Skip to content
  • Sun. Oct 19th, 2025

LTV TANZANIA

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY

Latest Post

#SerieA Kimewang’ang’ania…!!! NBC Premier League Jumapili hii 55′ | #LaLigaEASports Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi Ibenge awakomalia mastaa Azam FC
SPORTVTV

#SerieA Kimewang’ang’ania…!!!

October 18, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

NBC Premier League Jumapili hii

October 18, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

55′ | #LaLigaEASports

October 18, 2025 mjombazecoder
MICHEZO

Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi

October 18, 2025 mjombazecoder
MICHEZO

Ibenge awakomalia mastaa Azam FC

October 18, 2025 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
#SerieA Kimewang’ang’ania…!!!
SPORTVTV
#SerieA Kimewang’ang’ania…!!!
NBC Premier League Jumapili hii
SPORTVTV
NBC Premier League Jumapili hii
55′ | #LaLigaEASports
SPORTVTV
55′ | #LaLigaEASports
Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi
MICHEZO
Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi
aarifa Kuu Za App
Uncategorized
aarifa Kuu Za App
Yanga yamtimua Romain Folz, Mabedi apewa Mikoba
MWANANCHI
Yanga yamtimua Romain Folz, Mabedi apewa Mikoba
MICHEZO
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
#SerieA Kimewang’ang’ania…!!!
SPORTVTV
#SerieA Kimewang’ang’ania…!!!
NBC Premier League Jumapili hii
SPORTVTV
NBC Premier League Jumapili hii
55′ | #LaLigaEASports
SPORTVTV
55′ | #LaLigaEASports
Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi
MICHEZO
Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi
BBC LIVE SOMA

Takriban watu saba wauawa kwenye mashambulizi ya ndege zisizo na rubani za RSF nchini Sudan

October 14, 2025 mjombazecoder

Angalau watu saba wmeuawa Jumanne kutokana na mashambulizi ya ndege zisizo na rubani yaliyotekelezwa na Kikosi cha Wanamgambo wa RSF, nchini Sudan, kwa mujibu wa mamlaka za eneo hilo na…

BBC LIVE SOMA

Afrika Kusini yafuzu Kombe la Dunia 2026 baada ya kuifunga Rwanda

October 14, 2025 mjombazecoder

Afrika Kusini imekuwa taifa la hivi karibuni kutoka Afrika kufuzu kwa Kombe la Dunia la 2026 baada ya kuichapa Rwanda mabao 3-0 siku ya Jumanne na kuongoza kundi C.

BBC LIVE SOMA

Uturuki yaingilia kati: Jinsi diplomasia ya Erdogan ilivyosaidia kufanikisha usitishaji vita Gaza

October 14, 2025 mjombazecoder

Kuwepo kwa mashaka na makubaliano yaliyoshindikana, hatua ya Uturuki kujiunga katika mazungumzo, ikiungwa mkono na diplomasia ya kibinafsi na wa kiintelijensia, iligeuza pendekezo lililoonekana kuwa dhaifu kuwa makubaliano yanayotekelezeka.

BBC LIVE SOMA

Uturuki imetuma “Meli ya Ukarimu” ya 17 yenye msaada wa tani 900 kuelekea Gaza

October 14, 2025 mjombazecoder

Uturuki imetuma “Meli ya Ukarimu” ya 17 ikiwa na tani 900 za misaada ya kibinadamu kuelekea Gaza, ikiwa ni sehemu ya juhudi endelevu za misaada baada ya kusitishwa kwa mapigano.

MICHEZO

Taifa Stars yachapwa tena, yamaliza dakika 540 bila ushindi

October 14, 2025 mjombazecoder

MABAO mawili yaliyofungwa Iran katika dakika 26 za kwanza, yametosha kuifanya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kushindwa kuambulia ushindi kwenye mechi sita mfululizo ilizocheza sawa na dakika 540.

MWANANCHI

Afrika Kusini yafuzu Kombe la Dunia, Nigeria ikiichapa Benin

October 14, 2025 mjombazecoder

Usemi wa ‘anayecheka mwisho ndio anacheka sana’ umetimia leo Jumanne, Oktoba 14, 2025 katika...

MWANANCHI

Taifa Stars yalala kwa Iran, ikiendeleza ukame wa ushindi

October 14, 2025 mjombazecoder

Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepoteza mchezo wake wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya...

MWANANCHI

Madrid yadhamiria kumuuza Vinicius Jr Saudi Arabia

October 14, 2025 mjombazecoder

Real Madrid imedhamiria kumuuza winga wao wa kimataifa wa Brazil, Vinicius Junior, 25, dirisha...

MWANANCHI

Isak, Gyokeres waiponza Sweden

October 14, 2025 mjombazecoder

Straika, Alexander Isak ameonyesha hasira zaidi baada ya Sweden kushindwa kufanya vizuri kwenye...

VIDEOS NEWS TV

Rais wa Zanzibar na mgombea wa nafasi hiyo kwa muhula ya pili ameahidi kuwalipa fidia wananchi wa jimbo la Dimani watakaothibiti…

October 14, 2025 mjombazecoder

Rais wa Zanzibar na mgombea wa nafasi hiyo kwa muhula ya pili ameahidi kuwalipa fidia wananchi wa jimbo la Dimani watakaothibitika kuwa walipokea kiwango kidogo cha stahiki zao kupisha miradi…

VIDEOS NEWS TV

Watanzania wametakiwa kutoandamana tarehe 29 Oktoba na badala yake wajitokeze kupiga kura kwa wingi katika Uchaguzi Mkuu ili kuw…

October 14, 2025 mjombazecoder

Watanzania wametakiwa kutoandamana tarehe 29 Oktoba na badala yake wajitokeze kupiga kura kwa wingi katika Uchaguzi Mkuu ili kuwachagua viongozi wapya na kuiondoa CCM kwenye hatamu za uongozi. Wito huo…

VIDEOS NEWS TV

Mgombea urais wa Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo akiwa mkoani Manyara amesema ikiwa atachaguliwa kuwa rais ataboresha sekta ya a…

October 14, 2025 mjombazecoder

Mgombea urais wa Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo akiwa mkoani Manyara amesema ikiwa atachaguliwa kuwa rais ataboresha sekta ya afya kama anavyoeleza Hellen Kawiche. #AzamTVUpdates Mhariri | @moseskwindi

BBC LIVE SOMA

Ahadi za wagombea uchaguzi Tanzania zinatekelezeka

October 14, 2025 mjombazecoder

Sera na ahadi zinazohusiana na maboresho ya sekta ya afya ni miongoni mwa ajenda muhimu zinazobebwa na wagombea wa Urais Tanzania lakini swali linaloulizwa na baadhi ya raia wa nchi…

VIDEOS NEWS TV

#HABARI: Idara ya Uhamiaji inapenda kuutarifu Umma kuwa tarehe 13 Oktoba, 2025 imewaondosha

October 14, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Idara ya Uhamiaji inapenda kuutarifu Umma kuwa tarehe 13 Oktoba, 2025 imewaondosha nchini raia wawili wa kigeni ambao ni Dkt. Brinkel Stefanie mwenye hati ya kusafiria ya Ujerumani namba…

VIDEOS NEWS TV

Historia ya ukombozi wa Tanganyika kupitia kwa Hayati Baba wa Taifa, Mwl

October 14, 2025 mjombazecoder

Historia ya ukombozi wa Tanganyika kupitia kwa Hayati Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere imehifadhiwa katika maeneo mbalimbali nchini na nje ya nchi. Miongoni mwa maeneo yaliyohifadhi historia na harakati za…

VIDEOS NEWS TV

Mgombea Urais kupitia chama cha ADC, Wilson Mulumbe ameahidi kuweka sawa mgawanyo wa rasilimali za taifa bila upendeleo ili kila…

October 14, 2025 mjombazecoder

Mgombea Urais kupitia chama cha ADC, Wilson Mulumbe ameahidi kuweka sawa mgawanyo wa rasilimali za taifa bila upendeleo ili kila mwananchi aweze kunufaika. Mulumbe ametoa ahadi hiyo mkoani Tabora katika…

VIDEOS NEWS TV

Mgombea Urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salim Mwalimu amesema iwapo ridhaa ya Watanzania kupitia sanduku la kura …

October 14, 2025 mjombazecoder

Mgombea Urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salim Mwalimu amesema iwapo ridhaa ya Watanzania kupitia sanduku la kura itampa mamlaka ya kuwa Rais wa Tanzania atahakikisha anafuata nyayo…

VIDEOS NEWS TV

Katika kuadhimisha Kumbukumbu ya Miaka 26 ya Kifo cha Baba wa Taifa, Mwl

October 14, 2025 mjombazecoder

Katika kuadhimisha Kumbukumbu ya Miaka 26 ya Kifo cha Baba wa Taifa, Mwl. Julius Nyerere, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango amewataka Watanzania kufanya kazi kwa bidii na kuheshimu sheria…

BBC LIVE SOMA

Jeshi la Madagascar laweka pembeni katiba, limetangaza kipindi cha mpito cha miaka miwili

October 14, 2025 mjombazecoder

Kikosi maalum cha kijeshi cha CAPSAT, kilitangaza Jumanne kusimamisha utekelezwaji wa Katiba na kuchukua mamlaka baada ya Bunge kumuondoa madarakani Rais Andry Rajoelina.

MWANANCHI

Aliyoahidi Samia kuchochea uchumi wa Kanda ya Ziwa

October 14, 2025 mjombazecoder

Katika kampeni zake Kanda ya Ziwa, mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia...

VIDEOS NEWS TV

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt

October 14, 2025 mjombazecoder

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakar Bin Zubeir Ally, amewataka Waislamu na Watanzania kwa ujumla kulinda amani na mshikamano wa taifa, hasa kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba…

VIDEOS NEWS TV

🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU OKTOBA 14, 2025 –

October 14, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU OKTOBA 14, 2025 -

MWANANCHI

Wazazi, ndugu watajwa chanzo unyanyasaji wa watoto

October 14, 2025 mjombazecoder

Wazazi, walezi na ndugu wa karibu wametajwa kuwa chanzo kikuu cha matukio ya ubakaji, ulawiti...

BBC LIVE SOMA

DRC na waasi wa M23 wasaini makubaliano ya kutekeleza usitishaji mapigano

October 14, 2025 mjombazecoder

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na makundi ya waasi, yakiwemo waasi wa M23, wamesaini makubaliano mjini Doha ya kuanzisha utaratibu wa kufuatilia utekelezaji wa usitishaji mapigano, serikali ya Kongo…

MWANANCHI

Askofu Sosthenes akataa kitabu cha Sepeku kilichoandikwa na Jaji Ramadhani

October 14, 2025 mjombazecoder

Askofu wa Kanisa Anglikana, Dayosisi ya Dar es Salaam, Jackson Sosthenes (48), amekataa...

MWANANCHI

Mpango: Misingi ya Nyerere isimamiwe kuepusha Taifa kusambaratika

October 14, 2025 mjombazecoder

Watanzania wameaswa kuenzi maisha na mchango wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, kwa...

MWANANCHI

MUCE yageuka kitovu cha elimu bunifu

October 14, 2025 mjombazecoder

Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, inaendelea kutekeleza Mradi wa Elimu...

MICHEZO

Ibenge aona kitu Azam, atoa onyo

October 14, 2025 mjombazecoder

Soma hapa

MICHEZO

Ibenge aona kitu Azam, awaonya mapema mastaa wake

October 14, 2025 mjombazecoder

Soma hapa

MWANANCHI

Mwinyi apokewa kwa kilio cha fidia, aahidi kuunda tume

October 14, 2025 mjombazecoder

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi, amepokewa...

MWANANCHI

Tchiroma ajitangaza mshindi uchaguzi wa Rais Cameroon

October 14, 2025 mjombazecoder

Kufuatia uchaguzi wa urais uliofanyika Oktoba 12, 2025, mgombea wa upinzani kutoka chama cha...

MICHEZO

Camara ashtua akiiweka mtegoni Simba

October 14, 2025 mjombazecoder

Soma hapa

MWANANCHI

Othman: Nitatekeleza ahadi zangu kabla sijaulizwa

October 14, 2025 mjombazecoder

Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema masuala...

MWANANCHI

‘Watanzania tujifunze uadilifu, uzalendo kwa Mwalimu Nyerere’

October 14, 2025 mjombazecoder

Wakati Tanzania inaadhimisha kumbukizi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere...

MWANANCHI

Ruwa’ichi azungumzia uchaguzi, akemea utekaji

October 14, 2025 mjombazecoder

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Jude Thadeus Ruwa’ichi, amezungumzia uchaguzi wa...

MICHEZO

Ahmed Ally aeleza mwarobaini kutokomeza jezi feki

October 14, 2025 mjombazecoder

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, ameendelea na ziara yake mikoani yenye lengo la kutoa elimu kwa wanachama na mashabiki juu ya madhara ya kuvaa jezi…

MWANANCHI

Mgombea urais AAFP aahidi Taifa Stars kushinda Afcon

October 14, 2025 mjombazecoder

Mgombea urais kupitia chama cha AAFP, Kunje Ngombale Mwiru ameahidi timu ya mpira wa miguu ya...

MICHEZO

Yanga yacheza na akili kubwa

October 14, 2025 mjombazecoder

Soma hapa

MWANANCHI

Mr Manchester United afariki dunia

October 14, 2025 mjombazecoder

Shabiki wa damu kabisa wa mchezo wa soka aliyebadili jina lake na kuitwa Mr Manchester United...

MWANANCHI

Mgombea urais CUF aonya maandamano Oktoba 29

October 14, 2025 mjombazecoder

Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo amewataka...

MWANANCHI

Ujenzi daraja la sita kwa urefu nchini wafikia asilimia 74.3

October 14, 2025 mjombazecoder

Ujenzi wa Daraja la Pangani mkoani Tanga lenye urefu wa mita 525 pamoja na barabara unganishi...

MWANANCHI

Kuondoka Wenje Chadema: Imepoteza au kimejisafisha

October 14, 2025 mjombazecoder

Uamuzi wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria, Ezekiah Wenje, kujiunga na Chama...

MWANANCHI

Rais wa Madagascar athibitisha kujificha baada ya jaribio la kupinduliwa

October 14, 2025 mjombazecoder

Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina amesema alilazimika kuondoka nchini humo na kujificha...

VIDEOS NEWS TV

🔴HAPA NA PALE KUTOKA MTWARA: OKTOBA 14, 2025,

October 14, 2025 mjombazecoder

🔴HAPA NA PALE KUTOKA MTWARA: OKTOBA 14, 2025,

MWANANCHI

Mama afichua Mbappé anaweza kupata tatizo la afya ya akili

October 14, 2025 mjombazecoder

Mama wa mchezaji supastaa, Mbappe amesema mwanaye huyo ambaye ni mchezaji wa Real Madrid “hana...

BBC LIVE SOMA

Kongo na M23 wasaini mfumo wa kusimamia usitishwaji mapigano

October 14, 2025 mjombazecoder

Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda leo wametia saini makubaliano ya kuanzisha mpango wa kufuatilia usitishwaji wa mapigano huko Doha.

BBC LIVE SOMA

Iran yawapa kifungo kirefu raia wa Ufaransa kwa upelelezi

October 14, 2025 mjombazecoder

Mahakama nchini Iran Jumanne imesema imewapa kifungo kirefu raia wawili wa Ufaransa baada ya kuwafungulia mashtaka kadhaa yakiwemo ya upelelezi kwa niaba ya Israel.

BBC LIVE SOMA

Lecornu asimamisha mpango wa pensheni Ufaransa

October 14, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa Ufaransa Sebastian Lecornu leo ameusimamisha mpango wa Rais Emmanuel Macron wa mwaka 2023 wa kuongeza muda wa kustaafu hadi miaka 64, mpaka baada ya mwaka 2027.

BBC LIVE SOMA

UN yataka njia zote za kuingiza misaada Gaza zifunguliwe

October 14, 2025 mjombazecoder

Umoja wa Mataifa na Shirika la Msalaba Mwekundu wametoa wito wa kufunguliwa njia zote za kuingia Gaza, kutoa nafasi ya misaada kuingia katika eneo hilo.

BBC LIVE SOMA

Jeshi Madagscar latangaza kuchukua madaraka

October 14, 2025 mjombazecoder

Kanali mmoja wa jeshi nchini Madagascar aliyewaongoza wanajeshi kuungana na waandamanaji vijana wanaoipinga serikali, amesema kwamba jeshi limechukua uongozi wa taifa hilo.

Posts pagination

1 … 16 17 18 … 176

Recent Posts

  • #SerieA Kimewang’ang’ania…!!!
  • NBC Premier League Jumapili hii
  • 55′ | #LaLigaEASports
  • Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi
  • Ibenge awakomalia mastaa Azam FC

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on aarifa Kuu Za App

Archives

  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • July 2025
  • August 2024
  • June 2016

Categories

  • BBC LIVE SOMA
  • BBC NEWS TANZANIA
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • LTV LIVE TV
  • LTV TV
  • MAGAZETI
  • MICHEZO
  • MWANANCHI
  • ONLINETV
  • SPORTVTV
  • Uncategorized
  • VIDEOS NEWS TV

You missed

SPORTVTV

#SerieA Kimewang’ang’ania…!!!

October 18, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

NBC Premier League Jumapili hii

October 18, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

55′ | #LaLigaEASports

October 18, 2025 mjombazecoder
MICHEZO

Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi

October 18, 2025 mjombazecoder

LTV TANZANIA

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS