa bwalo ya wanafunzi Shule ya...

VIDEOS NEWS TV

🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU OKTOBA 15, 2025 -LISSU AENDELEA KUMBANA SHAHIDI WA PILI

October 15, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU OKTOBA 15, 2025 -LISSU AENDELEA KUMBANA SHAHIDI WA PILI

MWANANCHI

Gombo aahidi kupambana na wasiojulikana,

October 15, 2025 mjombazecoder

Mgombea Urais wa Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo amesema iwapo atapata ridhaa...

MWANANCHI

Dk Tindwa ataja sababu za Samia kuchaguliwa kiti cha urais

October 15, 2025 mjombazecoder

Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani, Dk Chakou Tindwa amesema...

MWANANCHI

Mwalimu: Nitasimamisha mchakato kusafirisha gesi nje ya Lindi

October 15, 2025 mjombazecoder

Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi endapo atapewa...

MWANANCHI

Lissu alalama wageni wake kuondolewa nchini

October 15, 2025 mjombazecoder

Tundu Lissu, amewasilisha malalamiko mahakamani kuhusu wageni wake kuondolewa nchini.

MWANANCHI

Heche, Mnyika na wenzao wapewa siku sita kujibu madai ya kudharau mahakama

October 15, 2025 mjombazecoder

Mahakama Kuu imewaamuru viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Makamu...

MWANANCHI

Samia abainisha maeneo manne ya kukomboa wananchi wa Karagwe

October 15, 2025 mjombazecoder

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM)...

VIDEOS NEWS TV

#HABARI:Shirika la Umeme TANESCO mkoani Katavi, limewakamata watu wanne na mmoja anaendelea kutafutwa wote wakazi wa Kitongoji c…

October 15, 2025 mjombazecoder

#HABARI:Shirika la Umeme TANESCO mkoani Katavi, limewakamata watu wanne na mmoja anaendelea kutafutwa wote wakazi wa Kitongoji cha Isagala kijiji cha Uruila, katika Halmashauri ya Nsimbo wilaya ya Mpanda kwa…

VIDEOS NEWS TV

#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Kakonko, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Alan Thomas Mvano, ameiomba serikali kuhakikisha in…

October 15, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Kakonko, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Alan Thomas Mvano, ameiomba serikali kuhakikisha inajenga Barabara ya kuelekea soko la mpakani Muhange kwa kiwango cha lami, ili…

MWANANCHI

Othman aahidi vijana kunufaika na ajira za miradi inayotekelezwa

October 15, 2025 mjombazecoder

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman ameeleza namna...

MWANANCHI

Othman aahidi kuvalia njuga ukatili wanawake, watoto

October 15, 2025 mjombazecoder

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman ameahidi...

VIDEOS NEWS TV

Abiria zaidi ya 700 wa treni ya abiria iliyokuwa ikisafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea Kigoma kupitia reli ya kati, hatimaye w…

October 15, 2025 mjombazecoder

Abiria zaidi ya 700 wa treni ya abiria iliyokuwa ikisafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea Kigoma kupitia reli ya kati, hatimaye wameendelea tena safari yao baada wahandisi wa TRC kukamilisha…

MWANANCHI

Samia aahidi kuhuisha huduma za jamii Kagera, boti mbili za wagonjwa Muleba

October 15, 2025 mjombazecoder

Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi akipewa...

VIDEOS NEWS TV

#HABARI: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2025 hadi 2030, katika Jimbo la Peramiho kimeahidi kuiunga…

October 15, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2025 hadi 2030, katika Jimbo la Peramiho kimeahidi kuiunganisha Tanzania na Msumbiji kwa barabara ya kiwango cha lami yenye…

MWANANCHI

Mluya wa DP aahidi Serikali isiyokopa nje

October 15, 2025 mjombazecoder

Mgombea urais wa Chama cha Democratic Party, Abdul Mluya leo Jumatano Oktoba 15, 2025...

VIDEOS NEWS TV

#HABARI: Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro, ametoa onyo kwa watu wanaotoa matamko …

October 15, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro, ametoa onyo kwa watu wanaotoa matamko na vitisho kwa wananchi kuhusu kwenda kupiga kura na…

MICHEZO

Kocha Mbelgiji ateta na Folz, Pantev

October 15, 2025 mjombazecoder

KOCHA wa Chippa United, Luc Eymael amesema itakuwa ni aibu kwa Romain Folz na Dimitar Pantev kama Yanga na Simba zitashindwa kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

MICHEZO

Kiungo aibua jambo Yanga, ikiwafuata Wamalawi

October 15, 2025 mjombazecoder

KATIKA benchi la ufundi la Yanga linaloongozwa na kocha mkuu Romain Folz, vichwa vinauma wakati maandalizi kuelekea mechi ya ugenini ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Silvers Strikers yakiendelea.…

VIDEOS NEWS TV

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila leo Oktoba 15, 2025 amekagua miradi ya ujenzi wa madaraja na barabara jijini Dar…

October 15, 2025 mjombazecoder

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila leo Oktoba 15, 2025 amekagua miradi ya ujenzi wa madaraja na barabara jijini Dar es Salaam inayojengwa kwa zaidi ya shilingi…

MWANANCHI

CCM kujenga kiwanda cha alizeti Singida

October 15, 2025 mjombazecoder

Chama cha Mapinduzi (CCM), kimewaahidi wananchi wa Mkoa wa Singida ujenzi wa kiwanda cha mafuta...

MICHEZO

Umeneja wa Pantev Simba unambana hapa

October 15, 2025 mjombazecoder

Soma kwa undani hapa

BBC LIVE SOMA

Malori ya misaada yameanza kuingia Katika Ukanda wa Gaza

October 15, 2025 mjombazecoder

Malori ya misaada yameanza kuingia Gaza na Israel imeanza maandalizi ya kukifungua kivuko cha Rafah baada ya kuzuka mzozo katika kurejesha miili ya mateka hali iliyotishia kuvuruga makubaliano tete ya…

MICHEZO

Yule Mmadagascar na Yanga kuna jambo, iko hivi

October 15, 2025 mjombazecoder

Jarida la L'Express de Madagascar, limeripoti kwamba, kocha Romuald Rakotondrabe maarufu kwa jina la Rôrô, jana Oktoba 14, 2025, ametua jijini Dar es Salaam tayari kwa ajili ya kujiunga na…

BBC LIVE SOMA

Rais Ruto atangaza siku saba za maombolezo ya kitaifa kwa ajili ya Waziri Mkuu wa zamani Raila

October 15, 2025 mjombazecoder

Salamu za rambirambi zinaendelea kutumwwa kutoka kwa viongozi wa Afrika na duniani kote kufuatia tangazo la kifo la Raida Odinga.

VIDEOS NEWS TV

🔴YU WAPI: OKTOBA 15, 2025

October 15, 2025 mjombazecoder

🔴YU WAPI: OKTOBA 15, 2025

MWANANCHI

Hukumu kesi ya zawadi kwa Askofu Sepeku Novemba 27

October 15, 2025 mjombazecoder

Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi, imepanga Novemba 27, 2025 kutoa hukumu ya kesi ya ardhi...

Posts pagination

1 … 12 13 14 … 176

Recent Posts

  • Pantev ashtukia jambo Eswatini, atoa tahadhari
  • #SerieA Kimewang’ang’ania…!!!
  • NBC Premier League Jumapili hii
  • 55′ | #LaLigaEASports
  • Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on aarifa Kuu Za App

Archives

  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • July 2025
  • August 2024
  • June 2016

Categories

  • BBC LIVE SOMA
  • BBC NEWS TANZANIA
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • LTV LIVE TV
  • LTV TV
  • MAGAZETI
  • MICHEZO
  • MWANANCHI
  • ONLINETV
  • SPORTVTV
  • Uncategorized
  • VIDEOS NEWS TV

You missed

MICHEZO

Pantev ashtukia jambo Eswatini, atoa tahadhari

October 18, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

#SerieA Kimewang’ang’ania…!!!

October 18, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

NBC Premier League Jumapili hii

October 18, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

55′ | #LaLigaEASports

October 18, 2025 mjombazecoder

LTV TANZANIA

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS